Mkuu usiseme hvyo inakera unajua, jamaa kavumilia kashindwa na hataki matatzo na mtu...hata mm nlishawahi tongozwa na mke wa mtu kabsa tena akiwa na pete ya ndoa kidoleni....nlipata shida sana ikafika wakati nikawa namkimbia kabsa na sitaki pishana nae njia moja. Ni mambo mengi alikua akinifanyia, nashukuru Mungu nliyashinda yote. Jamaa amekuja humu JF kuomba msaada wa mawazo. Mtu ukijiheshimu huwez kubaliana na hali kama hyo. ushauri wangu kwake ni ahame hyo nyumba mkataba ukiisha. Huyo mwanamke anaweza akamfanyia jamaa ushenzi ikawa matatzo siku za usoni. Ni bora kujihami mapema.