Uchaguzi 2020 Yaliyojiri mjini Kahama katika mapokezi ya Tundu Lissu

Boda boda hawawezi mpeleka mtu IKULU wapo kazini tu, wanasubiri mafuta na hela ya ugoro. Siku ya uchaguzi watafanya kazi ya kupeleka wakina mama na wazee kupiga kura na hao watamchagua baba lao DrJPM. Subiri na uone.....!!!
litaiba tu.
 
Ni Kama vile shughuli zimesimama katika mji wa Kibiashara wa Kahama.

Mamia kwa Mamia ya wakazi wa mji wa Kahama wako majiani wakisubiri ujio wa kipenzi chao Tundu Antipass Lissu anayetarajia Kuwasili hapa wakati wowote kuanzia sasa

Kuna idadi kubwa ya vijana wa bodaboda wameondoka kwenda kumlaki shujaa huyo, huku akina mama wakiandaa Kanga kutandika chini ili apite juu yake.Maduka mengi yamefungwa na wafanyibiashara wamejipanga kandokando mwa barabara
View attachment 1534118
Haya maandamano yalishapigwa marufuku
 
Ni Kama vile shughuli zimesimama katika mji wa Kibiashara wa Kahama.

Mamia kwa Mamia ya wakazi wa mji wa Kahama wako majiani wakisubiri ujio wa kipenzi chao Tundu Antipass Lissu anayetarajia Kuwasili hapa wakati wowote kuanzia sasa

Kuna idadi kubwa ya vijana wa bodaboda wameondoka kwenda kumlaki shujaa huyo, huku akina mama wakiandaa Kanga kutandika chini ili apite juu yake.Maduka mengi yamefungwa na wafanyibiashara wamejipanga kandokando mwa barabara
View attachment 1534118
Haka ka videp clip kafanye kawe karefu kidogo kanatupa raha.
 
Ingekependeza zaidi kama vyombo vyetu vya habari navyo vikampa coverage walau ya nusu ya Mwenyekiti wa chama chetu, ili tuweze kuona na kupima kiuhalisia nguvu zetu CCM!
Walipie AIRTIME tu kila chombo kitawarusha LIVE. Siyo masuala ya BURE hata hao wa CCM wanalipa, haijarishi wamerusha CHANNEL 10 au STARTIMES! Eleweni hivyo NO FREE LUNCH, hapa ni pesa tu ili wakurushe LIVE!
 
TAL kupata watu wengi kila anapopita sio uhakika kuwa watu wanamkubali katika maeneo hayo. Inawezekana kuwa watu hao wanajitokeza kumshangaa mtu aliyeshambuliwa na risasi na kupona. Muhimu jipangeni kwa kampeni. Msifanye propaganda dhaifu. Itakuwa mmewasahau watanzania wapenda matukio. Lowasa alijaza watu hapohapo Kahama. Kumbe wakitaka kumuona anafananaje. Walipotoka hapo wakasema kumbe Lowasa mwenyewe mzee hata kutembea hawezi!! Wapiga kura hawatofautiani sana na wajumbe. Watajaa kwenye kampeni zako na kukupokea ila moyoni wana mtu wao. Be careful guys...
 
Yale yale ya mwaka 2015,Niko hapa kahama sioni shamla shamla yoyote,na isitoshe wamewekewa mafuta lita mbili kila bodaboda sasa hata kama in mimi kwanini nisijifanye nampenda Huyo lissu wenu

Ukweli mtaujua October, hamtarudia tena kumsimamisha huyu lissu maana kipigo atakachopata ni cha jini kahaba
Kwahiyo Chato ni Kahama siku hizi?
 
TAL kupata watu wengi kila anapopita sio uhakika kuwa watu wanamkubali katika maeneo hayo. Inawezekana kuwa watu hao wanajitokeza kumshangaa mtu aliyeshambuliwa na risasi na kupona. Muhimu jipangeni kwa kampeni. Msifanye propaganda dhaifu. Itakuwa mmewasahau watanzania wapenda matukio. Lowasa alijaza watu hapohapo Kahama. Kumbe wakitaka kumuona anafananaje. Walipotoka hapo wakasema kumbe Lowasa mwenyewe mzee hata kutembea hawezi!! Wapiga kura hawatofautiani sana na wajumbe. Watajaa kwenye kampeni zako na kukupokea ila moyoni wana mtu wao. Be careful guys...
Tatizo la upinzani huwa hawajifunzi kabisa, Kahama lowasa alijaza, slaa alijaza lakini wabunge wameendelea kutoka ccm tuuuu na rais hujizolea kura apendavyo, siasa ni sayansi wajameni
 
Back
Top Bottom