commander Tolero
Member
- Jan 19, 2014
- 13
- 0
Kabla hujaccoment kitu hebu shirikisha ubongo wako kwanza! Maana ni afadhali kukaa kimya kuliko kutoa mawazo ya kipuuzi na kibaguzi ukazidi kudhihirisha upumbavu wako
Watch "Freeman Mbowe alipomfagilia JK kwa juhudi zake za kuendeleza miundombinu Tanzania" on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=vlH-YG_Kmnw&feature=youtube_gdata_player
Mbona maadili ya mbowe hayasiamamiwa na chama kitendo chake na Joyce Mukya?
Dr Slaa anakadi ya CCM,
Mbowe kala hela za CCM,Mkono na Rostam,
Ila Zitto akihusishwa na CCM anaonekana msaliti na mhaini!!
suala la matumizi ya rudhuku na matumizi ya chama mbona slaa sijawahi kusikia anazungumzia?nitoeni ukungu jamani
Na kwa kuonyesha umahiri wa chama nafasi zote zikarudishwa na CCM ikaambulia aibu ya kushindwa pamoja na kuandaa mauaji.Ni kweli mtupu Dr Slaa kasema kama madiwani watano waliwajibishwa hakuna kizuizi kwa yeyote kwayo ,nidhamu ni jambo la msingi katika utawala wowote