Warioba kwa aliyofanyiwa leo anasimama jukwaani duh napita mie
Mkapa tena! ... wenye kutaka mabadiliko wote ni wapumbavu ..
Hatanusa kwenye kampeni huyu. Kajivunjia heshima ndogo aliyokuwa nayo.Mkapa kachokoza nyuki asubiri mapigo kutoka kwa Vijana wa UKAWA,akumbuke tu alikimbia kampeni arumeru kwa Nassari.
Mkapa.... ATAJUTIA KUTUKANAAAA
MKAPA atakimbia kampeni kama ARUMERU Arusha....
Arumeru, Mkapa, alikimbiaaaaa....akaacha kampeni kisa ALIMTUKANA VICENT NYERERE.... Vicent Nyerere alimkomeshaaaa.... alienda kuomba msamaha haraka...
Mkapa karibu uwanjaniiiii sasa
Kwa kauli ya Mkapa sio mbaya na sisi tunaokerwa na huu umaskini kwenye nchi yetu tunaoamini tumesababishiwa na watawala wetu.
Kwapamoja tuseme TUMEFIKA HAPA KUTOKANA NA UPUMBAVU WA MARAISI WA AWAMU YA 3 NA 4
Upumbavu siyo tusi kamanda labda lofa ndiyo sijui maana yake.Mkapa AWATUKANA UKAWAA......
awaita WAPUMBAVUUUUUU....
eti sbb wanataka kuwakomboa watanzania....
Mkapa....karibu uwanjaniiiii
Kumbe CCM zerooooo kabisaaaaaaa
CCM zerooooooooo.....
ukiwasikiliza hawana KITUUUUUU...
CCM byeee byeeeeee
Kuna kamtindo kameanza kuzoeleka sasa, hasa kwa viongozi wa ccm kutumia salamu ya "asalam alekum", kavukavu, na kua ka ni official, huu ni udini.
mmm mbona kajichanganya mwenyewe?...maana tena kasema tunaendelea kujikomboa kutoka umaskini ujinga na maradhi!....huu ndo ukombozi unaozungumzwa na upinzani na yeye anajua hilo!....Ila alikuwa anaongea kwa jazba sana .....matusi from Mkapa live kwenye TV sikutegemea!
Wanaongea wanatetemekaaaaaaa