Yaliyojiri Mahakama Kuu: Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya Serikali dhidi ya Lissu, Shauri la msingi kuendelea kusikilizwa...

πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘πŸ½ Hekima na busara tele. Ahsante sana Mkuu.

Hivi una akili kweli wewe ?

Hivi kwa nini unataka niseme baba yako alifanya jambo la kipumbavu wewe kuzaliwa ni bora angejishindia goli la mkono

Hivi ntakua wrong kusema hivyo ?
 
I like this court "technicality"!
 
Hahaha idadi ya watetezi wa serikali haikutosha?! Nyani Ngabu uupate ujumbe huu popote ulipo.
Watu wako wanakata rufaa sasa.

Hilo shauri, kwa mtazamo wangu, lilikuwa ni shauri dogo na jepesi sana na nilitegemea liamuliwe kama lilivyoamuliwa.

Sasa kama kwenye shauri dogo la awali namna hii wanapeleka watu 16, je shauri la msingi litapoanza kusikilizwa, itakuwaje?

Watapeleka idara nzima?

They’re stupid.
 
Zis iz interesting.
Kwa hiyo kwaya ya mawakili kwa kuanzia wamegaragazwa?
 
halafu hizo kesi za huko nje bora ziendeshwe kwa kiswahili labda wanaweza wakachukua hata siku 2.
ikiwa kwa kiingreza tutapiwa nje ndani saa 3 asubuhi siku ya kwanza!!
Unaonaje wakimpa hizo kesi Tundu Lissu azisimamie!
Pamoja na kwamba huo utakuwa kama muujiza, lakini Tundu ni mTanzania na mzalendo kwelikweli; atapigana kufa kupona Tanzania yetu isipate hasara.

Mpe Tundu Lisuu aisimamie hiyo kesi akishirikiana na jopo lake la wasomi akina Kibatala. Hata Jiwe atafaidika kwa aina yake akifanya hivyo.
 
Kwa mikono yangu nmeshika forceps and clamps

Scalpels, (sutures, staples, glue etc)

Zlzotumika kwenye matibabu yake halafu unataka kuongea nini hapa

Hafu hujanijibu swali langu !

Badilika mkuu , na pia Muogope Mungu Wako
Kawaongopee wapuuz wenzio huko. Hakuna anayebisha kupigwa risasi, lkn kufanya exaggeration ya kwamba alipigwa risasi 16 mwilini ni UPUMBAVU.
 
Aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amewabwaga mawakili wa Serikali waliomwekea mapingamizi ya kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa ubunge wake Leo mahakamani
 
Wewe ni MPUMBAVU KIWANGO CHA SGR, Usifikiri wote humu tuna akili za kushikiwa. Kama huna UWEZO WA kureason jambo jua ni MPUMBAVU. Hivi hujawahi kaa hata siku moja kujaribu kujenga kaclip ka mtu kupigwa risasi 16 na ukaona kama inawezekana?
Okay !
 
Mashauri ya msingi yakianza sitashangaa nikisikia, jaji mkuu, jaji kiongozi, hadi DPP watajiunga upande wa utetezi.
That is who they are, ajira hizi wao wanasema easy money! As always it has been to them.
 
Huu uzi nimeupitia kila mahali ila hapa nime Ku quote

Sababu nimeheshim ichi ulicho andika

Respect sana Mh
 
 

Weraweraaaaaaa

Mawakili 16 wamelishwa vumbi hatari sana!

Aibu sana aisee!

Nipo na opposition mpaka nitakapokufa!

Sasa,twende kesi ya msingi!

Namuonea huruma sana Spika na yule AG!
 
Kawaongopee wapuuz wenzio huko. Hakuna anayebisha kupigwa risasi, lkn kufanya exaggeration ya kwamba alipigwa risasi 16 mwilini ni UPUMBAVU.
Hizi 16 ni Lissu kasema au madaktari waliomshughulikia?
Kwa hiyo kwa akili yako madaktari same exaggerate habari hiyo? Kwa manufaa ya nani? Jee Dodoma hospital, hospitali ya serikali hii na siku ile Katibu mkuu Afya alikuwepo nao ni waongo hakuna risasi Bali alipigwa na mawe?
MTU wa ajabu sana wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…