Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,535
Amekesha usiku kucha anakuja Dar kutoka Dom,alikoenda kufanya igizo lililoshindwa la kukusanya wanahabali,wakampiga pesa wakasepa,Leo hata Yale makaratasi yako ya Uhuru,Habari Leo,mzalendo yamempuuza.
acha bana hata magazeti yao vile vile hayajaandika, nimecheka sana