Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,973
Hahahaa. Aisee! Ni hatareeee!!!
Sema kuna wakati mwingine shetani huwa tunalisingizia sema tu lilivyo lijinga haliwezi kukanusha linajichukkulia tu maujiko.
Unajua maandiko yanasena katika kitabu cha Yakobo "Mtu hujaribiwa na TAMAA yake mwenyewe, nayo tamaa ikiishachukua mimba huzaa dhambi, nayo dhambi ikishakomaa huzaa mauti"
Kwa hiyo lishetani lingekua JF lazima lingeshatoa karipio kali lisihusishwe kwenye hili tukio tatanishi la kumtoa mtu ibadani akangonoke.
Sema kuna wakati mwingine shetani huwa tunalisingizia sema tu lilivyo lijinga haliwezi kukanusha linajichukkulia tu maujiko.
Unajua maandiko yanasena katika kitabu cha Yakobo "Mtu hujaribiwa na TAMAA yake mwenyewe, nayo tamaa ikiishachukua mimba huzaa dhambi, nayo dhambi ikishakomaa huzaa mauti"
Kwa hiyo lishetani lingekua JF lazima lingeshatoa karipio kali lisihusishwe kwenye hili tukio tatanishi la kumtoa mtu ibadani akangonoke.
Najaribu kuwaza mchungaji wa watu anahubiriii kwa ustadi unamsikiliza kwa makini, ghafla ibilisi anaingilia kati anakuletea tunda umege, kitendo bila hofu huyoooo..... Baadaye mtu analeta simulizi with cofidence, na anawaathiri wengine kwa kuwapandisha hisia kali za kungonoka.....Kweli kazi ipo kweye hizi ndoa zetu.