Yamenikuta wanajamvi msaada please

NATTA WITO

JF-Expert Member
Jun 5, 2013
229
96
Hivi majuzi nimehamia nyumba ya kupanga, nimekaa miezi mitatu kuna nyumba ilikuwa wazi baadae Kijana nae kahamia hapo akiwa na mkewe!

Kabla ya wiki mke wa mpangaji mwenzangu kamanuva kapata namba ya simu yangu, ananisumbua ati ananipenda.

Nimemkatalia na kumwambia wewe ni mke wa mtu na mie nina mke wangu sasa nini kinakufanya ushindwe kutulia na mumeo?

Hili hataki kabisa kulisikia sasa amekuwa kero na kweli amenifanya nifikirie kuhama nyumba hii.

Ushauri tafadhali nifanye nini ili akome kunisumbua na pia asipate karaha ya kuniona kama adui na mtu nisie faa maishani mwake?
 
Kama anazingua mlie bati kama unaweza kuhaba nibora uhame achana nahuyo shetwani atakuletea matatizo
 
Mkuu mbona hili swali ulilouliza rahisi sana? Hebu lipeleke kwa wanafunzi wa form two uone wangapi watalijibu perfectly....

Nawasiwasi tunapoelekea hatutakua tunatumia akili zetu kuchukua maamuzi. Yaani kweeeli unauliza ufanyeje? Yaani hujui cha kufanya? Nawasiwasi unatania tuu..

Hebu swahiba#Mr.Rocky na #Utafiti labda mtamjibia hili swali, HAJUI AFANYEJE? (mke wake yupo, mume wa huyo mdada yupo)
 
mkuu mbona hili swali ulilouliza rahisi sana? Hebu lipeleke kwa wanafunzi wa form two uone wangapi watalijibu perfectly....

Nawasiwasi tunapoelekea hatutakua tunatumia akili zetu kuchukua maamuzi. Yaani kweeeli unauliza ufanyeje? Yaani hujui cha kufanya? Nawasiwasi unatania tuu..

Hebu swahiba#mr.rocky na #utafiti labda mtamjibia hili swali, hajui afanyeje? (mke wake yupo, mume wa huyo mdada yupo)

mkuu kweli ctanii na ni kero kuliko unavyofikiria, cna sababu ya kupoteza muda kama unavyofikiri hata kiasi cha kuhisi form 2 student anaweza tatua kero hii ya hisia za mke wa mtu anaetaka mume wa mwenzie. Real it makes me uncomfortable mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom