Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
Ukawa bata batani
Kiongozi unanikumbusha yale yaliyoandikwa kwenye Injili wakati wanamsakama Petro kabla hajamkana Yesu mara tatu!utakuwa mwana UKAWA tu wewe hamna lolote mnalofanya zaidi ya mitungi na mikasi kwa sasa safi sana hao mabaunsa wangekupiga za chemba ukalazwe kabisa
Mkuu amini hakuna kipigo kilichotokea kwa illegal migran (kwanza angalia jina lenyewe (Mhamiaji haramu)Hii nchi mtu kupigwa so easy
Hii nchi mtu kupigwa so easy
ni kweli mkuu!mwisho wa dunia haupo mbali sana..Sikatai huenda ukawa ndo mtizamo wakoLakini kwangu mimi siku ya kwanza nilipofika mahari hapa ilinibidi nifikiche macho kwa mshangao kwamba hivi ni kweli dunia imefika hapa???hapo nilikuwa kwenye ground flow nikaona haitoshi ngoja nilipe tsh 30,000/= nipande juu ambako ndo wanakuita v.i.pAise ile kuingia tu eeebhanaaa eeeeenikakuta totoz za kike za kumwaga then kwenye stage kuna wadada wawili wana cheza muziki wakiwa naked!!!!Nilibaki kukodoa mimacho huku moyoni nikiteta kwamba hakika yale yaliyonenwa na manabii sasa yametimiakiufupi tu itoshe kusema kwamba SODOMA NA GOMORA inakuja kwa kasi ya hatari sana Sina uzoefu na kumbi zingine za starehe zaidi ya hapo nilipowahi kuingia na nikaona mambo kwa macho yangu mwenyewe
MWANAKA unachekesha sana
Hivi unaweza kwenda uwanja wa mpira kisha uashangae wachezaji wanacheza mpira?
Kama hupendi hizo starehe ulienda kufanya nini maisha club? hakuna suala la sodoma na gomora hayo ni mawazo yako tu...hapo bold naona mwenyewe unasifia kianina. Ila siku nyingine kama hupendi kuona mambo hayo usiingie club za usiku. ndo maana watoto hawaruhusiwi mle
Mkuu amini hakuna kipigo kilichotokea kwa illegal migran (kwanza angalia jina lenyewe (Mhamiaji haramu)
Hapo Maisha Club hao mabaunsa si kazi yao kupiga, ila ni kuwakaribisha wateja watumie hela zao na kuwalinda ili jina lisichafuke.
Kwa nje huwa kuna Patrol na askari kanzu, kwa yeyote anayeonewa anapeleka malalamiko yake huko na yeyote awe Baunsa au Mjumbe wa Car-T-Bar atachukuliwa hatuwa.
Hata leo km kuna yeyote kapigwa tumboni kwa kugusa mlango au kuibiwa anaruhusiwa kustaki
Akikaa kimya ni kwamba anakubaliana na makosa kuwa ni yake,
(Hao mabaunsa Maisha Club nimeongea nao ni UONGO)
sawa Mkuu Mjumbe wa Bunge la Car-T-Bar hata leo wakaribishwa ila miguu ya kuku huingii nayo wala H/Grenadesawa basi kama mimi ni muongo sikupigwa mwambie huyo bosi wako aweke alama za maelekezo ndani ila next time ntakuja na mguu wangu wa kuku maana naona umeshaanza kutangaza biashara be professional
Ndo maana nikirudi likizo naenda na gang langu zima, sehemu za kueleweka.
Nimeenda hapa Shoppers Plaza juu, what used to be "The Place" back in the days, nimesahau siku hizi panaitwaje, dogo ananionyesha elevator ananiambia kuna watoto walipigana risasi.
Kuingia ndani mabaunsa wanafanya a pat down, pat down yenyewe light kichizi kama mtu una ki handgun in the small of your back unapita nayo.
Nikaona Dar inakuwa kama Kampala siku hizi.
nikakuta totoz za kike za kumwaga then kwenye stage kuna wadada wawili wana cheza muziki wakiwa naked!!!!
Nilibaki kukodoa mimacho huku moyoni nikiteta kwamba hakika yale yaliyonenwa na manabii sasa yametimia
kiufupi tu itoshe kusema kwamba SODOMA NA GOMORA inakuja kwa kasi ya hatari sana
Ndo maana nikirudi likizo naenda na gang langu zima, sehemu za kueleweka.
Nimeenda hapa Shoppers Plaza juu, what used to be "The Place" back in the days, nimesahau siku hizi panaitwaje, dogo ananionyesha elevator ananiambia kuna watoto walipigana risasi.
Kuingia ndani mabaunsa wanafanya a pat down, pat down yenyewe light kichizi kama mtu una ki handgun in the small of your back unapita nayo.
Nikaona Dar inakuwa kama Kampala siku hizi.
sawa Mkuu Mjumbe wa Bunge la Car-T-Bar hata leo wakaribishwa ila miguu ya kuku huingii nayo wala H/Grenade
kuku na nyama choma vipo hao nje mtaa wa Mtendeni
https://www.google.co.tz/search?q=M...%2F08%2Fnew-maisha-club-dodoma.html;1600;1200
View attachment 153658