Yamemkuta

Yamemkuta

Yamemkuta best yangu ameolewa hajui kupika.ilikuwa kama ka mchezo fulani ivi kila mume akirudi kazini anakuta chakula mezani bila kujua kinatoka wapi,mana hajawahi kumkuta mkewe akipika.

kumbe maskini mwanamke wa watu anapikiwa na jirani yake anamlipa, kila siku anajaziwa mahotpot zinakuja nyumbani kabla mume hajarudi. Mwanaume wa watu anakula chakula alichopikiwa na jirani yake
siku ya siku mume karudi mapema mdada hana hili wala lile mume kajilalia ndani, ghafla anasikia mkewe akipiga kelele mama rose vipi tayari hebu fanya fasta kabla mister hajarudi.kidume kikachungulia dirishani kucheck kunanini mkewe anachomficha mara anaona mahotpot yanapitishwa LOL,..... Mwanake wa watu kashtukiwa ikabidi mwanaume amfuate amuulize vipi hotpot zimetoka wapi mwanamke mimacho imemtoka ndoa imevunjika karudishwa kwao akajifunze kupika

we ungefanyaje?

kwanini ujamshauri ajiunge na jf ili ajifunze kuika hasa kule jf chef itamsaidia sana kuliko kurudi mahomu job true true..
 
Kisa hiki nimeshakiona kwenye nigerian movies lakini ina maana huyo mume mpaka anaoa hajamjua mwenzie kama hajui kupika?
 
Weeeeeeeeeeh...........!!!!!!!!!!!!!!! acha kabisa kwetu usukumani kuna mwanamke alipika Ugali mbichi,alipomuwekea mwanaume ,mwanaume akaufunga kwenye basikeli akaupeleka ukweni pamoja na hati ya talaka.....

ha ha ha huyo nae alivuka mipaka
 
ivi bado kuna watu wanawake umri wa kuolewa hawajui kupika?...kabisaaa hata kidogo kias cha kupikiwa na jirani?

watu wanafanyiwa kila kitu hata chai hawajui kupika wanapasha kwenye microwave,
 
Kisa hiki nimeshakiona kwenye nigerian movies lakini ina maana huyo mume mpaka anaoa hajamjua mwenzie kama hajui kupika?

walikuwa wanakula out siku zote za urafiki wao hajawahi kupikiwa
 
ivi bado kuna watu wanawake umri wa kuolewa hawajui kupika?...kabisaaa hata kidogo kias cha kupikiwa na jirani?
mimisa
hivi umeshawai kufikiri kuwa hata vilio tunavyo viona humu jamvini waume kutafuta nyumba ndogo vinachangiwa na baadhi ya wana jf kutojua kupika hasa wanawake? wengi wana fikiri kitanda ni suluhu pekee ya ndoa kumbe pengine nyumba ndogo zina jali mapishi na nidhamu ya kupika. sijawai kuona faid ya hizo wanazo ziita kitchen party zaidi ya kudanganyana kuhusu vitanda alaf mwisho wa siku vilio kila leo.


Niko tayari kuondoa maneno yangu kamaitahitajika.
 
Last edited by a moderator:
mimisa
hivi umeshawai kufikiri kuwa hata vilio tunavyo viona humu jamvini waume kutafuta nyumba ndogo vinachangiwa na baadhi ya wana jf kutojua kupika hasa wanawake? wengi wana fikiri kitanda ni suluhu pekee ya ndoa kumbe pengine nyumba ndogo zina jali mapishi na nidhamu ya kupika. sijawai kuona faid ya hizo wanazo ziita kitchen party zaidi ya kudanganyana kuhusu vitanda alaf mwisho wa siku vilio kila leo.


Niko tayari kuondoa maneno yangu kamaitahitajika.

Nakala kwa ; Passion Lady..
aione kwenye file
 
Last edited by a moderator:
we muache ajishaue tu
mwanume namkalangizia mahanjumati
leo analeta habari kama hiyo,hakiyanani
Ruttashobolwa utakula mchemsho usio na viungo
zaidi ya chumvi mpaka ufute kauli,na leo ulale hukohuko aaalaaaaa?!!!!!

we unaona vitamu..mwenzio anaviona ovyo! hakuna kufuta kauli hapa..rudi jikoni ujipange vyema!
 
Last edited by a moderator:
we unaona vitamu..mwenzio anaviona ovyo! hakuna kufuta kauli hapa..rudi jikoni ujipange vyema!
nikikukaribisha kwangu siku moja
utagoma kurudi kwenu kwa mahanjumati
nitakayoandaa,mi nakwambia huyu alijua sitoona
hakiyanani atajuta atiii,akisafiri nitakukaribisha nyumbani
!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom