Uchaguzi 2020 Yaliyojiri: Mapokezi ya Tundu Lissu (CHADEMA) na Mkutano Mkubwa wa hadhara Musoma Mjini

Tumelichukua tayari Kamanda

Mkumbuke michango yetu kwenye ufalme wenu siyo kuchota busara halafu mnawasahau waliowapa hizo busara!!!! Msiwe kama serikali ya ccm inachota busara humu na kuzitumia kama wao ndio waanzilishi bila acknoledgement!!!
 
Ni zamu ya Musoma leo.

Rais Mtarajiwa Tundu Lissu atatikisa viunga vya Musoma kwenye Mkutano wa Kampeni leo.

Ni Kama Musoma imesimama kwa ujio wa Shujaa huyu aliye gumzo Afrika na duniani kwa Sasa.

Lissu anayeungwa mkono na Makundi yote hususan wafanyabiashara na Wafanyakazi kote nchini ameapa kufuta Mara moja sheria Haramu iliyowekwa ya kupunguza Mafao ya wastaafu na kurudisha Mara moja Fao la Kujitoa.Serikali ya CCM ilipitishwa Sheria ya kikandamizaji kwamba mtu akiacha kazi ya kuajiriwa hata Kama ana miaka 30 sharti asubiri afikishe miaka 60 ndiyo apate haki yake ya Mafao.Shetia hiyo imelaaniwa na kila mpenda haki lakini serikali ya CCM imeweka Pamba masikioni.

Kwa tathmini iliyo wazi mpaka Sasa Lissu ana uwezekano wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 60% Ngome pekee ya Mgombea wa CCM aliyokuwa anatamba nayo ilikuwa mkoa wa Geita hata hivyo Lissu ameiteka ngome hiyo wiki hii kwa kupata mapokezi yanayobaki historia vizazi na vizazi

Tutawaletea yatakayojiri

Yaliyojiri Mkutanoni

Kama ilivyotarajiwa Lissu amepata mapokezi makubwa sana mjini Musoma na kwa Hakika kwa Mara nyingine Rekodi ya Tanzania imevunjwa kwa mapokezi.

Akihutubia maelfu kwa maelfu ya watu wa Musoma Lissu aliyataka Majeshi yote kusimama upande wa Wananchi kulinda maamuzi yao na kamwe wasinyooshe silaha zao dhidi ya Rais kwa lengo la kulinda watu watakaotaka kuhujumu uchaguzi huu.

Tundu Lissu amedai kupata habari kwamba Rais Magufuli amewaita wasimamizi wote wa Uchaguzi wa wilaya zote Tanzania, Jijini Dodoma, Sasa Taarifa zimfikie uchaguzi huu hatutakubali uwaribiwe na hawa wasiokuwa na sifa tena.. Mahakama ya Kimataifa inawasubiria watu

View attachment 1581133View attachment 1581738View attachment 1581739View attachment 1581740View attachment 1581741View attachment 1581742
Eti Rais Mtarajiwa, Rais gani wa hovyo kiasi hicho. Rais ni Magufuli na watanzania wote watampigia kura za ndio ndg.Magufuli.
 
Ni zamu ya Musoma leo.

Rais Mtarajiwa Tundu Lissu atatikisa viunga vya Musoma kwenye Mkutano wa Kampeni leo.

Ni Kama Musoma imesimama kwa ujio wa Shujaa huyu aliye gumzo Afrika na duniani kwa Sasa.

Lissu anayeungwa mkono na Makundi yote hususan wafanyabiashara na Wafanyakazi kote nchini ameapa kufuta Mara moja sheria Haramu iliyowekwa ya kupunguza Mafao ya wastaafu na kurudisha Mara moja Fao la Kujitoa.Serikali ya CCM ilipitishwa Sheria ya kikandamizaji kwamba mtu akiacha kazi ya kuajiriwa hata Kama ana miaka 30 sharti asubiri afikishe miaka 60 ndiyo apate haki yake ya Mafao.Shetia hiyo imelaaniwa na kila mpenda haki lakini serikali ya CCM imeweka Pamba masikioni.

Kwa tathmini iliyo wazi mpaka Sasa Lissu ana uwezekano wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 60% Ngome pekee ya Mgombea wa CCM aliyokuwa anatamba nayo ilikuwa mkoa wa Geita hata hivyo Lissu ameiteka ngome hiyo wiki hii kwa kupata mapokezi yanayobaki historia vizazi na vizazi

Tutawaletea yatakayojiri

Yaliyojiri Mkutanoni

Kama ilivyotarajiwa Lissu amepata mapokezi makubwa sana mjini Musoma na kwa Hakika kwa Mara nyingine Rekodi ya Tanzania imevunjwa kwa mapokezi.

Akihutubia maelfu kwa maelfu ya watu wa Musoma Lissu aliyataka Majeshi yote kusimama upande wa Wananchi kulinda maamuzi yao na kamwe wasinyooshe silaha zao dhidi ya Rais kwa lengo la kulinda watu watakaotaka kuhujumu uchaguzi huu.

Tundu Lissu amedai kupata habari kwamba Rais Magufuli amewaita wasimamizi wote wa Uchaguzi wa wilaya zote Tanzania, Jijini Dodoma, Sasa Taarifa zimfikie uchaguzi huu hatutakubali uwaribiwe na hawa wasiokuwa na sifa tena.. Mahakama ya Kimataifa inawasubiria watu

View attachment 1581133View attachment 1581738View attachment 1581739View attachment 1581740View attachment 1581741View attachment 1581742
Mkiambiawa hamna sera wala maono mnakasirika, leteni video anazozungumzia sera tuzione hapa. Kwa staili hiyo CCM itaendelea kuwa imara muda wote. Mimi nitamchagua Magufuli, na Watanzania walio wengi wataungana na mimi kumchagua Magufuli pia.
 
Aisee kwa nyomi hilo anapoona mgombea urais kupitia chama kijani na njano kichwa kinawaka moto kabisa.
Maana hiyo ni zaidi ya halaiki
 
Tumelichukua tayari Kamanda

Lichukue na hili!! Kazi kubwa ya BOT ni kuthibiti mfumuko wa bei katika uchumi wa nchi; katika kufanikisha hilo BOT wanazisimamia shuhuri zote za kifedha za mabenki yetu. Mabenki ili kupata faida hutunza fedha za wateja na kuzikopesha fedha hizo kwa wateja wengine na kuwatoza riba. Mabenki yote duniani hutengeneza faida kwa kukopesha lakini mabenki yetu unfortunately, faida yao kubwa inatokana sio kwa kukopesha bali kwa kuwatoza charges wateja wao!! Wanatoza hata pale mwenye Akiba anapokwenda kuchukua fedha alizoweka mwenyewe!!!! Tozo hizi hazisaidii kuhamasisha watu waweke fedha kwenye mabenki na hivyo kudumaza ukuaji wa uchumi!!

Bot wanatakiwa kusimamia na kuhakikisha kuwa charges zote zinazotozwa na mabenki ni justifiable; hili BOT wameshindwa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom