Yaliyojiri: Mkutano wa Dr.Slaa Kyela

Yaliyojiri: Mkutano wa Dr.Slaa Kyela

There is no need to discuss about someone's personal issues! Masuala ya Mbowe ni ya Mbowe! Na ya chama ni ya chama! Chadema huwa tunaamini ktk kusimamia kile tunachokiamini! Zitto anastahili kuadhibiwa kwa alichokifanya! Alishaonywa zaidi ya Mara nne hadi kufikia kukalishwa na wazee wanne wa busara wa chama lakini hasikii! Sasa mtu unataka abebwe na mbeleko gani!

Nani alikuambia unaweza kutenganisha uongozi wa umma na masuala binafsi? Ukishakuwa mtu maarufu whether ni mwanasiasa au siyo mwanasiasa masuala yako binafsi yanakuwa na interest kwenye public. Wewe hujasikia viongozi wakubwa waliowahi kujiuzuru kwa kashfa za ngono, mmoja wapo ni mkurugenzi mtendaji wa bank ya dunia aliyepita , tena aliponea chupuchupu kutupwa ndani Marekani.

Tunahitaji viongozi waadilifu, sio mtu anasema anapinga ufisadi wakati anaenda kutanua Dubai na kimada kwa hela ya walipakodi. Je, akipewa nchi itakuwaje?
 
Haya ndio yaliyokuwa maneno ya Slaa,baada ya kuombwa kutoa ufafanuzi na kijana wa CHADEMA kuhusu swala la Zitto:

"CHADEMA katka nidhamu haijaogopa,vinginevyo hatutakuwa tofauti na CCM.CHADEMA tunajiamin,Tukisimamia kitu tunajiamini tutakisimamia.Kama tusiposimamia maadili ndani ya chama hatuna sababu ya kwenda ikulu,kwa sababu tutakuwa wezi kama CCM.Kama tuliwaondoa madiwani watano,tukaumia sana nafsi zetu kwamba madiwan tunawatafuta kwa gharama kubwa,walipoasi wale madiwan watano,wakaingia kwenye mkataba na CCM,hatukuogopa madhara ya kuwaondowa watano,tuliwaondoa wote.Tofauti na CCM walioshindwa kumuondoa meya fisadi.Kama CHADEMA haitasimamia misingi yake,hatuna sababu ya kuchaguliwa na watanzania kwenda ikulu"

Wana jf naomba tujadili kwa moyo mweupe maneno haya ya kizalendo na ya kiwajibikaji bila ushabiki.

Hili ndo chaguo la mungu yule yule dk wa kuchonga ametuulia c cm
 
Haya ndio yaliyokuwa maneno ya Slaa,baada ya kuombwa kutoa ufafanuzi na kijana wa CHADEMA kuhusu swala la Zitto:

"CHADEMA katka nidhamu haijaogopa,vinginevyo hatutakuwa tofauti na CCM.CHADEMA tunajiamin,Tukisimamia kitu tunajiamini tutakisimamia.Kama tusiposimamia maadili ndani ya chama hatuna sababu ya kwenda ikulu,kwa sababu tutakuwa wezi kama CCM.Kama tuliwaondoa madiwani watano,tukaumia sana nafsi zetu kwamba madiwan tunawatafuta kwa gharama kubwa,walipoasi wale madiwan watano,wakaingia kwenye mkataba na CCM,hatukuogopa madhara ya kuwaondowa watano,tuliwaondoa wote.Tofauti na CCM walioshindwa kumuondoa meya fisadi.Kama CHADEMA haitasimamia misingi yake,hatuna sababu ya kuchaguliwa na watanzania kwenda ikulu"

Wana jf naomba tujadili kwa moyo mweupe maneno haya ya kizalendo na ya kiwajibikaji bila ushabiki.


Ni ujuha kurusha chopa tatu angani huku watanzania wenzao wanakufa njaa kwenye mafuriko kule...

By the way ikulu wanaenda vipi ili hali geto lao pale ufipa wanashindwa hata kukarabati??

Waende ikulu wakajitajirishe?ikulu haendi mtu maskini na mtovu wa maadili hata siku moja,aliweza nyerere tuh,hao wachaga wakapike gongo tuh
 
Aliowaroga kwamba chadema itaenda ikulu anastahili kupewa tuzo ya NOBEL...


:dance: :dance:
 
Haya ndio yaliyokuwa maneno ya Slaa,baada ya kuombwa kutoa ufafanuzi na kijana wa CHADEMA kuhusu swala la Zitto:

"CHADEMA katka nidhamu haijaogopa,vinginevyo hatutakuwa tofauti na CCM.CHADEMA tunajiamin,Tukisimamia kitu tunajiamini tutakisimamia.Kama tusiposimamia maadili ndani ya chama hatuna sababu ya kwenda ikulu,kwa sababu tutakuwa wezi kama CCM.Kama tuliwaondoa madiwani watano,tukaumia sana nafsi zetu kwamba madiwan tunawatafuta kwa gharama kubwa,walipoasi wale madiwan watano,wakaingia kwenye mkataba na CCM,hatukuogopa madhara ya kuwaondowa watano,tuliwaondoa wote.Tofauti na CCM walioshindwa kumuondoa meya fisadi.Kama CHADEMA haitasimamia misingi yake,hatuna sababu ya kuchaguliwa na watanzania kwenda ikulu"

Wana jf naomba tujadili kwa moyo mweupe maneno haya ya kizalendo na ya kiwajibikaji bila ushabiki.

Dr. Wilbroad Slaa hata kama hutakuwa Rais wa nchi hii lakini nitakuita Rais wangu hadi niingie kaburini. Salute.
 
Aliowaroga kwamba chadema itaenda ikulu anastahili kupewa tuzo ya NOBEL...


:dance: :dance:

Endelea kuuza Gongo mkuu, SSM mmeshindwa kushughulikia viwango vya gongo inaua watu na mabega yanapanda mithili ya mlima. Ngoja CDM watashughulika ipate viwango ili uuze kwa raha zako Muuza Gongo.
 
Ni ujuha kurusha chopa tatu angani huku watanzania wenzao wanakufa njaa kwenye mafuriko kule...

By the way ikulu wanaenda vipi ili hali geto lao pale ufipa wanashindwa hata kukarabati??

Waende ikulu wakajitajirishe?ikulu haendi mtu maskini na mtovu wa maadili hata siku moja,aliweza nyerere tuh,hao wachaga wakapike gongo tuh
Nani kasema, watu walikuwa hawana hata nyumba majuzi ndo tumewajengea!!!!! Ikulu inatakiwa maskini maana ndo mwenye uchungu na nchi hii. Nyie mafisadi na watoto wenu na ndugu zenu na utajiri wenu ikulu mmefanya nini?? Hamtakiwi pale, pisheni maskini asilani!!
 
haya ndio yaliyokuwa maneno ya slaa,baada ya kuombwa kutoa ufafanuzi na kijana wa chadema kuhusu swala la zitto:

"chadema katka nidhamu haijaogopa,vinginevyo hatutakuwa tofauti na ccm.chadema tunajiamin,tukisimamia kitu tunajiamini tutakisimamia.kama tusiposimamia maadili ndani ya chama hatuna sababu ya kwenda ikulu,kwa sababu tutakuwa wezi kama ccm.kama tuliwaondoa madiwani watano,tukaumia sana nafsi zetu kwamba madiwan tunawatafuta kwa gharama kubwa,walipoasi wale madiwan watano,wakaingia kwenye mkataba na ccm,hatukuogopa madhara ya kuwaondowa watano,tuliwaondoa wote.tofauti na ccm walioshindwa kumuondoa meya fisadi.kama chadema haitasimamia misingi yake,hatuna sababu ya kuchaguliwa na watanzania kwenda ikulu"

wana jf naomba tujadili kwa moyo mweupe maneno haya ya kizalendo na ya kiwajibikaji bila ushabiki.

majibu ni sahihi kulingana na swali.
 
Jiulize wewe umezini mara ngapi pungufu au zaidi ya slaa?
 
Katuni%2BZITTO.jpg
 
vipi yule anayeenda kuvinjari na mahawara huko dubai huku wamechukua posho za bunge na yule aliyepora mke wa mtu
Mambo ya ukuni yana kuumiza sana hahaha, tunaangalia hatima ya mbadala wa maisha ya watanzania , kazi na dawa kama kawa hahaha, cha msingi tunataka mabadiliko, tumetosheka na hali ngumu ya maisha duni pasipo sababu za msingi
 
Chadema kwenda ikulu ni ngumu kuliko kwa Dr Slaa kurudia kazi yake ya Upadre,mark my words
 
Back
Top Bottom