Yaliyojiri: Mkutano wa Dr.Slaa Kyela

Yaliyojiri: Mkutano wa Dr.Slaa Kyela

Kweli mzimu wa Zitto unawatesa sana CDM hadi kughushi picha, kazi ipo!!
 
Hahahaa watu wote wanajua mvua ni baraka sasa nyie wakaanga sumu mtajibeba mwaka huu.

Nyie ndio Professional kwenye Mambo ya SUMU, Ben Saanane aliwahi kutuhumiwa kuwa anatembea na sumu ili kumdhuru mzalendo Zitto.
 
Last edited by a moderator:
kwahiyo leo mtakunywa gongo mpaka muoge naona mwaasisi amekuja kuwaongezee nguvu leo lazima mjue inavyotengenezwa.

Haswaaaa si gongo tu leo ni glass za ushindi za whysk na nyama choma. Karibu mkui.
 
nimepiga picha nyingi sana ila ku upload imekuwa magumashi handset niliyonayo imekataa kabisa mafoto

Wewe nawe! Toka lini kasimu ka tochi kakachukua foto? Ok. hongereni kwa vile mnakopesha ruzuku yenu for nothing mko kama vile mateja na pusha wao mkiambiwa imbeni niwape unga mnaimba vueni nguo mtavua ila niwambieni mzunguke weee ila dawa yenu imeiva inawasubiri muinywe japo chungu mtainywa tu mnadhani wanaokuja kushangaa Helcopter wote ni Cdm? Tulieni mnywe dawa yenu wazimu utawatulia tu.
 
Kyela wako kwenye kilimo. Waacheni wajiletee maendeleo yao wenyewe.

Hii mikutano ya namna hii mtawapata watu wa mijini wanaokuja kupitisha siku.
 
Wewe nawe! Toka lini kasimu ka tochi kakachukua foto? Ok. hongereni kwa vile mnakopesha ruzuku yenu for nothing mko kama vile mateja na pusha wao mkiambiwa imbeni niwape unga mnaimba vueni nguo mtavua ila niwambieni mzunguke weee ila dawa yenu imeiva inawasubiri muinywe japo chungu mtainywa tu mnadhani wanaokuja kushangaa Helcopter wote ni Cdm? Tulieni mnywe dawa yenu wazimu utawatulia tu.

hata kama si CDM lakini elimu ya uraia si wanalishwa? watakombolewa tu, mkoloni mweus hana nafasi tena katika nchi hii, your days are numbered, Mene, Mene, Tekel, Upharsin, Belshazzar atadondoshwa tu, Mtume Daniel keshasema.
 
Hivi mpaka sasa hakuna mtangaza nia ya kugombea ubunge kupitia CDM mwenye vigezo ili ajulikane mapema? Mbona mnawapa kichwa CCM na Mwakyembe wao?

stay tuned mkuu , time will tell , tunafahamu jinsi wanakyela wanavyokosa huduma za kibunge , tunaona jinsi vumbi kali lilivyokuwa sehemu ya oxygen pale mjini , tunafahamu pia namna kipindupindu kilivyokuwa kama mafua hapo nyumbani ! DO NOT GIVE UP .
 
uwezi kuamini maelfu wa watu walivyojaa katika uwanja wa siasa wilaya ya kyela licha ya mvua kubwa na upepo mkali wa ziwa nyasa.watu wamegoma kusogeza hata nukta ya unyayo mpaka wamsikilize Dr. slaa
 
nyie ndio professional kwenye mambo ya sumu, ben saanane aliwahi kutuhumiwa kuwa anatembea na sumu ili kumdhuru mzalendo zitto.

kijana rudisha ufahamu?

Toka lini msaliti wa karne zit.to akawa mzalendo?
 
Last edited by a moderator:
Mi natangaza nia ya udiwani apo ngonga

niko tayari kukusaidia kuhakikisha unaingia kwenye halmashauri kwenda kuhakikisha MCHWA HAUTAFUNI HADI SAKAFU , kuna juhudi zingine nazifanya kuhakikisha kata ya ikimba inakwenda cdm .
 
uwezi kuamini maelfu wa watu walivyojaa katika uwanja wa siasa wilaya ya kyela licha ya mvua kubwa na upepo mkali wa ziwa nyasa.watu wamegoma kusogeza hata nukta ya unyayo mpaka wamsikilize Dr. slaa

tunawashukuru sana wanakyela kwa mapokezi mazito mliyompatia DR SLAA .
 
tunawashukuru sana wanakyela kwa mapokezi mazito mliyompatia DR SLAA .

Kwa jinsi vijana wa kyela walivyo wengi mitandaoni na jinsi wanavyopenda siasa. Hapa inaelekea muamko wa hii ziara haukuwa mkubwa kama tunavyoambiwa.

Nimepita hata vijiwe vingine vya Kyela na wameongelea kidogo sana.
 
Mi natangaza nia ya udiwani apo ngonga

karibu mkuu utaupata kiurahisi sana maana diwani wa Ngonga ccm hajui kusoma na kuandika, na kwa kifupi madiwani wote wa kyela watu wamewachoka maana wameshindwa kusimamia maendeleo ya wananchi
 
Haya ndio yaliyokuwa maneno ya Slaa,baada ya kuombwa kutoa ufafanuzi na kijana wa CHADEMA kuhusu swala la Zitto:

"CHADEMA katka nidhamu haijaogopa,vinginevyo hatutakuwa tofauti na CCM.CHADEMA tunajiamin,Tukisimamia kitu tunajiamini tutakisimamia.Kama tusiposimamia maadili ndani ya chama hatuna sababu ya kwenda ikulu,kwa sababu tutakuwa wezi kama CCM.Kama tuliwaondoa madiwani watano,tukaumia sana nafsi zetu kwamba madiwan tunawatafuta kwa gharama kubwa,walipoasi wale madiwan watano,wakaingia kwenye mkataba na CCM,hatukuogopa madhara ya kuwaondowa watano,tuliwaondoa wote.Tofauti na CCM walioshindwa kumuondoa meya fisadi.Kama CHADEMA haitasimamia misingi yake,hatuna sababu ya kuchaguliwa na watanzania kwenda ikulu"

Wana jf naomba tujadili kwa moyo mweupe maneno haya ya kizalendo na ya kiwajibikaji bila ushabiki.
 
Back
Top Bottom