Yamenikuta, msaada tafadhali

kuna kitu kagundua, mwanamke akupe uchi siku moja kisha akuache yeye, jitafakari hapa ushauri hakuna jiangalie mwenyewe.
 
kuna kitu kagundua, mwanamke akupe uchi siku moja kisha akuache yeye, jitafakari hapa ushauri hakuna jiangalie mwenyewe.

Nimeshajiangalia mkuu Sina kasoro yoyote labda kwa sababu sijawahi kumpa hata senti tano yangu.
 
Pole mwaya.... ka vipi mjibu tu "poa sio kesi" kisha kula bati afu uone usikute anakujaribu kukupima.
 
Pole mwaya.... ka vipi mjibu tu "poa sio kesi" kisha kula bati afu uone usikute anakujaribu kukupima.

Nimeuchukua ushauri wako mkuu

Nimeamua kukaa kimya tu!
 

Hayo yanaitwa tumalizane leo leo shida sitaki, hapo inaelekea karudi kwa mshikaj wake wa zaman au bado anapima raha ya utamu hakiipata ndo atakapotulia usiumize kichwa mdau mapenzi ya kileo
 
Hayo yanaitwa tumalizane leo leo shida sitaki, hapo inaelekea karudi kwa mshikaj wake wa zaman au bado anapima raha ya utamu hakiipata ndo atakapotulia usiumize kichwa mdau mapenzi ya kileo

Nimekusoma mkuu
 
daaaa bas nikajua huyo demu sijui kakufanyia nini cha ajabu khaaaa..... kumbe hicho tu shukuru mungu
 
Duh inaumaee demu akipiga chinieee, hapo mwenzio alikua field sasa kashamaliza inabidi apeleke report sehemu husika
 

sitaki kuamini kama wrwe ni kibamia..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…