Yamenikuta mwenzenu naombeni ushauri

Yamenikuta mwenzenu naombeni ushauri

Wanawake wa kiswahili bwana! na bado kuvaliana khanga na nyimbo za taarabu that is the totally family stress
 
Hapana nina account moja.

Nimeshampuuzia sana sasa anaona nimenyamaza kaanza chokochoko.

Ukishahukumiwa bila ya kufanya kosa basi ni heri ufanye na kosa lenyewe ili hukumu iwe haiumi sana
 
Wanawake wa kiswahili bwana! na bado kuvaliana khanga na nyimbo za taarabu that is the totally family stress

Tatizo sishindi nyumbani na tunakaa vyumba mbali mbali hata akiweka taarabu sitasikia na hata nikisikia sijali sbb ukweli naujua.
 
Ukimya na kupotezea wakati mwingine ni dawa murua, na huepusha shari.

"weak people revenge
strong people forgive
inteligent ignore."
 
Aaah, kama huyo hawara yake analipa, wewe fanya kweli tu lieleweke moja! Ila, kumbuka kutumia kinga...!
 
Mwite chumbani na hao madogo zako then mchapeni bakora za shingo.

kesi utashnda kwani hatakuwa na ushahidi.
 
We kaa kimya endelea na shuhuli zako maana ukiendelea kujibizana naye utajipatia hasira za bure.
 
Fanya yako, kama anamlinda sana bas amuwekee bango mgongo kuwa yule ni hawara yake na aliumbwa kwa ajil yake tu.. watu wenye vurugu za maono km hao nawapenda sn
 
Back
Top Bottom