Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru: Kuapishwa kwa Dr. Pombe Magufuli kuwa Rais wa Tanzania

Naililia tanzania yangu nyimbo ninayoikumbuka toka nipo chekechekea mwaka 1987 inasema hivi tanzania ni nchi yenye mali nyingi watu wengi wa ulaya wanaililia sana leo inaenda kumaliziwa rasilimali chache ilizobakiza naumia sana ni heri nchi yenye watu wachache wanaojitambua kuliko watu wengi wanaojitambua wachache maamuma wengi
 
TB joshua yuko wapi ?
tulijulishwa kaja kuhudhuria sherehe za kuapishwa Pombe !
pia tulitaarifiwa Mbabe wa Africa,Mugabe angekuwepo !
wamehudhuria ?

Wapo hapo uwanjani wote wakishuhudia jinsi Ukawa wakivyotendwa.
 
Ni mafuriko,watu ni wengi sana,kwa kuapishwa Rais mpya.Huu ndio ushuhuda wa kweli kama waTanzania wamependa awe Rais wa nchi ya Tanzania.
 
Mtahangaika sana wakuu,,,sasa naomba mjifunze kusikia msiyopenda kusikia, na mambo yenyewe ni haya...RAIS ni MAGUFULI
 
Nyumbu ni wewe unayeamini walukula pesa za escrow wana haki walinunua mabehewa mabovu, kivuko feki pesa za EPA na michongo kibao wewe ndiyo nyumbu mkubwa kukariri kila unalolishwa na Membe na January ambao wanatumia nguvu kubwa kuleta waganga wa kienyeji toka kila pande za dunia lakini mnakaa kuwalaumu Ukawa wakati mmewadhurumu kura zao.
Ebu kua ndugu, rais ni John Pombe Magufuli, kama umezoea uvivu, HAPA KAZI TU.
 
Ni mafuriko,watu ni wengi sana,kwa kuapishwa Rais mpya.Huu ndio ushuhuda wa kweli kama waTanzania wamependa awe Rais wa nchi ya Tanzania.

Dsm kuna watu million 6.5 hapo uwanjani ni padogo sana hata wanachama wa CCM pekee wangeenda wote pasingetosha kujaa uwanja si kipimo cha kuamini kuwa Ukawa wametendewa Haki.
 
Wapo hapo uwanjani wote wakishuhudia jinsi Ukawa wakivyotendwa.

ni ngumu kuamini..
mabadilikoooo..
sijui hapa sijavunja sheria kama walivyovunja UKAWA tallying station? CCM tallying station yenyewe ikabarikiwa.
 

Attachments

  • 1446711149239.jpg
    1446711149239.jpg
    49.2 KB · Views: 302
Ebu kua ndugu, rais ni John Pombe Magufuli, kama umezoea uvivu, HAPA KAZI TU.

Kazi ipi? Hata kupora kura ni kazi pia, kuiba simu ni kazi, kuipa pesa za escrow ni kazi pia hata kile kivuko feki cha Bagamoyo ilikuwa ni kazi vile vile, kazi tu hata mwizi akikuibia mwache si ni kazi tu.
 
Back
Top Bottom