Yaliyonikuta Maisha Club, Dodoma

Yaliyonikuta Maisha Club, Dodoma

illegal migrant

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
1,277
Reaction score
1,121
Baada ya shughuli nzito za ujenzi wa taifa nikaona nitafute sehemu ya kujipongeza, dodoma ni mgeni kidogo hivyo nikatafuta tax nikamueleza dereva tax nikampa specifications ya sehemu nayo penda kupelekwa akaonekana amenielewa basi akanipeleka maisha club.

Binafsi situmii vileo ila napenda muziki kucheza na kujumuika kweli bwana nikafika nikakuta vijana kwa wazee wanafurahia maisha nami nikajumuika nao mpaka ilipofika mida ya usiku mkubwa nikaona niende kupumzika kwa muda nilookaa mule na kucheza mziki na lile giza giza la mule ndani ramani ikanipotea nikaanza kuutafuta mlango wa kutokea nikauona mlango karibu yangu wakati naukaribia ili nishike kitasa nikapigwa ngumi ya tumbo moja matata sana ni wale mabaunsa walinzi wa club nikamuuliza nini tena bila majibu akanichukua akanisukuma, pale aliponisukumia kulikuwa na mlango mwingine nikawa nashika kitasa ili niufungue pengine nitoke nje nikapigwa tena ngumi nyingine..

Sasa uvumilivu ukanishinda nikamwambia wewe una kichaa mbona unanipiga bila sababu halafu hutoi maelezo akaniambia samahani nilijua umelewa na ule mlango wa kwanza uliokuwa una ufungua ni ofisi na ule wa pili pia namshukuru Mungu nimepitia kidogo majugoruu pia nina uwelewa mkubwa wa temper management nikamwambia nimekusamehe ila mwambie bosi wenu aweke alama za maelekezo kama tuonavyo sehemu zingine mfano exit/ kutoka, nilikuwa na mpango wa kuchukua yale mambo yetu yaleee pale nje du lakini huyo baunsa akaniharibia mood kabisa.

Nimemaliza
 
baada ya shughuli nzito za ujenzi wa taifa nikaona nitafute sehemu ya kujipongeza, dodoma ni mgeni kidogo hivyo nikatafuta tax nikamueleza dereva tax nikampa specifications ya sehemu nayo penda kupelekwa akaonekana amenielewa basi akanipeleka maisha club. binafsi situmii vileo ila napenda muziki kucheza na kujumuika kweli bwana nikafika nikakuta vijana kwa wazee wanafurahia maisha nami nikajumuika nao mpaka ilipofika mida ya usiku mkubwa nikaona niende kupumzika kwa muda nilookaa mule na kucheza mziki na lile giza giza la mule ndani ramani ikanipotea nikaanza kuutafuta mlango wa kutokea nikauona mlango karibu yangu wakati naukaribia ili nishike kitasa nikapigwa ngumi ya tumbo moja matata sana ni wale mabaunsa walinzi wa club nikamuuliza nini tena bila majibu akanichukua akanisukuma, pale aliponisukumia kulikuwa na mlango mwingine nikawa nashika kitasa ili niufungue pengine nitoke nje nikapigwa tena ngumi nyingine.. da sasa uvumilivu ukanishinda nikamwambia wewe una kichaa mbona unanipiga bila sababu halafu hutoi maelezo akaniambia samahani nilijua umelewa na ule mlango wa kwanza uliokuwa una ufungua ni ofisi na ule wa pili pia namshukuru mungu nimepitia kidogo majugoruu pia nina uwelewa mkubwa wa temper management nikamwambia nimekusamehe ila mwambie bosi wenu aweke alama za maelekezo kama tuonavyo sehemu zingine mfano exit/ kutoka, nilikuwa na mpango wa kuchukua yale mambo yetu yaleee pale nje du lakini huyo baunsa akaniharibia mood kabisa nimemaliza

Haya mambo ndiyo yaliyowafanya mng'ang'anie kubaki Dodoma?!!...hakuna katiba wala nini hapa watu wanasumbuliwa na njaa tu!
 
mkuu kimsingi ule ukumbi haujakaa vizuri sana hasa ikitokea emergency sijui watu watatokea wapi huwa unajaa balaa na hata emergency doors uko mmoja tu.
baada ya shughuli nzito za ujenzi wa taifa nikaona nitafute sehemu ya kujipongeza, dodoma ni mgeni kidogo hivyo nikatafuta tax nikamueleza dereva tax nikampa specifications ya sehemu nayo penda kupelekwa akaonekana amenielewa basi akanipeleka maisha club. binafsi situmii vileo ila napenda muziki kucheza na kujumuika kweli bwana nikafika nikakuta vijana kwa wazee wanafurahia maisha nami nikajumuika nao mpaka ilipofika mida ya usiku mkubwa nikaona niende kupumzika kwa muda nilookaa mule na kucheza mziki na lile giza giza la mule ndani ramani ikanipotea nikaanza kuutafuta mlango wa kutokea nikauona mlango karibu yangu wakati naukaribia ili nishike kitasa nikapigwa ngumi ya tumbo moja matata sana ni wale mabaunsa walinzi wa club nikamuuliza nini tena bila majibu akanichukua akanisukuma, pale aliponisukumia kulikuwa na mlango mwingine nikawa nashika kitasa ili niufungue pengine nitoke nje nikapigwa tena ngumi nyingine.. da sasa uvumilivu ukanishinda nikamwambia wewe una kichaa mbona unanipiga bila sababu halafu hutoi maelezo akaniambia samahani nilijua umelewa na ule mlango wa kwanza uliokuwa una ufungua ni ofisi na ule wa pili pia namshukuru mungu nimepitia kidogo majugoruu pia nina uwelewa mkubwa wa temper management nikamwambia nimekusamehe ila mwambie bosi wenu aweke alama za maelekezo kama tuonavyo sehemu zingine mfano exit/ kutoka, nilikuwa na mpango wa kuchukua yale mambo yetu yaleee pale nje du lakini huyo baunsa akaniharibia mood kabisa nimemaliza
 
wewe ni wale wa kundi la 201 na ulilewa na ukataka kumchukua demu wa mh. fulani ukidhani changu ndio maana ukatiwa displine. Kweli kama hukulewa utashindwa kujua mlango wa kutokea. Nilikuona siku ile. ulikua umelewa BWIII
 
maisha club Dodoma ni hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Pole sana mkuu,

The issue hapa ni kuwa hii nchi ina maajabu kweli. Ni sehemu nyingi tu za public ambazo zina mapungufu haya ya kutokuwa na alama muhimu kwa ajili ya usalama. Hivi ukitokea moto ndani ya club hiyo na hakuna alama za EXIT si janga?
 
Hatari gani bhana ugo.go mtupu.

Sikatai huenda ukawa ndo mtizamo wako
Lakini kwangu mimi siku ya kwanza nilipofika mahari hapa ilinibidi nifikiche macho kwa mshangao kwamba hivi ni kweli dunia imefika hapa???
hapo nilikuwa kwenye ground flow
nikaona haitoshi ngoja nilipe tsh 30,000/= nipande juu ambako ndo wanakuita v.i.p
Aise ile kuingia tu eeebhanaaa eeeee
nikakuta totoz za kike za kumwaga then kwenye stage kuna wadada wawili wana cheza muziki wakiwa naked!!!!
Nilibaki kukodoa mimacho huku moyoni nikiteta kwamba hakika yale yaliyonenwa na manabii sasa yametimia
kiufupi tu itoshe kusema kwamba SODOMA NA GOMORA inakuja kwa kasi ya hatari sana
Sina uzoefu na kumbi zingine za starehe zaidi ya hapo nilipowahi kuingia na nikaona mambo kwa macho yangu mwenyewe
 
Sikatai huenda ukawa ndo mtizamo wako
Lakini kwangu mimi siku ya kwanza nilipofika mahari hapa ilinibidi nifikiche macho kwa mshangao kwamba hivi ni kweli dunia imefika hapa???
hapo nilikuwa kwenye ground flow
nikaona haitoshi ngoja nilipe tsh 30,000/= nipande juu ambako ndo wanakuita v.i.p
Aise ile kuingia tu eeebhanaaa eeeee
nikakuta totoz za kike za kumwaga then kwenye stage kuna wadada wawili wana cheza muziki wakiwa naked!!!!
Nilibaki kukodoa mimacho huku moyoni nikiteta kwamba hakika yale yaliyonenwa na manabii sasa yametimia
kiufupi tu itoshe kusema kwamba SODOMA NA GOMORA inakuja kwa kasi ya hatari sana
Sina uzoefu na kumbi zingine za starehe zaidi ya hapo nilipowahi kuingia na nikaona mambo kwa macho yangu mwenyewe
Astagghaffiru!naked tena?itanibidi mzee wa michepuko nitie timu hapo.
Hata hivyo umesema huna uzoefu sana na viwanja vya starehe,hivyo ni sawa na kipo.fu kuona mwezi.
 
Sikatai huenda ukawa ndo mtizamo wako
Lakini kwangu mimi siku ya kwanza nilipofika mahari hapa ilinibidi nifikiche macho kwa mshangao kwamba hivi ni kweli dunia imefika hapa???
hapo nilikuwa kwenye ground flow
nikaona haitoshi ngoja nilipe tsh 30,000/= nipande juu ambako ndo wanakuita v.i.p
Aise ile kuingia tu eeebhanaaa eeeee
nikakuta totoz za kike za kumwaga then kwenye stage kuna wadada wawili wana cheza muziki wakiwa naked!!!!
Nilibaki kukodoa mimacho huku moyoni nikiteta kwamba hakika yale yaliyonenwa na manabii sasa yametimia

kiufupi tu itoshe kusema kwamba SODOMA NA GOMORA inakuja kwa kasi ya hatari sana
Sina uzoefu na kumbi zingine za starehe zaidi ya hapo nilipowahi kuingia na nikaona mambo kwa macho yangu mwenyewe
MWANAKA unachekesha sana

Hivi unaweza kwenda uwanja wa mpira kisha uashangae wachezaji wanacheza mpira?

Kama hupendi hizo starehe ulienda kufanya nini maisha club? hakuna suala la sodoma na gomora hayo ni mawazo yako tu...hapo bold naona mwenyewe unasifia kianina. Ila siku nyingine kama hupendi kuona mambo hayo usiingie club za usiku. ndo maana watoto hawaruhusiwi mle
 
Last edited by a moderator:
utakuwa mwana UKAWA tu wewe hamna lolote mnalofanya zaidi ya mitungi na mikasi kwa sasa safi sana hao mabaunsa wangekupiga za chemba ukalazwe kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom