Hivi una akili kweli wewe ?
Hivi kwa nini unataka niseme baba yako alifanya jambo la kipumbavu wewe kuzaliwa ni bora angejishindia goli la mkono
Hivi ntakua wrong kusema hivyo ?
I like this court "technicality"!Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa uamuzi endapo maombi yaliyowasilishwa na aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu yanasifa ya kusikilizwa na Mahakama hiyo na kama aliyefungua kwa niaba yake anayo mamlaka ya kufanya hivyo.
Uamuzi unatarajia kutolewa leo mbele ya Jaji Sirilius Matupa,baada ya kusikiliza sababu nane za kupinga maombi hayo ambayo wanadai hayajakizi vigezo vitano kati ya sita.
Kujua mapingamizi yaliyoibuliwa na Serikali, soma
Yaliyojiri Kesi ya Ubunge wa Lissu: Serikali yamwekea mapingamizi. Yasema baadhi ya maombi yake hayakidhi matakwa ya kisheria...
Wakuu, Mahakama Kuu ya Tanzania leo August 23, 2019 chini ya Jaji Silius Matupa itasikiliza maombi ya msingi ya Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu yakiwemo ya kutaka Mbunge mteule wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu (CCM) asiapishwe Bungeni Nitajitahidi kusasisha kadri ninavyopata...www.jamiiforums.com
Kujua kesi ilipoanzia, soma
Mahakama Kuu kusikiliza maombi ya msingi ya kutaka Mbunge mteule wa Singida Mashariki asiapishwe na kutoa uamuzi siku ya Agosti 23, 2019
Wakuu, Leo ni siku ambayo Tundu Lissu ataanza kupigania haki yake mahakamani baada ya kuvuliwa ubunge mwezi Juni. Lissu ambaye yuko nchini ubelgiji kwa matibabu atawakilishwa na kaka yake anayeitwa Alute Mughwai Lissu, ambaye amepewa mamlaka kisheria kufungua kesi(Power of Attorney) kwa niaba...www.jamiiforums.com
***UPDATE***
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali mapingamizi ya Upande wa Jamhuri
Tundu Lissu ameshinda pingamizi la Serikali dhidi ya maombi yake ya kibali cha kufungua kesi kupinga kukoma kwa ubunge wake, Mahakama Kuu imekubali kusikiliza maombi yake
Aiseeee.....Hamia kuzimu kuna nafasi mtakaa pamoja na Jiwe
Hahaha idadi ya watetezi wa serikali haikutosha?! Nyani Ngabu uupate ujumbe huu popote ulipo.
Watu wako wanakata rufaa sasa.
Zis iz interesting.Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa uamuzi endapo maombi yaliyowasilishwa na aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu yanasifa ya kusikilizwa na Mahakama hiyo na kama aliyefungua kwa niaba yake anayo mamlaka ya kufanya hivyo.
Uamuzi unatarajia kutolewa leo mbele ya Jaji Sirilius Matupa,baada ya kusikiliza sababu nane za kupinga maombi hayo ambayo wanadai hayajakizi vigezo vitano kati ya sita.
Kujua mapingamizi yaliyoibuliwa na Serikali, soma
Yaliyojiri Kesi ya Ubunge wa Lissu: Serikali yamwekea mapingamizi. Yasema baadhi ya maombi yake hayakidhi matakwa ya kisheria...
Wakuu, Mahakama Kuu ya Tanzania leo August 23, 2019 chini ya Jaji Silius Matupa itasikiliza maombi ya msingi ya Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu yakiwemo ya kutaka Mbunge mteule wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu (CCM) asiapishwe Bungeni Nitajitahidi kusasisha kadri ninavyopata...www.jamiiforums.com
Kujua kesi ilipoanzia, soma
Mahakama Kuu kusikiliza maombi ya msingi ya kutaka Mbunge mteule wa Singida Mashariki asiapishwe na kutoa uamuzi siku ya Agosti 23, 2019
Wakuu, Leo ni siku ambayo Tundu Lissu ataanza kupigania haki yake mahakamani baada ya kuvuliwa ubunge mwezi Juni. Lissu ambaye yuko nchini ubelgiji kwa matibabu atawakilishwa na kaka yake anayeitwa Alute Mughwai Lissu, ambaye amepewa mamlaka kisheria kufungua kesi(Power of Attorney) kwa niaba...www.jamiiforums.com
***UPDATE***
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali mapingamizi ya Upande wa Jamhuri
Tundu Lissu ameshinda pingamizi la Serikali dhidi ya maombi yake ya kibali cha kufungua kesi kupinga kukoma kwa ubunge wake, Mahakama Kuu imekubali kusikiliza maombi yake
Unaonaje wakimpa hizo kesi Tundu Lissu azisimamie!halafu hizo kesi za huko nje bora ziendeshwe kwa kiswahili labda wanaweza wakachukua hata siku 2.
ikiwa kwa kiingreza tutapiwa nje ndani saa 3 asubuhi siku ya kwanza!!
Wanatumia risasi kuua mbu,mawakili 16 kwa mtu 1Duh masoud kipanya ni hatari. Hii inasema mengi
Kawaongopee wapuuz wenzio huko. Hakuna anayebisha kupigwa risasi, lkn kufanya exaggeration ya kwamba alipigwa risasi 16 mwilini ni UPUMBAVU.Kwa mikono yangu nmeshika forceps and clamps
Scalpels, (sutures, staples, glue etc)
Zlzotumika kwenye matibabu yake halafu unataka kuongea nini hapa
Hafu hujanijibu swali langu !
Badilika mkuu , na pia Muogope Mungu Wako
Vitu kama hivyo wangekuwa wanatuonesha live wengine tujionee kama wenzetu south Africa, lakini hapa bongo live ni za magogoni tu.Angalia hapa
Okay !Wewe ni MPUMBAVU KIWANGO CHA SGR, Usifikiri wote humu tuna akili za kushikiwa. Kama huna UWEZO WA kureason jambo jua ni MPUMBAVU. Hivi hujawahi kaa hata siku moja kujaribu kujenga kaclip ka mtu kupigwa risasi 16 na ukaona kama inawezekana?
Mashauri ya msingi yakianza sitashangaa nikisikia, jaji mkuu, jaji kiongozi, hadi DPP watajiunga upande wa utetezi.Hilo shauri, kwa mtazamo wangu, lilikuwa ni shauri dogo na jepesi sana na nilitegemea liamuliwe kama lilivyoamuliwa.
Sasa kama kwenye shauri dogo la awali namna hii wanapeleka watu 16, je shauri la msingi litapoanza kusikilizwa, itakuwaje?
Watapeleka idara nzima?
Theyβre stupid.
Hilo shauri, kwa mtazamo wangu, lilikuwa ni shauri dogo na jepesi sana na nilitegemea liamuliwe kama lilivyoamuliwa.
Sasa kama kwenye shauri dogo la awali namna hii wanapeleka watu 16, je shauri la msingi litapoanza kusikilizwa, itakuwaje?
Watapeleka idara nzima?
Theyβre stupid.
Kesi iko Mahakamani , haiko bungeni , lissu ana kesi mahakamani ambazo zimeahirishwa kwa sababu Mahakama inatambua kwamba yuko nje ya nchi kwa ajili ya matibabuKama kuna uthibitisho wowote uliofikishwa bungeni kuwa lissu yupo hospitali fulani, atashinda. Lakini kama hakuna itakuwa ngumu.
Kumbe ulimpiga risasi ngapi?Kawaongopee wapuuz wenzio huko. Hakuna anayebisha kupigwa risasi, lkn kufanya exaggeration ya kwamba alipigwa risasi 16 mwilini ni UPUMBAVU.
Iko wazi
Utakuwa ni ujinga kupoteza muda na gharama kwa mbunge mtoro!
Kumbuka hakufukuzwa bunge, alichofanya ni kutofuata utaratibu wa bunge kwa mujibu wa kanunu zao!
[/QQU] Kilichofanyika ni uhuni na uhalifu dhidi ya watu wa jimbo lake waliomchagua! Haiwezekani tupange foleni kumchagua Mwakilishi kwa maelfu ya makumi ili mlevi mmoja amfutie uwakilishi! Ni Uhaini!
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa uamuzi endapo maombi yaliyowasilishwa na aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu yanasifa ya kusikilizwa na Mahakama hiyo na kama aliyefungua kwa niaba yake anayo mamlaka ya kufanya hivyo.
Uamuzi unatarajia kutolewa leo mbele ya Jaji Sirilius Matupa,baada ya kusikiliza sababu nane za kupinga maombi hayo ambayo wanadai hayajakizi vigezo vitano kati ya sita.
Kujua mapingamizi yaliyoibuliwa na Serikali, soma
Yaliyojiri Kesi ya Ubunge wa Lissu: Serikali yamwekea mapingamizi. Yasema baadhi ya maombi yake hayakidhi matakwa ya kisheria...
Wakuu, Mahakama Kuu ya Tanzania leo August 23, 2019 chini ya Jaji Silius Matupa itasikiliza maombi ya msingi ya Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu yakiwemo ya kutaka Mbunge mteule wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu (CCM) asiapishwe Bungeni Nitajitahidi kusasisha kadri ninavyopata...www.jamiiforums.com
Kujua kesi ilipoanzia, soma
Mahakama Kuu kusikiliza maombi ya msingi ya kutaka Mbunge mteule wa Singida Mashariki asiapishwe na kutoa uamuzi siku ya Agosti 23, 2019
Wakuu, Leo ni siku ambayo Tundu Lissu ataanza kupigania haki yake mahakamani baada ya kuvuliwa ubunge mwezi Juni. Lissu ambaye yuko nchini ubelgiji kwa matibabu atawakilishwa na kaka yake anayeitwa Alute Mughwai Lissu, ambaye amepewa mamlaka kisheria kufungua kesi(Power of Attorney) kwa niaba...www.jamiiforums.com
***UPDATE***
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali mapingamizi ya Upande wa Jamhuri
Tundu Lissu ameshinda pingamizi la Serikali dhidi ya maombi yake ya kibali cha kufungua kesi kupinga kukoma kwa ubunge wake, Mahakama Kuu imekubali kusikiliza maombi yake
kumbe unaelewa umuhimu wa kutii sheria mbona yule wa magogoni huwa hamumkosoiIko wazi
Utakuwa ni ujinga kupoteza muda na gharama kwa mbunge mtoro!
Kumbuka hakufukuzwa bunge, alichofanya ni kutofuata utaratibu wa bunge kwa mujibu wa kanunu zao!
Hizi 16 ni Lissu kasema au madaktari waliomshughulikia?Kawaongopee wapuuz wenzio huko. Hakuna anayebisha kupigwa risasi, lkn kufanya exaggeration ya kwamba alipigwa risasi 16 mwilini ni UPUMBAVU.