mwajei
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 129
- 38
Habari za leo wana JF.
Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nimeajiriwa.
Tatizo ambalo ninalo ni kuhusu mpangaji mwanzangu (ke) kaambiwa natoka kimapenzi na hawara yake lakini ukweli huyo hawara yake hata salamu hatusalimiani, sasa ananikosesha raha na maneno maneno yako. Nimeshindwa kuvumilia nikamwambia mwenye nyumba amwite na amwite na aliyemwambia kaniona mimi na hawara yake lakini amekuwa mkali kama pili pili anasisitiza ni kweli na huyo mwanaume anakujaga kwangu. Note: Naishi na wadogo zangu wakiume 2 na vyumba ni viwili.
Sasa nimeshindwa kumwelewa anataka nini au nimweleze vipi anielewe maana mi si mtu wa maneno na ni short temper nahisi akiendelea kuniletea mdomo nitakuwa na keshi ya kujibu.
Hekima zenu zinahitajika.
Ahsanteni.
Mama S.
Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nimeajiriwa.
Tatizo ambalo ninalo ni kuhusu mpangaji mwanzangu (ke) kaambiwa natoka kimapenzi na hawara yake lakini ukweli huyo hawara yake hata salamu hatusalimiani, sasa ananikosesha raha na maneno maneno yako. Nimeshindwa kuvumilia nikamwambia mwenye nyumba amwite na amwite na aliyemwambia kaniona mimi na hawara yake lakini amekuwa mkali kama pili pili anasisitiza ni kweli na huyo mwanaume anakujaga kwangu. Note: Naishi na wadogo zangu wakiume 2 na vyumba ni viwili.
Sasa nimeshindwa kumwelewa anataka nini au nimweleze vipi anielewe maana mi si mtu wa maneno na ni short temper nahisi akiendelea kuniletea mdomo nitakuwa na keshi ya kujibu.
Hekima zenu zinahitajika.
Ahsanteni.
Mama S.