Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
yalaaaaaaa pole lakini si uiokote? au umevaa mini skirt?imedondoka kwenye jam!!!
yalaaaaaaa pole lakini si uiokote? au umevaa mini skirt?imedondoka kwenye jam!!!
mx!!unamanjonjo.....umeipenda eeee?mx
Hahahaha,wabane mbavu 2,Mx
kwani hana mtu huyu?
Nini kinaendelea hapa Husninyo?
@ NItonye kokote uliko, leo sherehe.... aliyepotea amepatikana...... yaaani leo raha sana!!
lilikuwa denda sio busuHilo linaitwa busu la upendo/ Busu takatifu...... au ulitaka kusikia busu la kikurya?....................................... NGUMI
mwali naomba nikuulize kwa ithn ya mpolee asije sema namchakachulia thred yakempolee nimekukaribisha page ya kwanza kabisa! Nilivyo kumiss ningekosa kweli? Pole sana na yalio kukuta hun.
we ndiye yule wa Jeep new model? kama ndiye karibu tena
Habari ya leo?Husninyo atakuwa amechanganya mambo
Umeuliza kama "nilitaka" . . . jibu langu "siwezi kutaka". Kuna ugumu wowote hapo?
Niulize tu. Mpoleee, I hope you don't mind...mwali naomba nikuulize kwa ithn ya mpolee asije sema namchakachulia thred yake
no nipo kwenye kibajaji! Na mijitu imenikodolea macho saintyalaaaaaaa pole lakini si uiokote? Au umevaa mini skirt?
aaii! hivo mm ni lost and found?
lilikuwa denda sio busu
nimelipenda lakini ..natamani arudie tena
nichagulie mwaya!
OK,HUO WANJA ULOPAKA KWA KOPE UNAUZWA WAP?? ni ijumaa leo na nnamtoko mamii..Niulize tu. Mpoleee, I hope you don't mind...
Mpolee nimekukaribisha page ya kwanza kabisa! nilivyo kumiss ningekosa kweli? pole sana na yalio kukuta hun.