Yamemkuta

Yamemkuta

shansarie

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2013
Posts
5,690
Reaction score
3,370
Yamemkuta best yangu ameolewa hajui kupika.ilikuwa kama ka mchezo fulani ivi kila mume akirudi kazini anakuta chakula mezani bila kujua kinatoka wapi,mana hajawahi kumkuta mkewe akipika.

kumbe maskini mwanamke wa watu anapikiwa na jirani yake anamlipa, kila siku anajaziwa mahotpot zinakuja nyumbani kabla mume hajarudi. Mwanaume wa watu anakula chakula alichopikiwa na jirani yake
siku ya siku mume karudi mapema mdada hana hili wala lile mume kajilalia ndani, ghafla anasikia mkewe akipiga kelele mama rose vipi tayari hebu fanya fasta kabla mister hajarudi.kidume kikachungulia dirishani kucheck kunanini mkewe anachomficha mara anaona mahotpot yanapitishwa LOL,..... Mwanake wa watu kashtukiwa ikabidi mwanaume amfuate amuulize vipi hotpot zimetoka wapi mwanamke mimacho imemtoka ndoa imevunjika karudishwa kwao akajifunze kupika

we ungefanyaje?
 
Mapishi ya jikoni hayajalishi !
Kissa-mkassa mapishi ya bedroom! Hapo ndiyo kipenyoni mwa ndoa!
 
Mbona wapo wanawake wengi wasiojua kupika? Hivi unaweza kumtaliki mke kwa sababu hajui kupika kweli? Kuweni serious na muache kuexaggerate!
 
Alikua hampendi huyo! Huwezi muacha mkeo kwa kisa cha kutokujua kupika.

Sent from my BlackBerry
 
Mapishi ya jikoni hayajalishi !
Kissa-mkassa mapishi ya bedroom! Hapo ndiyo kipenyoni mwa ndoa!
Akijishughulisha kupika hata chumbani hatokua mvivu
mwisho atamwita jirani aje amsaidie ya chumbani....
 
vyote bwana muhimu... Kwanza chakula kizuri na kitamu kinaongeza mapenzi ya mume kwa mke... Mwnamke akijua kupika vizur jikoni na chumbani mbona ata enjoy!!!!!

mwambie huyo bila kula vizuri kazi ataiwezaje,sebene litamshinda
 
Mbona wapo wanawake wengi wasiojua kupika? Hivi unaweza kumtaliki mke kwa sababu hajui kupika kweli? Kuweni serious na muache kuexaggerate!

wanaume noma wengine msosi muhimu,hujui kwenu
 
kupika tu!jamaa alikuwa hampedi mkewe!!,Mi ningempa tweet!
 
Mbona wapo wanawake wengi wasiojua kupika? Hivi unaweza kumtaliki mke kwa sababu hajui kupika kweli? Kuweni serious na muache kuexaggerate!


Weeeeeeeeeeh...........!!!!!!!!!!!!!!! acha kabisa kwetu usukumani kuna mwanamke alipika Ugali mbichi,alipomuwekea mwanaume ,mwanaume akaufunga kwenye basikeli akaupeleka ukweni pamoja na hati ya talaka.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom