Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru: Kuapishwa kwa Dr. Pombe Magufuli kuwa Rais wa Tanzania

Wapendwa wangu. Tumejadili sana katika kipindi cha uchaguzi mpaka leo tukio la kuapishwa Dr JPM tunashuhudia.
Ni marufuku sasa kunena neno lolote baya juu ya Rais Dr John Magufuli. Biblia inasema "Usimnenee mabaya mkuu wa watu wako. Mdo 23:5" kwa hiyo kuanzia sasa natamka neno hili " KAA KIMYA JUU YA MKUU WA WATU WAKO"
Ukibisha utapambana na mkono wa Mungu.
Amen
 
mvua si ishara ya utukufu wala udhalili wa mtu, bali ni neema na baraka kutoka kwa Allah
Kinyume na hivyo ni itikadi potofu.
 
Siku ya kupiga kura ilinyesha Chato.

Siku ya kutangazwa mshindi ilinyesha Dar(Diamond jubilee na mzazi mmoja).

Leo siku ya kuapishwa Inanyesha Dar (jiji lote ni mvua)

Hii inamaanisha nini wadau?

Acha kwenda kwa waganga. Hizi si zama za kutegemea ndumba na mazingaombwe. Tabia hii ya kuhusisha kila kitu na "some supernatural power" ndio zimefanya hata hatufanikiwi. Tabia hii ndio inafanya tunaua ndugu zetu wenye albinism kutaka viungo vyao. Tunaamini kila kitu. Hata kura tunapiga so irrationally because of this bad behavior. Hatuyatizami mambo kwa uhalisia wake. Mvua hizi zilitabiriwa na wataalaam muda sasa. Au hukusikia wataalam wa hali ya hewa wakionya kuhusu Elnino? Au wataalam hawa walijua in advance kuwa Magufuli ndiye atashinda na hivyo "wakatengeneza" mvua inyeshe siku anaapishwa?
 
Hapa ndipo unaweza kusema swala la Mungu, hatimaye sasa Mungu anatuondolea huu mzigo mzito Watanzania. Huyu jamaa atangazwe kama janga la Taifa.

Wewe Mwanamke Uliyekosa Bwana Mwaka Huu Utakufa Kwa Hizo Hasira Zako Dhidi Ya CCM Yetu Na Sisi Kama Kawaida Ni Mbele Kwa Mbele. Kamtafutie Lowassa Wako Nchi Ya Kuongoza Lakini Siyo Tanzania Hii Kwani HATUMTAKI.
 
TB joshua yuko wapi ?
tulijulishwa kaja kuhudhuria sherehe za kuapishwa Pombe !
pia tulitaarifiwa Mbabe wa Africa,Mugabe angekuwepo !
wamehudhuria ?
 
Bora mchawi kuliko mtu mwenye Wivu. Dini yangu hunifundisha " Kila mtu na atii mamlaka iliyo kuu " Sijui kuhusu dini zingine au wapagani wanafundishwaje. Cku za mwanadamu duniani ni chache, huna haja ya kukufuru kwa kuwa Mungu ndiye mwenye kesho yako. Demokrasia inahitaji watu waliokuwa kiakili, kwa watoto demokrasia ni mzigo. Hivi UKAWA wanavyojua Demokrasia ni  Fisadi Lowassa kushinda? Chadema ilimchafua  Lowassa na yeye kaichafua sasa nini kinawauma? Chama cha Nyumbu hicho.

Nyumbu ni wewe unayeamini walukula pesa za escrow wana haki walinunua mabehewa mabovu, kivuko feki pesa za EPA na michongo kibao wewe ndiyo nyumbu mkubwa kukariri kila unalolishwa na Membe na January ambao wanatumia nguvu kubwa kuleta waganga wa kienyeji toka kila pande za dunia lakini mnakaa kuwalaumu Ukawa wakati mmewadhurumu kura zao.
 
Kijani na njano na ngozi nyeusi ni bendera ya nchi brother tusidanganyane kwa hivyo taifa stars ikicheza sisi mashabiki wa simba tususie jezi ambazo sio nyekundu...
 
Back
Top Bottom