Haya ni ya enzi za 70's chama kushika hatamuNikatae kwenda job nikasake mitipwashi, niangalie huu ujinga, zinduzi kama hizi zilitakiwa zifanyike miaka ya 2001 huko, na siyo sasa hivi ccm kweli janga
Haya ni ya enzi za 70's chama kushika hatamuNikatae kwenda job nikasake mitipwashi, niangalie huu ujinga, zinduzi kama hizi zilitakiwa zifanyike miaka ya 2001 huko, na siyo sasa hivi ccm kweli janga
Mbona mimi ninaishi vingunguti lakini sijasikia mabeberu yakisema hilo.acha kuwazushia mbuzi wa watu.mabeberu
Waache kufanya shughuli za maendeleo waje waweke jiwe, sio ushirikina huuKwani wabunge Wa upinzani huwa hawaalikwi? Huwa wwnaalikwa wanavunga, uwachape viboko? Kimsingi Wapinzani hawajui wajibu wao na nafasi yao kwa manufaa ya watu wanaowawakilisha wasingekuwa wanagomea mialiko hii.
Weka jiwe la msingi mambo mengine yaendelee ...sio unaanza kuongea mambo tofauti na jambo husikaSerikali hii hii Wapinga Maendeleo kamwe hawawezi kuipenda.
Kero za maji, umeme, elimu mbona mnashindwa kuzitekelezaUshawah enda kijiji gani ukasikia kero za wananchi ni uhuru wa kujieleza?
Na hautakuja kuona umuimu wake, ila Nyie ndio mnakuaga wakwanza kupigia picha na kuzituma kwa nduguzenu kuwaonyesha mpo Dar.Kikwete kweli alikuwa jembe, miradi anayofungua Jiwe ni ile aliyoipanga kuitafutia fedha kuianza na mingine kubaki utekelezaji tu, hapo naona JPM akiwa waziri akionyesha mchoro wa Daraja hilo By the way hongera JPM kwa utekelezaji mzuri hata hivyo kuna kujifunza juu ya umuhimu wa kuwepo diplomasia na mahusiaon mazuri na nchi nyingine. Lakini pia aheshimu jitahada za watangulizi wake.
Trust me mrithi wako hatapata fursa unayopata kuanza kazi smoothly huku akiwa na miradi ya kutekeleza mkononi ikiwa hali hii ya kidiplomasia inaendelea.
N:B SIJAWAHI KUONA UMUHIMU WA HILO DARAJA toka ilipokuwa idea, kuingia mkataba mpaka sasa utekelezaji wake.
Ni kweli haya yote yalipangwa wakati wa Kikwete na hata huyo Mkorea kaongea kuwa project ilianza kupangwa 2014. shida ni kwani basi hata kusema ukweli tu tunashukuru serikali ya CCM ya awamu ya 4 kuanza na mradi huu na sisi tunaendeleza sera lakini unasikia propaganda. kuna kama Magufuli" jamani Kikwete alifanya mengi tu ila ndio hakuwa na nafanya visherehe kama hivi aliachia wataalamu wafanye kazi zao kimya. leo tumejuwa 2014 kasema mama wa kikoreaKikwete kweli alikuwa jembe, miradi anayofungua Jiwe ni ile aliyoipanga kuitafutia fedha kuianza na mingine kubaki utekelezaji tu, hapo naona JPM akiwa waziri akionyesha mchoro wa Daraja hilo By the way hongera JPM kwa utekelezaji mzuri hata hivyo kuna kujifunza juu ya umuhimu wa kuwepo diplomasia na mahusiaon mazuri na nchi nyingine. Lakini pia aheshimu jitahada za watangulizi wake.
Trust me mrithi wako hatapata fursa unayopata kuanza kazi smoothly huku akiwa na miradi ya kutekeleza mkononi ikiwa hali hii ya kidiplomasia inaendelea.
N:B SIJAWAHI KUONA UMUHIMU WA HILO DARAJA toka ilipokuwa idea, kuingia mkataba mpaka sasa utekelezaji wake.
Kwa wewe buku saba unayopewa lumumba inakutosha basi endelea kulaWanakufa njaa wavivu wa kufanyakazi. Sembe sasa hivi ni sh. 600 tu
Wakati wenzako wanazindua big projects to get big cuts wewe wapiga debe huku bila manufaa yytSerikali hii hii Wapinga Maendeleo kamwe hawawezi kuipenda.
Watu wanakufa njaa yeye yupo bize kuzindua madaraja.
Maturubai hujayaona?Ah ah kuna bonge la nvua, naliona kwa chini, labdabkm anazindulia ndani ya gari, nauona huu uzinduzi wa kiki ukiingia waahka ndg watazamaji
Kila sehemu hapa duniani wana culture zao. Kama ulaya, marekani au asia hawafanyi hivyo haina maana kwamba na waafrika wasifanye hivyo. Otherwise utakuwa ni utumwa wa mawazo na tamaduni. Kila nyumba ina taratibu na utamaduni wake. NADHANI UMEELEWA !Hivi wenzetu duniani wana mbwe mbwe kama Hizi wakiweka jiwe la msingi kwa miradi!?
Kwani mradi Wa Umeme Wa rufiji ulianza kupangwa awamu gani ..umesahau hii nchi ilikua inaongoza kupanga kuliko utekelezajiNi kweli haya yote yalipangwa wakati wa Kikwete na hata huyo Mkorea kaongea kuwa project ilianza kupangwa 2014.
Kama were ulivyo mvivu wa kufikiri. Umeshajiuliza mkulima kauza mahindi kwa bei gani na amepata nini baada ya kutoa gharama za kilimo? Unawaza maugali ugali tu!Wanakufa njaa wavivu wa kufanyakazi. Sembe sasa hivi ni sh. 600 tu