TANZANNIA
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,047
- 382
kipofu kaona mwezi!mnyama amewagaragaza miaka mingapi?Watu wa simba bwana...! Eti ukiwaulizia "Vipi matokeo" wanasema "shule za private zinaongoza"
Tutegemee hilo nalo kuibuka kwenye bunge la mwezi wa nne. "Mh. Spika tunapozungumzia wawindaji haramu hata Yanga wanahusika, tumeshuhudia wakiua Simba uwanja wa Taifa na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa.
Spika: Waziri wa maliasili na utalii msjibu!
Waziri: Mh. Spika napenda kuhakikishia bunge lako tukufu kuwa simba kuliwa na Yanga ni halali na wana kibali cha kumwinda kwa zaidi ya miaka 80 sasa.
Wabunge: makofi wawaaaa wawaaa wawaaa!!!