Yaliyojiri: Mkutano wa Dr.Slaa Kyela

Yaliyojiri: Mkutano wa Dr.Slaa Kyela

mzee sijui kaenda kufanya nini kyela mwaka jana alienda akavunja uongozi wote wa kyela akaweka kundi lake walimwambia hawamtaki tena kumuona kyela.

acha unafiki na uzandiki , mambo ya cdm hayakuhusu , umeambiwa kuna nyomi ya kufa mtu , kama hawamtaki wamekujaje ?
 
sugu anaponda mambo ya wabunge wa ccm kuwapa vijana bodaboda,sababu ni uwekezaji mdogo na kuwatumia tu.badala ya kuwekeza katika masuala ya msingi,pia amewaonya viongozi wa vikundi kutumika kwa kuwauza wenzao
 
Kwanin hakuja jumamosi ningefrai kuwepo apo, ila nawatakia wanakyela mkutano mwema

kamanda , habari za siku bhana , hata mimi nimesikitika sana , hata taarifa za mkutano nimezipata very late aisee !
 
kuna picha zimekuwa ni fake na picha halisi nitaleta.sasa jembe msigwa ndo kapanda jukwaani,mapicha naleta sasa hiv,mafundi wamerekebisha vipaza sauti sasa mambo yanaendelea vema.
 
kamanda songa mbele daima hawa wanafiki waacha wapige kelele ulevi wa kiroba ukiisha watatulia nasikia nape analalamika kuhuzu mawaziri mizigo anasahau hata ccm mzigo
 
Mvua ni dalili njema, ni Baraka sana wakuuuuuuuuuuu!!! Piga hao mpaka kieleweke!!! Go Daktari wa ukweli aliyesoma kuliko hao wanaopewa wa uheshima wakati walipata degree ya pass, karibia na mstari wa kudisco!!

Bahati mbaya kitufe cha "like" hakipo. Chukua "like" hiyo.

Tiba
 
Kamanda saaafi naona dk kaskia maombi yetu,. Mimi nilikua kiwira gafla nikaona kamanda anaenda santilya huko mbeya vijijini sasa ndo naskia yupo home kyela
kamanda , habari za siku bhana , hata mimi nimesikitika sana , hata taarifa za mkutano nimezipata very late aisee !
 
kwahiyo leo mtakunywa gongo mpaka muoge naona mwaasisi amekuja kuwaongezee nguvu leo lazima mjue inavyotengenezwa.

Siyo gongo tu, mbona ndugu zako wanakunywa na mabega yalishapinda!!!! Leo ni VAT 69, John Walker Black label, cinnamon, etc plus nyama choma!!!! Ha ha ha!! Karibu sana mkuu pata kitu roho inataka.
 
Hii itakua hasara,timing ya hii operation yao sio nzuri,wangevuta hadi mwezi wanne ama watano,watu focus yao sahizi ni mashambani.
 
Bahati mbaya kitufe cha "like" hakipo. Chukua "like" hiyo.

Tiba
Asante sana mkuu, Tiba tupo pamoja. Hata mimi kweli leo naona tangu jana sioni kitufe cha like sijui ni virus kala au. Mods mko wapi?? Invisible!!! Mimi kama nikifurahi sana nabonyeza tu reputation power mkuu maana michango ya watu ni smart sana, yaani imetumia braini kabisa. Ni lazima kieleweke mkuu wangu maana ndugu zetu wanateseka sisi tunazalisha mjini vinaishia extended family maana yale maisha bora hawajaona. Piga hao, popoa kwa mawe.
 
msigwa ndio kapanda jukwaan,anasema ukimuona kinana weka mbali na tembo,pia anawakumbusha wananchi kuwa ukitaka maendeleo chagua chadema na tuachane na chama cha raisi anayechekacheka na kuomba misaada ya kondom na net kwa obama.
 
Safi sana makamanda, hakuna kulala mpaka kieleweke, mvua sio tija mbele ya kutafuta ukombozi, Chadema mpango wa Mungu, mafisadi wanatetemeka sana kusikia Dr Slaa yupo anaelemisha wananchi, wanaumia sana.
 
raisi wa moyoni anaongea na wananchi sasa,anasema tumshukuru Mungu kwa baraka ya mvua na kushukuru watu kwa mapenzi yao kwa cdm,pia anaeleza mkakati wa m4c pamoja daima na kusema kuwa chadema ikiingia ikulu itauza ndege ya raisi kwan haina manufaa tz
 
dr.anaendelea kuhutumia umati huu mkubwa,anaongelea juu ya katiba sasa na kusema asilimia 72 ya maoni ya katiba mpya toka chadema yamewekwa ktk rasmu ya warioba,
 
Mungu ana makusudi yake kuleta hiyo mvua hapo, labda anaepusha watu wake kulaghaiwa na huyu Padri aliyeikana ROZARI.
itakuwa Mungu amewaepusha na mipango miovu ya yule gaidi aliyepelekwa wzara ya fedha......!!!!!
 
Back
Top Bottom