Mungu ana makusudi yake kuleta hiyo mvua hapo, labda anaepusha watu wake kulaghaiwa na huyu Padri aliyeikana ROZARI.
zege halilali,spika zimeingia maji ila mambo ndo yanaanza, sugu anapanda jukwaani ila spika ndo zimeloga tena ila mkutano unaendelea na kadi zinauzwa kama njugu.nitaleta updates
Acha kashfa wewe au mbu walio kuuma jana ndo bado wanakuchanganya.Mungu ana makusudi yake
kuleta hiyo mvua hapo, labda anaepusha watu wake kulaghaiwa na huyu
Padri aliyeikana ROZARI.
weka picha mkuu
zege halilali,spika zimeingia maji ila mambo ndo yanaanza, sugu anapanda jukwaani ila spika ndo zimeloga tena ila mkutano unaendelea na kadi zinauzwa kama njugu.nitaleta updates
Dr.slaa yupo kyela kwa mkutano ambao umeathiriwa na mvua na kusimamisha kwa mda sasa,naona mh.sugu na viongozi kadhaa wa chama
sugu anaanza kuongelea zao la kokoa ambalo serikali imeshindwa kuwekeza ktk viwanda na hata wawekezaji kuweka na kuunda viwanda vya kusindika kokoa ,akitolea mfano wa liberia na ivory coast.pia anaongelea kuhusu uwekezeji ktk uvuvi,kilimo,na kadhilik
mhh kyela kuna wachawi sana..yaani nina uhakika hiyo ki kamati ya ufundi tena ya wazee toka kule katumba songwe...hatariiiiiii kwa ndumba
Dr. Slaaa na CDM gooooooo!!! semeni wazi SSM imelea gongo isiyo na kiwango kila siku wanywaji wanapata maafa. SSM miaka 50 na ushee hamjaona hili janga. Sasa itafanyiwa viwango na packaging na CDM!!!! Mnajidai nini hamkijui wakati konyagi ni gongo iliyo na viwangoo????Tena italeta na Revenue maana East Africa ingekuwa ni soko kubwa. Dr Slaa ana akili sana. Naomba apewe uprofesa wa heshima.
Muda mfupi baada ya kuwasili dr. slaa na msafala wake imeshuka mvua kubwa ikiambatana na radi na kusababisha mkutano wake kusitishwa kwa muda, mpaka hakuna taarifa rasmi zilizotolewa na uongozi wa chama (w) kama ziara hiyo itahairishwa au lah. wachunguzi wa mambo wanasema kutokana na mvua hiyo ujio wake umekuwa wa neema kutokana na wakazi wengi wa hapa wanategemea kilimo na wengine wamesema vigagula vya chama huenda wameshafanya yao hiyo ni kukubalika kwa chadema wilayani hapa source: Kifimboplayer
WANAKYELA ujio wa DR SLAA NI KAMA BARAKA KUTOKA KWA MUNGU , TUITUMIE ZIARA YA MKOMBOZI DR SLAA KUIKOMBOA WILAYA YETU , WANA BUJONDE , NGONGA , MBAKO , KILASILO , KABANGA , KATUMBASONGWE , ISAKI , BODA , KAJUNJUMELE , NKUYU , NGYEKYE , IPINDA , MATEMA , IPANDE NK HII NDIYO NAFASI YENU YA KUMG'OA MKOLONI MWEUSI CCM , NDAGA FIJO GWE NKAMU GWETU WILBROD SLAA , KYALA AKUTULE FIJO !