Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,137
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wap bashte
Akili za CCM zinaifanya mbegu ya mchicha ionekane kubwa kama sayari ya JupiterYaani Bunge live lilizimwa,ila matukio ya kupokea watu tunaonyeshwa live.
Amekesha usiku kucha anakuja Dar kutoka Dom,alikoenda kufanya igizo lililoshindwa la kukusanya wanahabali,wakampiga pesa wakasepa,Leo hata Yale makaratasi yako ya Uhuru,Habari Leo,mzarendo yamempuuza.Yule kijana mwenye ZERO ya kidato cha nne a.k.a Daudi Albert Bashite yuko hapo uwanja wa ndege?
MkuuYule kijana mwenye ZERO ya kidato cha nne a.k.a Daudi Albert Bashite yuko hapo uwanja wa ndege?
Taarifa rasmi ilitolewa na wizara ya mambo ya nje. Vyombo vyote vya habari havijamtumia Bashite kama chanzo cha habari hii!Good, kumbe taarifa iliyotolewa na Makonda ilikuwa ya ukweli!
Nilivyoona vyombo vya habari havijataja taarifa kutolewa na Makonda nikajua ilikuwa ni kick!
Wa nini tena mkuuPana Mkalimani jirani hapo?