Aisee.Nimekwambia tembea uchi umbali mrefu km kilometer 10/20
Hapana mkuu mwenye uelewa wa hii kitu aokoe jahazi aisee!! Hela Sina na kula mizigo nisile kweli?'ukalamba moto kwa ulimi siyo..!?
mbona wazungu huwa wana 'sacrifice' hadi maisha yao wakati wanafanya ugunduzi wa jambo..?
Sisi tutakupa credit kwenye matoleo yetu huku MMU kama shujaa wa 'single p for life' usijali mkuu, naomba na mwingine ajaribu tuone kama ni kweli..!😂😂
Mwambie aje upige show aje na kitambaa mjifutie tena ataondoka nacho ili kuimarisha lengo lako la kutomsaliti.. akija sasa na kitambaa fanya kila liwezekanalo asiondoke nachoUlipata wapi tiba mkuu! Maana na mm Nako elekea sipajua maana huyu mwanamke amesema nitajijua mwenyewe
Nilikuwa sijaona mengi kumbe😀Mwambie aje upige show aje na kitambaa mjifutie tena ataondoka nacho ili kuimarisha lengo lako la kutomsaliti.. akija sasa na kitambaa fanya kila liwezekanalo asiondoke nacho
Dunia ina mengi sana na vijana wa hovyo wanajaribu kila kituNilikuwa sijaona mengi kumbe![]()


Shukrani mkuu.Mwambie aje upige show aje na kitambaa mjifutie tena ataondoka nacho ili kuimarisha lengo lako la kutomsaliti.. akija sasa na kitambaa fanya kila liwezekanalo asiondoke nacho
Umejaribu kupiga nyeto...Habari wakuu.
Katika kupiga story juzi kati kijiweni ikaibuka story ya kuwa ukifanya mapenzi na mwanamke akatunia kitambaa chake kukufutia na kwenda nacho anaweza kukuloga.
Ambacho anatakiwa kufanya nikuchukua kile kitambaa alichokufutia na kukiweka chini ya mtungi! Then mzigo hausimami labda kwake tu.
Kutokana na U-Thomaso wangu nikasema ngoja nikajaribu nione Kaa hii kitu inafanya kazi kweli. Basi bhana ijumaa nikamwita mpenzi wangu Tukafanya ya kufanya nikamueleza na lengo langu lakutotaka kumcheat so anifute na kitaamba na andoke nacho akakiweke chini ya mtungi then mzigo hautosimama kwa mtu mwingne.
Alifurahi sana aliona kama na mpenda sana kumbe lengo langu ilikuwa kuona yanayosemwa Kaa nikweli au ni uongo.
Basi bhana Leo asubuhi nimemwita mpenzi wangu mwingne Ili nione Kaa ni kweli au ni uongo! Lakini Hadi sahivi navyoandika huu Uzi hapa mzigo umelala yoo! Haujaamka nimempgia yule mwanamke atoe kile kitambaa lakini naona ananijibu majibu ya kukatisha tamaa.
Najua humu jamiiforum Kuna wataraam wakubwa ambao wanaweza nisaidia nirudi kama kawaida! Nawakaribisha.
Nawasilisha.
Shukrani mkuuKwanza unachotuambia kuwa eti akiweka kitambaa alichokufutia chini ya mtungi bila kuchanganya na dawa zingine huo ni UONGO..
Wewe umempa mbegu zako na maelekezo kaenda kupewa ujuzi mbele ya Safari lakini sio huo uliompa wewe kutaka kujaribu..
Siku nyingine acha upuuzi na mwanamke.
Tafuta penye Alovera ichanje shinani ikianza toa maji nawe pakojolee hapo shinani pa Alovera panapotoa maji.
Aisee mzigo mzuri huu sema mie kibamia hapo sitoboi
😂😂😂Hili nikweli kabisa mie kuna kademu kalifuta shahawa zangu na kyupi yake na kusepa nayo aisee nimepata tabu...sasa imagine na kibamia nacho hakisimami
Hili nikweli kabisa mie kuna kademu kalifuta shahawa zangu na kyupi yake na kusepa nayo aisee nimepata tabu...sasa imagine na kibamia nacho hakisimami
Uchawiii Unafanyiwaa huku unaangalia na wew unacheka tu???Mimi imewahi kunikuta sema yeye alinifuta Kisha akajifuta halafu akachukua kile kitambaa akakifunga fundo tatu akaenda kukiifadhi anakojua jua yeye mbaya zaidi alikuwa singo maza hakuna moto niliowahi pitia kama ule mpaka nakuja pata tiba nishaumia sana