Yaliyojiri Uwekaji wa jiwe la msingi Daraja la Selander

HV foleni gani inayopungua naona Leo anataka mjibu john mnyika Jana alikuwa surprised sana
 
Foo
kila kukicha wanaamka na habari mbaya tu
Tamko la zanzibar limechina,kosa kubwa wanarudia kwa kudhani ccm itaondolewa na wazungu,wametoa tamko kwa kiingireza kutuonesha kuwa hawapo kwamaslahi ya watanzania
Foolish fool
 
wewe ndo kilaza, nani hajui hilo? Hiyo Mishahara iliyopangwa na Kikwete nani anailipa leo? sharia ipi au kifungu gani cha Katiba kinasema mishahara ipande kila mwaka? Jambo la msingi ni kudhibii mfumuko wa Bei. kupandika mishahara halafu bei ya kineriti, chumvi, unga, Maharage vinapaa mara dufu ni kazi bure. Wadanganye wajinga wenzako
Mkuu, inflation rate haiwezi kuwa 0 % hata udhibiti vipi.

Argument yako ingekuwa na maana kama mishahara ingepanda to meet the inflation rate!!
 
Serikali hii hii Wapinga Maendeleo kamwe hawawezi kuipenda.
Kamwe sitaipenda.Kila napokumbuka mambo haya naichukia kabisa:-
1.watu kutekwa
2.kupigwa risasi KWA tundulisu
3.Watu kubomolewa nyumba zao MF kimara
4.kuwapangi wastaafu namna ya kutumia fedha zao utadhani wamepewa msaada
5.kutumia vibaya kodi zetu MF kujenga uwanja kule kanda pendwa ambao haina faida yoyote kiuchumi
5.Ukiukwaji was haki za binadamu MF kuwaweka watu ndani Vila sababu ya msingi
6.Kukithiri KWA upropa ganda MF watu wakiiambia ukweli sirikali hii inageuza like suala ili Lowe haya kwenye jamii
Na mrngine mengi.
 
Nimefurahi kuona mwakilishi na balozi wa Korea wakikumbusha kuwa hii ni kazi iliyoanzishwa na Kikwete.
Hakuna rais hapa Tanzania ambaye aliingia madarakani akaanzisha mambo yote mapya ya kwake bila kurithi na kuendeleza ya waliomtangulia. Hata Nyerere alirithi mambo mengi tu ya kikoloni (waingereza) alipoingia ikulu ya magogoni na hata mengine hadi leo tunaendelea nayo (zikiwemo sheria n.k). Hata Jakaya Kikwete alipoingia madarakani 2005 alitekeleza na kuzindua mambo mengi tu yaliyoanzishwa na serikali ya awamu ya tatu ya Benjamini Mkapa kama vile ujenzi wa barabara za lami na madaraja, ujenzi wa udom, ujenzi wa shule za sekondari za kata na mengine mengi. HIVYO MAGUFULI KUWEKA JIWE LA MSINGI AU KUZINDUA MAMBO NA MIRADI YA MAENDELEO ILIYOACHWA NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE NI JAMBO LA KAWAIDA SANA HAKUNA CHA KUSHANGAA AU KUMHUKUMU (Huo ni mwendelezo-succession ya utekelezaji wa ilani ya chama). Hata yeye akiondoka madrakani watakao kuja watakuta mambo mengi tu atakayokuwa ameyaanzisha yanasubiri utekelezaji au uzinduzi.

Tunapaswa kumpongeza rais wetu kwa kusimamia barabara utekelezaji wa miradi ya maendeleo no matter aliianzisha yeye au serikali zilizotangulia. Issue kubwa hapa ni utekelezaji maana mradi unaweza kuanzishwa na ukafia hatua za mwanzo kabisa kwa sbabu ya usimamizi mbovu au kutoupa kipaumbele!
 
Hakuna rais hapa Tanzania ambaye aliingia madarakani akaanzisha mambo yote mapya ya kwake bila kurithi na kuendeleza ya waliomtangulia. Hata Nyerere alirithi mambo mengi tu ya kikoloni (waingereza) alipoingia ikulu ya magogoni na hata mengine hadi leo tunaendelea nayo (zikiwemo sheria n.k). Hata Jakaya Kikwete alipoingia madarakani 2005 alitekeleza na kuzindua mambo mengi tu yaliyoanzishwa na serikali ya awamu ya tatu ya Benjamini Mkapa kama vile ujenzi wa barabara za lami na madaraja, ujenzi wa udom, ujenzi wa shule za sekondari za kata na mengine mengi. HIVYO MAGUFULI KUWEKA JIWE LA MSINGI AU KUZINDUA MAMBO NA MIRADI YA MAENDELEO ILIYOACHWA NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE NI JAMBO LA KAWAIDA SANA HAKUNA CHA KUSHANGAA AU KUMHUKUMU. Hata yeye akiondoka madrakani watakao kuja watakuta mambo mengi tu atakayokuwa ameyaanzisha yanasubiri utekelezaji au uzinduzi.

Tunapaswa kumpongeza rais wetu kwa kusimamia barabara utekelezaji wa miradi ya maendeleo no matter aliianzisha yeye au serikali zilizotangulia. Issue kubwa hapa ni utekelezaji maana mradi unaweza kuanzishwa na ukafia hatua za mwanzo kabisa kwa sbabu ya usimamizi mbovu au kutoupa kipaumbele!
Sasa porojo ndefu za nini? Umenisoma lakini?

Au kufurahia kuwa Magufuli anaendeleza mradi ulioanzishwa na Kikwete ni vibaya? Basi hata balozi na msimamisi wa Korea wamefanya makosa kuligusia hilo?

Binafsi naona ingekuwa vibaya kama angeiwacha mradi hiyo.

Kwa maana hiyo basi, miradi yote inayoendelea sasa ni ubunifu wa CCM na Marais wote wanatekeleza ilani ya CCM.

Au siyo?
 
Sasa porojo ndefu za nini? Umenisoma lakini?

Au kufurahia kuwa Magufuli anaendeleza mradi ulioanzishwa na Kikwete ni vibaya? Basi hata balozi na msimamisi wa korea wamefanya makosa kuligusia hilo.

Binafsi naona ingekuwa vbaya angeiwacha mradi hiyo.

Kwa maana hiyo basi, miradi yote inayoendelea sasa ni ubunifu wa CCM na Marais wote wanatekeleza imani ya CCM.

Au siyo?
Siyo porojo maana comment yako inamaudhui ya kutaka kuonyesha(kama kejeli) kuwa huo mradi hakuanzisha rais Maghufuli bali rais mstaafu Kikwete hivyo kama vile Magufuli hana nguvu katika huo mradi ndio maana nikashout out hizo unazoziita porojo mjapo ndio ukweli wenyewe!
OK NIMEKUSOMA CASE CLOSED!
 
Siyo porojo maana comment yako inamaudhui ya kutaka kuonyesha(kama kejeli) kuwa huo mradi hakuanzisha rais Maghufuli bali rais mstaafu Kikwete hivyo kama vile Magufuli hana nguvu katika huo mradi ndio maana nikashout out hizo unazoziita porojo mjapo ndio ukweli wenyewe!
OK NIMEKUSOMA CASE CLOSED!
Unaudhika ukisikia mradi umeanzia kwa Kikwete?

Ikiwa hivyo sasa udhika zaidi...

Ndege mpya pia imeanzia kwa Kikwete.

Train ya SGR imeanzia kwa Kikwete.

Steigler imeanzia kwa Kikwete.

Niendelee?
 
Nimpongeze Mheshimiwa rais kwa kazi nzuri
Hii ni Tanzania yetu sote
Hata watu wenye mawazo mbadala pia wana maono ya kuijenga Tanzania imara
Tushirikiane katika ujenzi wa taifa letu pamoja
Viungo vya mwili ni tofauti lakini lengo kuu ni kuufanya mwili uendelee kufanya kazi kwa utimirifu
 
Back
Top Bottom