Yamenikuta wanajamvi msaada please

Yamenikuta wanajamvi msaada please

Wakati mke wa mtu akikusumbua, huenda hata mumewe anamsumbua mkeo...

Karibu uswazi bro
 
siku hizi kutongozwa ni kawaida tena kwa pande zote waume na wake.
 
Hata huo muda wa kumjibu unautoa wapi ndugu. Ndio matokeo ya sitaki nataka haya.. eti nikamwambia nina mke na yeye ana mume... unafikiri yeye hajui amaolewa au una mke??? (wastage of time and resources)
 
Unaogopa kumfanya adui?? Wewe ni vipi ? Mwambie Hapana inayomaanisha, na hakuna kuhama
 
Hivi majuzi nimehamia nyumba ya kupanga, nimekaa miezi mitatu kuna nyumba ilikuwa wazi baadae Kijana nae kahamia hapo akiwa na mkewe!

Kabla ya wiki mke wa mpangaji mwenzangu kamanuva kapata namba ya simu yangu, ananisumbua ati ananipenda.

Nimemkatalia na kumwambia wewe ni mke wa mtu na mie nina mke wangu sasa nini kinakufanya ushindwe kutulia na mumeo?

Hili hataki kabisa kulisikia sasa amekuwa kero na kweli amenifanya nifikirie kuhama nyumba hii.

Ushauri tafadhali nifanye nini ili akome kunisumbua na pia asipate karaha ya kuniona kama adui na mtu nisie faa maishani mwake?

Upuuzi huu nao wewe ulimpa namba kwa malengo ya kupata papuchi sasa iweje unalalamika?
 
Hapo cha muhimu ni msimamo wako tu na kama huna nia naye sidhani kama utakosa cha kumwambia na yeye kuacha hiyo tabia.
 
Huyo anahitaji kutolewa pepo ana pepo la ngono. Mwambie na wewe unampenda ila unamuomba muende kwa Mzee wa Upako kwa ajili ya kufanyiwa maombi kwanza.
 
Kweli bwana khaaa wanaume wanaitutongoza tungekuwa tunaenda kusema ingekuwaje?

Mkuu usiseme hvyo inakera unajua, jamaa kavumilia kashindwa na hataki matatzo na mtu...hata mm nlishawahi tongozwa na mke wa mtu kabsa tena akiwa na pete ya ndoa kidoleni....nlipata shida sana ikafika wakati nikawa namkimbia kabsa na sitaki pishana nae njia moja. Ni mambo mengi alikua akinifanyia, nashukuru Mungu nliyashinda yote. Jamaa amekuja humu JF kuomba msaada wa mawazo. Mtu ukijiheshimu huwez kubaliana na hali kama hyo. ushauri wangu kwake ni ahame hyo nyumba mkataba ukiisha. Huyo mwanamke anaweza akamfanyia jamaa ushenzi ikawa matatzo siku za usoni. Ni bora kujihami mapema.
 
Hivi majuzi nimehamia nyumba ya kupanga, nimekaa miezi mitatu kuna nyumba ilikuwa wazi baadae Kijana nae kahamia hapo akiwa na mkewe!

Kabla ya wiki mke wa mpangaji mwenzangu kamanuva kapata namba ya simu yangu, ananisumbua ati ananipenda.

Nimemkatalia na kumwambia wewe ni mke wa mtu na mie nina mke wangu sasa nini kinakufanya ushindwe kutulia na mumeo?

Hili hataki kabisa kulisikia sasa amekuwa kero na kweli amenifanya nifikirie kuhama nyumba hii.

Ushauri tafadhali nifanye nini ili akome kunisumbua na pia asipate karaha ya kuniona kama adui na mtu nisie faa maishani mwake?

Yawezekana eti wewe ni graduate aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,ndiyo maana wanawakusanya maelfu uwanja wa taifa.Anyway kwa msaada mwambie wife wako namna unavosumbuliwa na mke wa mtu ama mwambie mume wa huyo anaekusumbua
 
Ivi kweli unashindwa kuamua jambo dogo kama hilo ukiwa kama mwanamme?
 
Mkuu usiseme hvyo inakera unajua, jamaa kavumilia kashindwa na hataki matatzo na mtu...hata mm nlishawahi tongozwa na mke wa mtu kabsa tena akiwa na pete ya ndoa kidoleni....nlipata shida sana ikafika wakati nikawa namkimbia kabsa na sitaki pishana nae njia moja. Ni mambo mengi alikua akinifanyia, nashukuru Mungu nliyashinda yote. Jamaa amekuja humu JF kuomba msaada wa mawazo. Mtu ukijiheshimu huwez kubaliana na hali kama hyo. ushauri wangu kwake ni ahame hyo nyumba mkataba ukiisha. Huyo mwanamke anaweza akamfanyia jamaa ushenzi ikawa matatzo siku za usoni. Ni bora kujihami mapema.

Asante....ushauri mzuri kama avatar yako
 
yawezekana eti wewe ni graduate aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,ndiyo maana wanawakusanya maelfu uwanja wa taifa.anyway kwa msaada mwambie wife wako namna unavosumbuliwa na mke wa mtu ama mwambie mume wa huyo anaekusumbua

siyo yawezekani ni graduate, lakini kumbuka mawazo uliyo nayo ni kusema kwa mume wake ama mke wake ambalo kama unafikiria vizuri nitasolve tatizo kwangu lakini nitapeleka mgogoro ama hata kusambaratika kwa ndoa ya huyu mama na mumewe! Sasa wewe c uweke solution hapa jamvini ili niitumie na pia tuone hekima yako katika kisa hiki cha aibu kinachonikabili lakini nahitaji kiishe kwa usalama bila kuathiri familia zote 2 mkuu.
 
ivi kweli unashindwa kuamua jambo dogo kama hilo ukiwa kama mwanamme?

ni mwanaume mkuu lakini naamini c kila outright decision is a right decision on ground. Mawazo yako mkuu assume ni wewe na naamini hata ww chaweza kukukuta. Tusaidie idea yako halafu upime athari ya familia zote 2 uone kama bado uamuzi wako utaimarisha mahusiano ya familia hizo ama utabomoa mojawapo ya familia hizo
 
mkuu usiseme hvyo inakera unajua, jamaa kavumilia kashindwa na hataki matatzo na mtu...hata mm nlishawahi tongozwa na mke wa mtu kabsa tena akiwa na pete ya ndoa kidoleni....nlipata shida sana ikafika wakati nikawa namkimbia kabsa na sitaki pishana nae njia moja. Ni mambo mengi alikua akinifanyia, nashukuru mungu nliyashinda yote. Jamaa amekuja humu jf kuomba msaada wa mawazo. Mtu ukijiheshimu huwez kubaliana na hali kama hyo. Ushauri wangu kwake ni ahame hyo nyumba mkataba ukiisha. Huyo mwanamke anaweza akamfanyia jamaa ushenzi ikawa matatzo siku za usoni. Ni bora kujihami mapema.

sb shukrani hope your idea is constructive and brilliant. Unajua wachangiaji wengi wanamchukulia huyu mwanamke kama single lady ambaye waweza mkatalia on spot na decision ikamwathiri pekee na ikawa ultimate solution, wkt kuna innocent husband wake asiyejua anachowinda mwenzie just imagine impact size kama ukimweleza mumewe direct.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom