Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,538
nadhani wewe utakuwa kichaa kabisaa maana hujui simba inanafasi gani moyoni mwangu
nadhani wewe utakuwa kichaa kabisaa maana hujui simba inanafasi gani moyoni mwangu
nadhani wewe utakuwa kichaa kabisaa maana hujui simba inanafasi gani moyoni mwangu
nadhani wewe utakuwa kichaa kabisaa maana hujui simba inanafasi gani moyoni mwangu
Wewe..,,, ni ZUZU
Hahahaah kijana hongereni
Hahahaah ndio yote yalikuwa ya offsideEti kweli magoli yalikuwa ya offside mliyo bonyezwa?
Aisee.....!! Ilikuwa balaa Jana.
Mnaweza kata rufaa game irudiwe?Hahahaah ndio yote yalikuwa ya offside
Mashabiki wa Kimba ya Msimbazi
cc GENTAMYCINEMabinwa watetezi wa ligi hiyo timu ya Yanga wanaongoza kwa kuwafunga watani zao Simba wakiwa wameshinda mechi 31 kati ya 81 wakati Simba wao wameifunga Yanga kwenye mechi 23 kati ya 81 huku mechi mechi 27 kati ya 81 zikiwa nisare.
JE RAFU ALIYOCHEZA JUMA ABDUL,MBUYU TWITE HAZIKUWA RAFU,MWAMUZI ALITOA KADI?KUANZIA NDIPO ALIPOSHINDWA KUSIMAMIA MCHEZO,NA HII NDIYO TABIA YA WAAMUZI WA TANZANIA WANATUHARIBIA BMPIRA NA KUPOTEZA RADHSA YAKE.
Vipi mbona huzungumzii Rafu iliyofanywa na Hassan kessy, Je hukuiona ile penal waliyonyimwa YANGA?JE RAFU ALIYOCHEZA JUMA ABDUL,MBUYU TWITE HAZIKUWA RAFU,MWAMUZI ALITOA KADI?KUANZIA NDIPO ALIPOSHINDWA KUSIMAMIA MCHEZO,NA HII NDIYO TABIA YA WAAMUZI WA TANZANIA WANATUHARIBIA BMPIRA NA KUPOTEZA RADHSA YAKE.
HIYO RAFU YA KESSY ILIKUWA YA MUDA GANI,BAADA YAA KADI NYEKUNDU KUTOKA AU KABLA?TATIZO LA SOKA LA NCHI HII LINAMALIZZWA NA UJANJA UJANJA WA KUAPATA MATOKEO NJE YA UWANJA NA NDIYO MAANA MWISHO WA YANGA NI RAUNDI YA PILI KATIKA MASHINDANO YA KIMATAIFA,KAMA ILIKUWA TAYARI KADI NYEKUNDU ILIKUWA IMESHATOKA ALIONA HAKUNA HAJA KAZI YAKE KUIDHOOFISHA SIMBA ALISHAMALIZA NA MATUNDA YALISHAOONEKANA KWA YANGA,SASA WEWE ULITAKA UWAPE NA PENATI IONEKANE WAZI REFA ANABEBA?