Uchaguzi 2020 Yaliyojiri: Mapokezi ya Tundu Lissu (CHADEMA) na Mkutano Mkubwa wa hadhara Musoma Mjini

Lissu lazima azungumzie usumbufu wanaopata wananchi kwa kila mara kubadilisha Passport na Driver's licenses kama njia ya serikali kujipatia fedha!!! Ubadilishaji huu ni aina ya kodi kwa wananchi; hakuna sababu ya duplication ya passport na viatambulisho lukuki vikiwemo leseni za udereva, kitambulisho cha Taifa na kadi ya mpiga kura!!! Serikali makini ingevijumuisha hivyo vyote kwenye kitambulisho kimoja hivyo kuokoa mabillioni ya fedha ambazo zingetumika katika shuhuri nyingine za maendeleo!!!
Tumelichukua tayari Kamanda
 
Mbona video hazichezi au figisu hadi jf
Hebu jaribu na hii...

Musoma hiyooooo!

JPM kakata tamaa.jpeg

Jamani mnaniuaaa!
puresha inapanda inashuka...!​
 
Kwa anavyo mdhalilishaga Mwalimu Nyerere wana Mara hawana hamu naye
Kuna wanaomdhalilisha mwalimu kuliko maccm ambao hamna hata huruma mlimkokota bibi wa watu ili muongeze vichwa. Sasa hivi hamna pa kushika, lila mti unateleza. Laanakum.....
 
Kama siyo population ndogo ya mji wa Musoma, Musoma leo ingelivunja rekodi zote zilizowekwa na mikoa mingine! Lakini ukichukulia ratiowise, basi kama kungelikuwa na uwezekano wa kuchukua data, MUsoma itavunja rekdi maana wakurya wanajitambua sana
Wakurya tena? Musoma? Unachanganya na Tarime? Ndiyo ubaya wa kuona maeneo kwa macho ya kikabila
 
Leo ni Siku ya sabato Musoma wengi ni wasabato hawataenda mkutanoni na watamyima kura kwa kutoheshimu sabato
mtaumbuka sana mwaka huu. Kila mti unateleza. Hapo tu ni sik

u ya sabato je ingekuwa jumatatu??
 
Kuna wanaomdhalilisha mwalimu kuliko maccm ambao hamna hata huruma mlimkokota bibi wa watu ili muongeze vichwa. Sasa hivi hamna pa kushika, lila mti unateleza. Laanakum.....
Heheee Bibi akawalarua pale pale. Usicheze na wazee wanaojielewa.
 
Ni zamu ya Musoma leo.

Rais Mtarajiwa Tundu Lissu atatikisa viunga vya Musoma kwenye Mkutano wa Kampeni leo.

Ni Kama Musoma imesimama kwa ujio wa Shujaa huyu aliye gumzo Afrika na duniani kwa Sasa.

Lissu anayeungwa mkono na Makundi yote hususan wafanyabiashara na Wafanyakazi kote nchini ameapa kufuta Mara moja sheria Haramu iliyowekwa ya kupunguza Mafao ya wastaafu na kurudisha Mara moja Fao la Kujitoa.Serikali ya CCM ilipitishwa Sheria ya kikandamizaji kwamba mtu akiacha kazi ya kuajiriwa hata Kama ana miaka 30 sharti asubiri afikishe miaka 60 ndiyo apate haki yake ya Mafao.Shetia hiyo imelaaniwa na kila mpenda haki lakini serikali ya CCM imeweka Pamba masikioni.

Kwa tathmini iliyo wazi mpaka Sasa Lissu ana uwezekano wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 60% Ngome pekee ya Mgombea wa CCM aliyokuwa anatamba nayo ilikuwa mkoa wa Geita hata hivyo Lissu ameiteka ngome hiyo wiki hii kwa kupata mapokezi yanayobaki historia vizazi na vizazi

Tutawaletea yatakayojiri

Yaliyojiri Mkutanoni

Kama ilivyotarajiwa Lissu amepata mapokezi makubwa sana mjini Musoma na kwa Hakika kwa Mara nyingine Rekodi ya Tanzania imevunjwa kwa mapokezi.

Akihutubia maelfu kwa maelfu ya watu wa Musoma Lissu aliyataka Majeshi yote kusimama upande wa Wananchi kulinda maamuzi yao na kamwe wasinyooshe silaha zao dhidi ya Rais kwa lengo la kulinda watu watakaotaka kuhujumu uchaguzi huu.

Tundu Lissu amedai kupata habari kwamba Rais Magufuli amewaita wasimamizi wote wa Uchaguzi wa wilaya zote Tanzania, Jijini Dodoma, Sasa Taarifa zimfikie uchaguzi huu hatutakubali uwaribiwe na hawa wasiokuwa na sifa tena.. Mahakama ya Kimataifa inawasubiria watu

View attachment 1581133View attachment 1581738View attachment 1581739View attachment 1581740View attachment 1581741View attachment 1581742
We are blessed to have you Mr Lissu
 
Ni zamu ya Musoma leo.

Rais Mtarajiwa Tundu Lissu atatikisa viunga vya Musoma kwenye Mkutano wa Kampeni leo.

Ni Kama Musoma imesimama kwa ujio wa Shujaa huyu aliye gumzo Afrika na duniani kwa Sasa.

Lissu anayeungwa mkono na Makundi yote hususan wafanyabiashara na Wafanyakazi kote nchini ameapa kufuta Mara moja sheria Haramu iliyowekwa ya kupunguza Mafao ya wastaafu na kurudisha Mara moja Fao la Kujitoa.Serikali ya CCM ilipitishwa Sheria ya kikandamizaji kwamba mtu akiacha kazi ya kuajiriwa hata Kama ana miaka 30 sharti asubiri afikishe miaka 60 ndiyo apate haki yake ya Mafao.Shetia hiyo imelaaniwa na kila mpenda haki lakini serikali ya CCM imeweka Pamba masikioni.

Kwa tathmini iliyo wazi mpaka Sasa Lissu ana uwezekano wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 60% Ngome pekee ya Mgombea wa CCM aliyokuwa anatamba nayo ilikuwa mkoa wa Geita hata hivyo Lissu ameiteka ngome hiyo wiki hii kwa kupata mapokezi yanayobaki historia vizazi na vizazi

Tutawaletea yatakayojiri

Yaliyojiri Mkutanoni

Kama ilivyotarajiwa Lissu amepata mapokezi makubwa sana mjini Musoma na kwa Hakika kwa Mara nyingine Rekodi ya Tanzania imevunjwa kwa mapokezi.

Akihutubia maelfu kwa maelfu ya watu wa Musoma Lissu aliyataka Majeshi yote kusimama upande wa Wananchi kulinda maamuzi yao na kamwe wasinyooshe silaha zao dhidi ya Rais kwa lengo la kulinda watu watakaotaka kuhujumu uchaguzi huu.

Tundu Lissu amedai kupata habari kwamba Rais Magufuli amewaita wasimamizi wote wa Uchaguzi wa wilaya zote Tanzania, Jijini Dodoma, Sasa Taarifa zimfikie uchaguzi huu hatutakubali uwaribiwe na hawa wasiokuwa na sifa tena.. Mahakama ya Kimataifa inawasubiria watu

View attachment 1581133View attachment 1581738View attachment 1581739View attachment 1581740View attachment 1581741View attachment 1581742
Watanzania ni watu wastaarabu sana, wanajitahidi kuhudhuria kila kampeni ya mgombea na sera zake huku wakimpa hamasa ya makofi, inapofika siku ya Uchaguzi wanafanya kilichosahihi, Dr. John Pombe Joseph Magufuli for changes, Napita tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom