Yaliyonikuta Maisha Club, Dodoma

Yaliyonikuta Maisha Club, Dodoma

Huyo jamaa kakutana na baunsa,kwahiyo hapo hata ukiwa na gang haisaidii maana wale mabaunsa kama Maisha club wapo wengi sana.Kama unaenda na gang lako labda kujilinda na gang zingine.

Gang langu lina ma baunsa pia.

Naweza kuingia sehemu Dar na Chuche or a Chuche type mabaunsa wote wanamzimikia kama wamemuona Schwarzenneger, na kama humjui unataka kuleta fujo hapo ndipo utakapojua ladha ya nyongo yako mwenyewe.

Tusha roll na wabeba vyuma wa Upanga tangu enzi za Bonny Luv anadandia mabasi.

Au kama vipi naenda boogie letu wenyewe, mabaunsa wa mlangoni mabaunsa wetu wanaonyeshwa kabisa huyu mtu wetu, mstaarabu, kashuka, hajazoea tabu za kifala.

Hao mabaunsa wa hapo Shoppers tu unaambiwa baada ya kuni pat down wakati naingia, nilivyotoka mmoja ananitangazia shida (jamaa sijui kanusa cologne kajua mchizi kashuka au vipi).

Ananitangazia shida, huku wenzake wanamuua.

Basi na mie kwa kuwa zungu la roho, halafu hela za madafu zilikuwa zinanichafulia mfuko wangu, halafu kuanzia kiingilio mpaka vinywaji madogo wamenikataza kutumia hela (wenyewe wanasema "your money is not good here") nikatoa 10,000 na kumuachia.

Sasa baunsa kama huyo ukija siku nyingine tena unafikiri anaweza kukufanyia fujo? Ndiyo kwanza atakuelekeza mlango wa VIP.
 
Gang langu lina ma baunsa pia.

Naweza kuingia sehemu Dar na Chuche or a Chuche type mabaunsa wote wanamzimikia kama wamemuona Schwarzenneger, na kama humjui unataka kuleta fujo hapo ndipo utakapojua ladha ya nyongo yako mwenyewe.

Tusha roll na wabeba vyuma wa Upanga tangu enzi za Bonny Luv anadandia mabasi.

Au kama vipi naenda boogie letu wenyewe, mabaunsa wa mlangoni mabaunsa wetu wanaonyeshwa kabisa huyu mtu wetu, mstaarabu, kashuka, hajazoea tabu za kifala.

Hao mabaunsa wa hapo Shoppers tu unaambiwa baada ya kuni pat down wakati naingia, nilivyotoka mmoja ananitangazia shida (jamaa sijui kanusa cologne kajua mchizi kashuka au vipi).

Ananitangazia shida, huku wenzake wanamuua.

Basi na mie kwa kuwa zungu la roho, halafu hela za madafu zilikuwa zinanichafulia mfuko wangu, halafu kuanzia kiingilio mpaka vinywaji madogo wamenikataza kutumia hela (wenyewe wanasema "your money is not good here") nikatoa 10,000 na kumuachia.

Sasa baunsa kama huyo ukija siku nyingine tena unafikiri anaweza kukufanyia fujo? Ndiyo kwanza atakuelekeza mlango wa VIP.
Aisee kuna watu wengine fujo ni kama hobby yao,yaani kidogo tu lazima iwe msala,unakuta anatamani wazinguane au aingilie ugomvi.
 
Aisee kuna watu wengine fujo ni kama hobby yao,yaani kidogo tu lazima iwe msala,unakuta anatamani wazinguane au aingilie ugomvi.

Hahaha,

Unanikumbusha Bonnie in his younger days.

Bonnie anaweza kuvunja safari zake akijua sehemu kuna ngumi.

Na anaweza kuanza muangaliaji akaishia ulingoni.

It's a wonder hajapata kilema.
 
Hahaha,

Unanikumbusha Bonnie in his younger days.

Bonnie anaweza kuvunja safari zake akijua sehemu kuna ngumi.

Na anaweza kuanza muangaliaji akaishia ulingoni.

It's a wonder hajapata kilema.
hahahaha,aisee kuna jamaa mmoja wa kitambo sana mtaani kwetu nimemkumbuka,huyo jamaa lazima aanzishe tu fujo tu,anajiamini halafu lazima watu wamkwepe wakimwona,chakushangaza alikuja kung'atwa pua na kijana mdogo sana,sijui alimwoteaje,aisee jamaa mpaka leo reception ya uso haifai na yeye mwenyewe kaacha fujo
 
pole mkuu, ungechukua tu yale mambo yetu, si walikupiga tumboni lakini, hawajagusa makao makuu ya mwanaume?
 
Gang langu lina ma baunsa pia.

Naweza kuingia sehemu Dar na Chuche or a Chuche type mabaunsa wote wanamzimikia kama wamemuona Schwarzenneger, na kama humjui unataka kuleta fujo hapo ndipo utakapojua ladha ya nyongo yako mwenyewe.

Tusha roll na wabeba vyuma wa Upanga tangu enzi za Bonny Luv anadandia mabasi.

Au kama vipi naenda boogie letu wenyewe, mabaunsa wa mlangoni mabaunsa wetu wanaonyeshwa kabisa huyu mtu wetu, mstaarabu, kashuka, hajazoea tabu za kifala.

Hao mabaunsa wa hapo Shoppers tu unaambiwa baada ya kuni pat down wakati naingia, nilivyotoka mmoja ananitangazia shida (jamaa sijui kanusa cologne kajua mchizi kashuka au vipi).

Ananitangazia shida, huku wenzake wanamuua.

Basi na mie kwa kuwa zungu la roho, halafu hela za madafu zilikuwa zinanichafulia mfuko wangu, halafu kuanzia kiingilio mpaka vinywaji madogo wamenikataza kutumia hela (wenyewe wanasema "your money is not good here") nikatoa 10,000 na kumuachia.

Sasa baunsa kama huyo ukija siku nyingine tena unafikiri anaweza kukufanyia fujo? Ndiyo kwanza atakuelekeza mlango wa VIP.



Watu kama hao wa milangoni miili mikubwa shida kibao wana njaa hatari...

Nimeshangaa jamaa kupigwa kizembe vile hakuchukua hatua mi nimefukizisha kazi kama 3 hivi tena kwa sababu ya lugha chafu tuu nguvu si mwili bwana...

Huyo ulomwachia elf 10 atakuheshimu sana aisee
 
Aisee na wewe utapoteaje maisha club?february nilikuwa Dodoma ilikuwa raha tu,paukweli kimtindo ila pale hupotei bhana labda ulilewa sana,halafu uwe unaenda na kampani hata ukiwa ugenini tafuta hata washikaji wawili au tatu hivi.

huwez kuwabeba watu mmekutana sku moja tu bar, nlishawah kuingia msala sku moja nimekaa na majamaa mara tumezoweana tuhame bar tuhame bar kumbe mshkaji mmoja amechafua, sina hili wala lile mara askari wanatudandia, kumbe jamaa ni kazi zake kukoddisha handgun yake kwa wakora sku hiyo hao wajingawajinga wake anaowakodisha wamekamatwa nayo, sasa wote tumetiwa kwenye kundi la kubwa za majambazi, walivotupekua na mimi wakanikuta na mashine mbona ilikuwa balaa!!..yaani mpaka kujichomoa nilipiga simu kwa watu ambao huwa spendi kabisa kuwasumbua kwa mambo ya kijinga! ugenini kama sina mwenyeji wa kueleweka mi ni one man army.
 
Watu kama hao wa milangoni miili mikubwa shida kibao wana njaa hatari...

Nimeshangaa jamaa kupigwa kizembe vile hakuchukua hatua mi nimefukizisha kazi kama 3 hivi tena kwa sababu ya lugha chafu tuu nguvu si mwili bwana...

Huyo ulomwachia elf 10 atakuheshimu sana aisee

richa ya nnjaa, tip ni muhimu sana, mi nikiingia sehem kama nakaa sana naanza kutoa tip kwa mlinzi wa parking, natoa tip kwa baunsa, kisha natoa tip kwa mhudumu mmoja ndani, basi hapo amani tele, na unapata kila info unayoitaka.
 
Upigwee tu..eti majoguruu!!??hapo ndipo unaposema uongo..gujuryu mkuuu..
 
richa ya nnjaa, tip ni muhimu sana, mi nikiingia sehem kama nakaa sana naanza kutoa tip kwa mlinzi wa parking, natoa tip kwa baunsa, kisha natoa tip kwa mhudumu mmoja ndani, basi hapo amani tele, na unapata kila info unayoitaka.


Kabisa mkuu hata mi nimeligundua hilo aisee inasaidia...

Hiyo ishu inakufanya upate mambo mengi usoyatarajia hata mi nimegundua hiyo ni njia nzuri ya kunasa watu...

Nakumbuka pale ofisini siku moja boss alinichagua kwenda semina nilivyorudi nilimkatia karibu nusu ya hela nilopata aisee yule boss ( mwanamama) alinifungukia mengi sijapata ona ndo nimejua ukitoa lazima utapokea something...

Hata wavuta bangi wa mtaani ukiwatoa vi elf 10 wanageuka kuwa walinzi wako...
 
richa ya nnjaa, tip ni muhimu sana, mi nikiingia sehem kama nakaa sana naanza kutoa tip kwa mlinzi wa parking, natoa tip kwa baunsa, kisha natoa tip kwa mhudumu mmoja ndani, basi hapo amani tele, na unapata kila info unayoitaka.
Yaani baunsa ukimpa tip hadi wanawake anakutongozea
 
Watu kama hao wa milangoni miili mikubwa shida kibao wana njaa hatari...

Nimeshangaa jamaa kupigwa kizembe vile hakuchukua hatua mi nimefukizisha kazi kama 3 hivi tena kwa sababu ya lugha chafu tuu nguvu si mwili bwana...

Huyo ulomwachia elf 10 atakuheshimu sana aisee

Na mimi niliona hivyo.

Ila ni noma, kwa sababu ukienda dinner na mtoro Pera unaangusha %15 tip, that's gotta be in the vicinity of $15.

Nikaangalia mbingo mwenzangu huyu, halafu kibingobongo no tip, usikute kweli ana matatizo, halafu mie hiyo $10,000 nikipiha hesabu za mtoni hata $10 haifiki, hata hela ya kutafuna chewing gum kwa wiki sijapata.

Nikaona isiwe tabu.

After all Mussa Mansour alitoa zaidi na awali zaidi akitoka zake Italy.

Mie.nikaona.itamuongezea huyo baunsa kuliko itakavyonipungukia, hujui matatizo ya mtu mpaka kakulilia hivyo mwanamme mzima.
 
Na mimi niliona hivyo.

Ila ni noma, kwa sababu ukienda dinner na mtoro Pera unaangusha %15 tip, that's gotta be in the vicinity of $15.

Nikaangalia mbingo mwenzangu huyu, halafu kibingobongo no tip, usikute kweli ana matatizo, halafu mie hiyo $10,000 nikipiha hesabu za mtoni hata $10 haifiki, hata hela ya kutafuna chewing gum kwa wiki sijapata.

Nikaona isiwe tabu.

After all Mussa Mansour alitoa zaidi na awali zaidi akitoka zake Italy.

Mie.nikaona.itamuongezea huyo baunsa kuliko itakavyonipungukia, hujui matatizo ya mtu mpaka kakulilia hivyo mwanamme mzima.

Haha kweli kabisa mishahara yenyewe haipishani na bar maids some time fujo nafikiri hufanya kutafuta heshima kama hawa police wetu failures....
 
sawa Mkuu Mjumbe wa Bunge la Car-T-Bar hata leo wakaribishwa ila miguu ya kuku huingii nayo wala H/Grenade
kuku na nyama choma vipo hao nje mtaa wa Mtendeni


https://www.google.co.tz/search?q=M...%2F08%2Fnew-maisha-club-dodoma.html;1600;1200
View attachment 153658



asante bwana ukwaju ila ni vyema ukafahamu tarehe 28 mwezi huu wa nne wizara ya afya ita adhimisha siku ya usalama mahali pa kazi wasiliana na Welcome to OSHA wakushauri kuhusu safety structure ya kumbi itakuwa ni aibu kwa taifa tukisikia watu (viongozi) wamejeruhiwa kwenye jumba la starehe
 
Upigwee tu..eti majoguruu!!??hapo ndipo unaposema uongo..gujuryu mkuuu..

ndugu na wewe unayaweza? ni pm namba yako tutaftane twende sparring ntakuruhusu uwe na silaha ama zaidi ya mmoja
 
asante bwana ukwaju ila ni vyema ukafahamu tarehe 28 mwezi huu wa nne wizara ya afya ita adhimisha siku ya usalama mahali pa kazi wasiliana na Welcome to OSHA wakushauri kuhusu safety structure ya kumbi itakuwa ni aibu kwa taifa tukisikia watu (viongozi) wamejeruhiwa kwenye jumba la starehe
Safi sana Wajumbe wa Bunge la Katiba km mnatembelea sehemu hizi mkishirikiana na OSHA
NIMEPERUZI hiyo link yako na kukuta mna wataalam kibao lakini mkaanzie Mbagala Zakheem wanakopigana miti hadharani ndio mje kuangalia usalama wa MAISHA CLUB (ambako mnafichwa )

https://www.jamiiforums.com/habari-...ka-`sodoma`-kwa-ngono-za-wazi-hadharani-4.html
550x270-slide12.jpg

Mabinti wenu wa OSHA wanalipa lakini wakawashauri wale wenzao wa Mbagala WAACHE za CHAPCHAP
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom