Col Miraji JF-Expert Member Sep 20, 2016 546 508 Mar 31, 2017 #41 Hii ni nchi yetu na tupo huru kwahiyo USITUCHAGULIE MARAFIKI.
ChamaDola JF-Expert Member Dec 23, 2016 3,432 2,804 Mar 31, 2017 #42 Victoire kada mwenzangu hongera kwa kufunguka akili, mdudu umeaua!ahahaha Ki Mun dah
Konda wa bodaboda JF-Expert Member Jul 18, 2014 7,982 4,164 Mar 31, 2017 #43 Hawana kazi ya kufanya. Kwani Majaliwa asingeachwa aende yeye kumpokea waziri mkuu mwenzake?
habari ya hapa JF-Expert Member Dec 20, 2012 12,791 8,739 Mar 31, 2017 #44 Mdudu halisi said: Yule kijana mwenye ZERO ya kidato cha nne a.k.a Daudi Albert Bashite yuko hapo uwanja wa ndege? Click to expand... Ha ha ha aisee watu MNA maneno
Mdudu halisi said: Yule kijana mwenye ZERO ya kidato cha nne a.k.a Daudi Albert Bashite yuko hapo uwanja wa ndege? Click to expand... Ha ha ha aisee watu MNA maneno
habari ya hapa JF-Expert Member Dec 20, 2012 12,791 8,739 Mar 31, 2017 #45 Vipi kwenye hotuba ya Mzee Leo hajafunguka kitu