Yamenikuta! Msaada Tafadhali...

Yamenikuta! Msaada Tafadhali...

gwego1

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2023
Posts
281
Reaction score
1,012
Habari wakuu.

Katika kupiga story juzi kati kijiweni ikaibuka story ya kuwa ukifanya mapenzi na mwanamke akatunia kitambaa chake kukufutia na kwenda nacho anaweza kukuloga.

Ambacho anatakiwa kufanya nikuchukua kile kitambaa alichokufutia na kukiweka chini ya mtungi! Then mzigo hausimami labda kwake tu.

Kutokana na U-Thomaso wangu nikasema ngoja nikajaribu nione Kaa hii kitu inafanya kazi kweli. Basi bhana ijumaa nikamwita mpenzi wangu Tukafanya ya kufanya nikamueleza na lengo langu lakutotaka kumcheat so anifute na kitaamba na andoke nacho akakiweke chini ya mtungi then mzigo hautosimama kwa mtu mwingne.

Alifurahi sana aliona kama na mpenda sana kumbe lengo langu ilikuwa kuona yanayosemwa Kaa nikweli au ni uongo.

Basi bhana Leo asubuhi nimemwita mpenzi wangu mwingne Ili nione Kaa ni kweli au ni uongo! Lakini Hadi sahivi navyoandika huu Uzi hapa mzigo umelala yoo! Haujaamka nimempgia yule mwanamke atoe kile kitambaa lakini naona ananijibu majibu ya kukatisha tamaa.

Najua humu jamiiforum Kuna wataraam wakubwa ambao wanaweza nisaidia nirudi kama kawaida! Nawakaribisha.

Nawasilisha.
 
FB_IMG_1692466453267.jpg

Did you eat...?
Now its your time to be eaten
 
Habari wakuu.

Katika kupiga story juzi kati kijiweni ikaibuka story ya kuwa ukifanya mapenzi na mwanamke akatunia kitambaa chake kukufutia na kwenda nacho anaweza kukuloga.

Ambacho anatakiwa kufanya nikuchukua kile kitambaa alichokufutia na kukiweka chini ya mtungi! Then mzigo hausimami labda kwake tu.

Kutokana na U-Thomaso wangu nikasema ngoja nikajaribu nione Kaa hii kitu inafanya kazi kweli. Basi bhana ijumaa nikamwita mpenzi wangu Tukafanya ya kufanya nikamueleza na lengo langu lakutotaka kumcheat so anifute na kitaamba na andoke nacho akakiweke chini ya mtungi then mzigo hautosimama kwa mtu mwingne.

Alifurahi sana aliona kama na mpenda sana kumbe lengo langu ilikuwa kuona yanayosemwa Kaa nikweli au ni uongo.

Basi bhana Leo asubuhi nimemwita mpenzi wangu mwingne Ili nione Kaa ni kweli au ni uongo! Lakini Hadi sahivi navyoandika huu Uzi hapa mzigo umelala yoo! Haujaamka nimempgia yule mwanamke atoe kile kitambaa lakini naona ananijibu majibu ya kukatisha tamaa.

Najua humu jamiiforum Kuna wataraam wakubwa ambao wanaweza nisaidia nirudi kama kawaida! Nawakaribisha.

Nawasilisha.

wewe ni katoto
 
Habari wakuu.

Katika kupiga story juzi kati kijiweni ikaibuka story ya kuwa ukifanya mapenzi na mwanamke akatunia kitambaa chake kukufutia na kwenda nacho anaweza kukuloga.

Ambacho anatakiwa kufanya nikuchukua kile kitambaa alichokufutia na kukiweka chini ya mtungi! Then mzigo hausimami labda kwake tu.

Kutokana na U-Thomaso wangu nikasema ngoja nikajaribu nione Kaa hii kitu inafanya kazi kweli. Basi bhana ijumaa nikamwita mpenzi wangu Tukafanya ya kufanya nikamueleza na lengo langu lakutotaka kumcheat so anifute na kitaamba na andoke nacho akakiweke chini ya mtungi then mzigo hautosimama kwa mtu mwingne.

Alifurahi sana aliona kama na mpenda sana kumbe lengo langu ilikuwa kuona yanayosemwa Kaa nikweli au ni uongo.

Basi bhana Leo asubuhi nimemwita mpenzi wangu mwingne Ili nione Kaa ni kweli au ni uongo! Lakini Hadi sahivi navyoandika huu Uzi hapa mzigo umelala yoo! Haujaamka nimempgia yule mwanamke atoe kile kitambaa lakini naona ananijibu majibu ya kukatisha tamaa.

Najua humu jamiiforum Kuna wataraam wakubwa ambao wanaweza nisaidia nirudi kama kawaida! Nawakaribisha.

Nawasilisha.
Aaah pole mkuu nimejikuta nacheka kifala sanaa.😂
Any way mtag Mshanaa
 
Habari wakuu.

Katika kupiga story juzi kati kijiweni ikaibuka story ya kuwa ukifanya mapenzi na mwanamke akatunia kitambaa chake kukufutia na kwenda nacho anaweza kukuloga.

Ambacho anatakiwa kufanya nikuchukua kile kitambaa alichokufutia na kukiweka chini ya mtungi! Then mzigo hausimami labda kwake tu.

Kutokana na U-Thomaso wangu nikasema ngoja nikajaribu nione Kaa hii kitu inafanya kazi kweli. Basi bhana ijumaa nikamwita mpenzi wangu Tukafanya ya kufanya nikamueleza na lengo langu lakutotaka kumcheat so anifute na kitaamba na andoke nacho akakiweke chini ya mtungi then mzigo hautosimama kwa mtu mwingne.

Alifurahi sana aliona kama na mpenda sana kumbe lengo langu ilikuwa kuona yanayosemwa Kaa nikweli au ni uongo.

Basi bhana Leo asubuhi nimemwita mpenzi wangu mwingne Ili nione Kaa ni kweli au ni uongo! Lakini Hadi sahivi navyoandika huu Uzi hapa mzigo umelala yoo! Haujaamka nimempgia yule mwanamke atoe kile kitambaa lakini naona ananijibu majibu ya kukatisha tamaa.

Najua humu jamiiforum Kuna wataraam wakubwa ambao wanaweza nisaidia nirudi kama kawaida! Nawakaribisha.

Nawasilisha.
Mtungi wa gesi au mtungi gani ndugu nielekeze nijue tafadhali.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Tembea uchi kutoka Buguruni pale darajani Mpaka Ubungo pale kwenye kiwanda cha Chibuku alafu nisubiri hapo
 
Mitungi Ile ya kizamani ambayo watu walikuwa wanapikia au kuweka maji ya kunywa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom