FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,108
- 13,346
Uhame nchi uende wapi we takataka..Mkuu we subiri October huyu jamaa atapata kupigo cha mbwa mwizi wa mayai ,nakuhakikishia,akipata asilimia 5 ya kura zote nahama nchi
Uhame nchi uende wapi we takataka..Mkuu we subiri October huyu jamaa atapata kupigo cha mbwa mwizi wa mayai ,nakuhakikishia,akipata asilimia 5 ya kura zote nahama nchi
litaiba tu.Boda boda hawawezi mpeleka mtu IKULU wapo kazini tu, wanasubiri mafuta na hela ya ugoro. Siku ya uchaguzi watafanya kazi ya kupeleka wakina mama na wazee kupiga kura na hao watamchagua baba lao DrJPM. Subiri na uone.....!!!
Nilivyoona siku ile uwanja wa taifa kwenye msiba wa mkapa uwanja umenas wanafunzi na waamlimu na wanajeshi ndio nilijuwa bulldozer kachacha kweli kaachwa waziHuyo bulldozer watu wanalazimishwa kujitokeza, vinginevyo wanafanyiziwa kwenye shughuli zao. Hao wametoka kwa mapenzi yao.
Tulia Dawa iwaingie!Hamna chochote huyu Tundu Lissu. Hapati ata 15% ya kula zitakazopigwa
Haya maandamano yalishapigwa marufukuNi Kama vile shughuli zimesimama katika mji wa Kibiashara wa Kahama.
Mamia kwa Mamia ya wakazi wa mji wa Kahama wako majiani wakisubiri ujio wa kipenzi chao Tundu Antipass Lissu anayetarajia Kuwasili hapa wakati wowote kuanzia sasa
Kuna idadi kubwa ya vijana wa bodaboda wameondoka kwenda kumlaki shujaa huyo, huku akina mama wakiandaa Kanga kutandika chini ili apite juu yake.Maduka mengi yamefungwa na wafanyibiashara wamejipanga kandokando mwa barabara
View attachment 1534118
Haka ka videp clip kafanye kawe karefu kidogo kanatupa raha.Ni Kama vile shughuli zimesimama katika mji wa Kibiashara wa Kahama.
Mamia kwa Mamia ya wakazi wa mji wa Kahama wako majiani wakisubiri ujio wa kipenzi chao Tundu Antipass Lissu anayetarajia Kuwasili hapa wakati wowote kuanzia sasa
Kuna idadi kubwa ya vijana wa bodaboda wameondoka kwenda kumlaki shujaa huyo, huku akina mama wakiandaa Kanga kutandika chini ili apite juu yake.Maduka mengi yamefungwa na wafanyibiashara wamejipanga kandokando mwa barabara
View attachment 1534118
Huko si ndio Nyumbani kwa Ngosha?? Kuna watu wana nyota ya kupendwa Lissu ni kiboko.Tuko huku kumekucha ni nderemo na vifijo
Kwa sasa anajitahidiTatizo lako siku mbili hizi unakuwa busy sana hadi unasahau umuhimu wa kutupia picha angalau
Wacha apambane ili atujuze kinacho jiliKwa sasa anajitahidi
Sipati picha jiwe atakuwa na hali gani sasa hivi, usishangae ukasikia kuna ziaraHuko si ndio Nyumbani kwa Ngosha?? Kuna watu wana nyota ya kupendwa Lissu ni kiboko.
Walipie AIRTIME tu kila chombo kitawarusha LIVE. Siyo masuala ya BURE hata hao wa CCM wanalipa, haijarishi wamerusha CHANNEL 10 au STARTIMES! Eleweni hivyo NO FREE LUNCH, hapa ni pesa tu ili wakurushe LIVE!Ingekependeza zaidi kama vyombo vyetu vya habari navyo vikampa coverage walau ya nusu ya Mwenyekiti wa chama chetu, ili tuweze kuona na kupima kiuhalisia nguvu zetu CCM!
Naikumbuka sana nami nilikuepo. Tanesco walizima umeme mji mzimaNimekumbuka mapokezi ya Mamvi hapo Kahama 2015 nyomi ile ni mbingu na jua na Hawa watu wachache wa leo kwa TAP
Watanzania sio wale.
kwa kuwa huelewi unachoongea msubhathi, itoshe kusema tu asante kwa kunijibuWalipie AIRTIME tu kila chombo kitawarusha LIVE. Siyo masuala ya BURE hata hao wa CCM wanalipa, haijarishi wamerusha CHANNEL 10 au STARTIMES! Eleweni hivyo NO FREE LUNCH, hapa ni pesa tu ili wakurushe LIVE!
Kwahiyo Chato ni Kahama siku hizi?Yale yale ya mwaka 2015,Niko hapa kahama sioni shamla shamla yoyote,na isitoshe wamewekewa mafuta lita mbili kila bodaboda sasa hata kama in mimi kwanini nisijifanye nampenda Huyo lissu wenu
Ukweli mtaujua October, hamtarudia tena kumsimamisha huyu lissu maana kipigo atakachopata ni cha jini kahaba
Mkuu atakuwa katingwa na majukumu ..lkn kzr waliotutabiria kifo naona walikuwa wanajitabiria waoTatizo lako siku mbili hizi unakuwa busy sana hadi unasahau umuhimu wa kutupia picha angalau
Tatizo la upinzani huwa hawajifunzi kabisa, Kahama lowasa alijaza, slaa alijaza lakini wabunge wameendelea kutoka ccm tuuuu na rais hujizolea kura apendavyo, siasa ni sayansi wajameniTAL kupata watu wengi kila anapopita sio uhakika kuwa watu wanamkubali katika maeneo hayo. Inawezekana kuwa watu hao wanajitokeza kumshangaa mtu aliyeshambuliwa na risasi na kupona. Muhimu jipangeni kwa kampeni. Msifanye propaganda dhaifu. Itakuwa mmewasahau watanzania wapenda matukio. Lowasa alijaza watu hapohapo Kahama. Kumbe wakitaka kumuona anafananaje. Walipotoka hapo wakasema kumbe Lowasa mwenyewe mzee hata kutembea hawezi!! Wapiga kura hawatofautiani sana na wajumbe. Watajaa kwenye kampeni zako na kukupokea ila moyoni wana mtu wao. Be careful guys...