Anatakiwa ayafanyie kazi maazimio 15 bila hivyo kinanukaHongera JPM, karibuni wana demokrasia na wapenda maendeleo, mnyika karibu tena tuionyeshe dunia demokrasia ya kitanzania
Ngoja TRA ikutembelee!!kwa hyo agawe wali maharage
Watu wanakufa njaa yeye yupo bize kuzindua madaraja.
Hilo daraja limejengwa? Jiwe tuMaendeleo ni ya vitu ila maendeleo zaidi ni ya watu
Nani kafa njaa?Fanya kazi acha umatonya na mvua ndo hizi zimeanza.Watu wanakufa njaa yeye yupo bize kuzindua madaraja.
mazingira yawaje kwa watu wavivuSerikali haitakawa chakula itaweka mazingira mazuri tu , yakujotafutia chakula.
Vikwazo Vikwazo Vikwazo halafu na sisi tunalianzisha.Anatakiwa ayafanyie kazi maazimio 15 bila hivyo kinanuka
Kwanza wee Wanjiru mkenya. Rais wetu haangaiki na raia wa kenya wanaokufa njaa.Watu wanakufa njaa yeye yupo bize kuzindua madaraja.
Watu wanakufa njaa yeye yupo bize kuzindua madaraja.
Yeye kumaliza muda wake salama kunategemea maazimio 15 ya mabeberualichokuwa anakifanya Kkikwete ni sawa na kumpa mtu Samaki badala ya Nyavu, Subiri JPM amalize muda wake nchi itakuwa ya Maziwa, Ndege, Reli, Umeme, barabara kibao. Tutawasikia mnavyobwabwaja tena maana akili zenu mnazijua wenyewe
Watu wanakufa njaa yeye yupo bize kuzindua madaraja.
Nitajie wawekezaji waliohamisha mitaji yao.Hao hao mabeberu mnaowalamba miguu wanasema Tanzania imekuwa na mazingira wezeshi ya kuwavutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.Kazi gani?! Wawekezaji wenyewe wanahamisha mitaji yao.
Ukishaendeleza watu kielimu,Afya na Kiuchumi hivyo vingine vinakuja automatically.
Ni uzinduzi sio kufungua magari yapiteMmeshalaniwa,uzi uliopo ni rais kuzindua ujenzi wa daraja wewe unatokwa na povu la hadithi za uchumi kukua,kodi,serikali ya wanyonge,so what?,mna tabu kwelikweli!
Una maana bei kwa sasa ziko chini ?wewe ndo kilaza, nani hajui hilo? Hiyo Mishahara iliyopangwa na Kikwete nani anailipa leo? sharia ipi au kifungu gani cha Katiba kinasema mishahara ipande kila mwaka? Jambo la msingi ni kudhibii mfumuko wa Bei. kupandika mishahara halafu bei ya kineriti, chumvi, unga, Maharage vinapaa mara dufu ni kazi bure. Wadanganye wajinga wenzako
EU na US Senate wamemfanya apange ratiba za ufunguzi wa miundombinu, maana pale ndani hapakalikiKwa kasi hii, mpaka JPM.anamaliza muda wake, Bavicha watakuwa wana ugonjwa Wa Moyo.