Yaliyonikuta jana jioni

Yaliyonikuta jana jioni

Mkuu unatupa wsws na wake zetu bana, ndio mana naipinga sana mikusanyiko kwa stail hii watu wanaenda kwa kuzuga tu, bora akae home
 
Ama kweli shetani amehamua kukutumia kujenga ufalme wake! Alikupeleka kwenda kumtoa dada wa watu kwenye Neno la Mungu na kumuingiza ktk uzinzi na kama hyo haitoshi kakutuma ulete hii habari hapa JF ili uendelee kutangaza ni jinsi gani ana nguvu yakuvuta watu ktk dhambi hata wale wanaojaribu kuwa karibu na Mungu! Pole lakini maana tayari umeshapata ujira wako uliyo haki yako!



Ilikuwa majira ya saa kumi jion baada ya kutoka church nilikwenda mahali kukutana na watu fulan kwenye hotel moja Hapa Arusha inaitwa Arusha Tourist Inn kama sijakosea jina tukiwa kwenye mazungumzo nikasikia sauti za mahubir, Nikamuuliza jamaa wapi kuna mahubiri akaniambia ni mahubiri ya Mwakasege kwenye viwanja va reli.


Tulivyomaliza mazungumzo na wale jamaa nikaamua nishuke hapo viwanja vya rel nikapate neno kidogo si mbali na hapo tulipokuwa.

Kufika nilikuta umati mkubwa sana wa watu kiasi ambacho hakuna nafas kusogea mbele tena watu tuliochelewa mwisho wetu palikuwa ni kwenye barabara ya rel kwan kule uwanjan pameshajaa mno.

Nikafika pale nikiwa nimesimama nasikiliza neno ghafla nikaguswa bega kugeuka sikuamini macho yangu kwan alikuwa ni binti tuliowahi kuwa na uhusiano wa kimapenz miaka 12 iliyopita na hatukuwah kuonana tangu mwaka 2002.

Tulikutana sekondary mwaka huo mi nilikuwa form 6 yeye akiwa 4. So tangu nimalize Sekondary hatukwai hata kuwa na mawasiliano kabisa.

Tukaanza story moja mbili yeye ameshaolewa sasa ana mtoto mmoja na mimi pia nipo na familia yangu, Tulizama kwenye story hadi tukasahau kilichotupeleka pale.

Story zillikuwa nyingi mno alinieleza kila kitu kuhusu Mme wake mwisho tukajikuta tuko kwenye makubaliano ya kwenda kukumbushiana.

Ilikuwa ngumu kwa kila mmoja wetu ila mwishowe shetan alitushinda tukajikuta tukitoka eneo la mkutanon majira ya saa 11 jioni.Nikaita tax ili kuondoa ushaid yeye akaacha gari yake palepale uwanjan na mimi nikaacha hapo hapo.

Tukazama kwenye Tax mpaka mafichon nikalipa room tukazama ndani nikaagiza kila kitu faster faster kikaletwa huko room.

Binti ni mrefu mweupe anaumbo namba nane na si haba Mungu kamjalia ana kazi nzuri so anavijisent vya kujaza Harrier mafuta.

Tukaanza kula na kunywa vitu pale mara nimlishe mara anilishe mara aninyweshe kinywaji changu kwa mdomo wake.....Hheheheeh

Mambo ikapamba moto tukasahau chakula na vinywaj mara nimmwngizie mkono ndan ya sketi yake fup ya suti aliyokuwa amevaa huku nayeye akipanua miguu na ndimi zikipokezana mate.

Ghafla akasimama akaanza kuvua nguo kwamba lakin hatu-do leo ni romance tu nikamwambia poa.

Akavua kila kitu na mimi chap chap nikavua kila kitu tukabak kama tulivyozaliwa halafu eti ni Romance tu.

Tukarudi bed nampapasa mapaja anapanua miguu huku akiwa nae ameshikilia kati kati ya miguu yangu akipapasa kidogo nikamlalia kwa juu yake akatanua miguu yote nikamlalia akiwa ametanua miguu huku akiguna na kunilamba masikio na huku akizungusha kiuno chake taratiiiib, Kushtuka tayar saa mbili tukatoka tukapiga bafu Tax ikaja tukaenda chukua Magar uwanjan kule, kwan pale uwanjan wakat wa mkutano ulinzi ni mpaka asubuhi.

NDIYO HIVYO SASA.
 
Naamini kua MUNGU husamehe kwa maana yeye ni mpole na msikivu....!ila hii hadithi haukustahili kuileta hapa kwa kwl haina hata chembe ya maadili naamini ungebaki nalo moyoni na kulijutia ungesikilizwa zaidi samahani wanasema "sometimes its better to open your mind not your mouth" no hard feelingz bro' sorry km mm pia ni tatizo.
 
Teh mleta thread kaja hapa kutuambukiza dhambi zake...
Na mbaya ni kuwa ukimwambukiza mwezio, we bado unakuwa nazo... Yaani kama ukimwi vile.... Si kama chakula kwamba ukimpa mwenzio basi wewe unalala na njaa
 
Eti tukumbushie...yaan binadamu sijui huwa tukoje...mke wa mtu? Mnakumbushia nini? Uzinzi tu uliwajaa
 
Back
Top Bottom