Yaliyojiri: Mkutano wa Dr.Slaa Kyela

Yaliyojiri: Mkutano wa Dr.Slaa Kyela

Mungu ana makusudi yake kuleta hiyo mvua hapo, labda anaepusha watu wake kulaghaiwa na huyu Padri aliyeikana ROZARI.

Hahahaa watu wote wanajua mvua ni baraka sasa nyie wakaanga sumu mtajibeba mwaka huu.
 
dr.anasema operation hii ipo ktk team sita tatu zipo angani na chopa zingine tatu zipo ardhini na double cabin,na kwa taarifa kuwa ile timu ya lema na mbowe imefunika vibaya moshi
 
dr.anaendelea kuhutumia umati huu mkubwa,anaongelea juu ya katiba sasa na kusema asilimia 72 ya maoni ya katiba mpya toka chadema yamewekwa ktk rasmu ya warioba,

sina cha kukulipa kamanda kwa wema uliotutendea , bali nakuombea dua tu .
 
dr.anasema operation hii ipo ktk team sita tatu zipo angani na chopa zingine tatu zipo ardhini na double cabin,na kwa taarifa kuwa ile timu ya lema na mbowe imefunika vibaya moshi

Piiiipoooozzz !!!! Eee bhana eee! Mbona cdm raha namna hii jamani !
 
Operesheni Pamoja Daima ndiyo Habari ya Mujini kwa sasa.
 
nimepiga picha nyingi sana ila ku upload imekuwa magumashi handset niliyonayo imekataa kabisa mafoto
 
WANAKYELA ujio wa DR SLAA NI KAMA BARAKA KUTOKA KWA MUNGU , TUITUMIE ZIARA YA MKOMBOZI DR SLAA KUIKOMBOA WILAYA YETU , WANA BUJONDE , NGONGA , MBAKO , KILASILO , KABANGA , KATUMBASONGWE , ISAKI , BODA , KAJUNJUMELE , NKUYU , NGYEKYE , IPINDA , MATEMA , IPANDE NK HII NDIYO NAFASI YENU YA KUMG'OA MKOLONI MWEUSI CCM , NDAGA FIJO GWE NKAMU GWETU WILBROD SLAA , KYALA AKUTULE FIJO !

MMA KYALA ALILUBHAFU LWITU,Hakika tutashinda. Pamoja tutaikomboa nchi mikononi mwa wahaini hawa magamba.
 
mhh kyela kuna wachawi sana..yaani nina uhakika hiyo ki kamati ya ufundi tena ya wazee toka kule katumba songwe...hatariiiiiii kwa ndumba

nimeipenda, katumba songwe noma ukileta mbwembwe unaishia kwenye daraja lla IPYANA,
 
WANAKYELA ujio wa DR
SLAA NI KAMA BARAKA KUTOKA KWA MUNGU , TUITUMIE ZIARA YA MKOMBOZI DR
SLAA KUIKOMBOA WILAYA YETU , WANA BUJONDE , NGONGA , MBAKO , KILASILO ,
KABANGA , KATUMBASONGWE , ISAKI , BODA , KAJUNJUMELE , NKUYU , NGYEKYE ,
IPINDA , MATEMA , IPANDE NK HII NDIYO NAFASI YENU YA KUMG'OA MKOLONI


MWEUSI CCM , NDAGA FIJO GWE NKAMU GWETU WILBROD SLAA , KYALA AKUTULE
FIJO !
Hivi mpaka sasa hakuna mtangaza nia ya kugombea ubunge kupitia CDM mwenye vigezo ili ajulikane mapema? Mbona mnawapa kichwa CCM na Mwakyembe wao?
 
dr.anasema operation hii ipo ktk team sita tatu zipo angani na chopa zingine tatu zipo ardhini na double cabin,na kwa taarifa kuwa ile timu ya lema na mbowe imefunika vibaya moshi

mwili wote unanisisimka, huu ndo upinzani sasa. jamaa wanagonga wan-two, wan-two kama Barca vile, dah!! wapi Zana Za Kilimo?
 
Back
Top Bottom