Yaliyojiri Mahakama Kuu: Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya Serikali dhidi ya Lissu, Shauri la msingi kuendelea kusikilizwa...

πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘πŸ½ Hekima na busara tele. Ahsante sana Mkuu.

Hivi una akili kweli wewe ?

Hivi kwa nini unataka niseme baba yako alifanya jambo la kipumbavu wewe kuzaliwa ni bora angejishindia goli la mkono

Hivi ntakua wrong kusema hivyo ?
 
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa uamuzi endapo maombi yaliyowasilishwa na aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu yanasifa ya kusikilizwa na Mahakama hiyo na kama aliyefungua kwa niaba yake anayo mamlaka ya kufanya hivyo.

Uamuzi unatarajia kutolewa leo mbele ya Jaji Sirilius Matupa,baada ya kusikiliza sababu nane za kupinga maombi hayo ambayo wanadai hayajakizi vigezo vitano kati ya sita.


Kujua mapingamizi yaliyoibuliwa na Serikali, soma

Kujua kesi ilipoanzia, soma


***UPDATE***
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali mapingamizi ya Upande wa Jamhuri

Tundu Lissu ameshinda pingamizi la Serikali dhidi ya maombi yake ya kibali cha kufungua kesi kupinga kukoma kwa ubunge wake, Mahakama Kuu imekubali kusikiliza maombi yake
I like this court "technicality"!
 
Hahaha idadi ya watetezi wa serikali haikutosha?! Nyani Ngabu uupate ujumbe huu popote ulipo.
Watu wako wanakata rufaa sasa.

Hilo shauri, kwa mtazamo wangu, lilikuwa ni shauri dogo na jepesi sana na nilitegemea liamuliwe kama lilivyoamuliwa.

Sasa kama kwenye shauri dogo la awali namna hii wanapeleka watu 16, je shauri la msingi litapoanza kusikilizwa, itakuwaje?

Watapeleka idara nzima?

They’re stupid.
 
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa uamuzi endapo maombi yaliyowasilishwa na aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu yanasifa ya kusikilizwa na Mahakama hiyo na kama aliyefungua kwa niaba yake anayo mamlaka ya kufanya hivyo.

Uamuzi unatarajia kutolewa leo mbele ya Jaji Sirilius Matupa,baada ya kusikiliza sababu nane za kupinga maombi hayo ambayo wanadai hayajakizi vigezo vitano kati ya sita.


Kujua mapingamizi yaliyoibuliwa na Serikali, soma

Kujua kesi ilipoanzia, soma


***UPDATE***
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali mapingamizi ya Upande wa Jamhuri

Tundu Lissu ameshinda pingamizi la Serikali dhidi ya maombi yake ya kibali cha kufungua kesi kupinga kukoma kwa ubunge wake, Mahakama Kuu imekubali kusikiliza maombi yake
Zis iz interesting.
Kwa hiyo kwaya ya mawakili kwa kuanzia wamegaragazwa?
 
halafu hizo kesi za huko nje bora ziendeshwe kwa kiswahili labda wanaweza wakachukua hata siku 2.
ikiwa kwa kiingreza tutapiwa nje ndani saa 3 asubuhi siku ya kwanza!!
Unaonaje wakimpa hizo kesi Tundu Lissu azisimamie!
Pamoja na kwamba huo utakuwa kama muujiza, lakini Tundu ni mTanzania na mzalendo kwelikweli; atapigana kufa kupona Tanzania yetu isipate hasara.

Mpe Tundu Lisuu aisimamie hiyo kesi akishirikiana na jopo lake la wasomi akina Kibatala. Hata Jiwe atafaidika kwa aina yake akifanya hivyo.
 
Kwa mikono yangu nmeshika forceps and clamps

Scalpels, (sutures, staples, glue etc)

Zlzotumika kwenye matibabu yake halafu unataka kuongea nini hapa

Hafu hujanijibu swali langu !

Badilika mkuu , na pia Muogope Mungu Wako
Kawaongopee wapuuz wenzio huko. Hakuna anayebisha kupigwa risasi, lkn kufanya exaggeration ya kwamba alipigwa risasi 16 mwilini ni UPUMBAVU.
 
Aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amewabwaga mawakili wa Serikali waliomwekea mapingamizi ya kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa ubunge wake Leo mahakamani
IMG-20190826-WA0034.jpeg
 
Wewe ni MPUMBAVU KIWANGO CHA SGR, Usifikiri wote humu tuna akili za kushikiwa. Kama huna UWEZO WA kureason jambo jua ni MPUMBAVU. Hivi hujawahi kaa hata siku moja kujaribu kujenga kaclip ka mtu kupigwa risasi 16 na ukaona kama inawezekana?
Okay !
 
Hilo shauri, kwa mtazamo wangu, lilikuwa ni shauri dogo na jepesi sana na nilitegemea liamuliwe kama lilivyoamuliwa.

Sasa kama kwenye shauri dogo la awali namna hii wanapeleka watu 16, je shauri la msingi litapoanza kusikilizwa, itakuwaje?

Watapeleka idara nzima?

They’re stupid.
Mashauri ya msingi yakianza sitashangaa nikisikia, jaji mkuu, jaji kiongozi, hadi DPP watajiunga upande wa utetezi.
That is who they are, ajira hizi wao wanasema easy money! As always it has been to them.
 
Huu uzi nimeupitia kila mahali ila hapa nime Ku quote

Sababu nimeheshim ichi ulicho andika

Respect sana Mh
Hilo shauri, kwa mtazamo wangu, lilikuwa ni shauri dogo na jepesi sana na nilitegemea liamuliwe kama lilivyoamuliwa.

Sasa kama kwenye shauri dogo la awali namna hii wanapeleka watu 16, je shauri la msingi litapoanza kusikilizwa, itakuwaje?

Watapeleka idara nzima?

They’re stupid.
 
Iko wazi
Utakuwa ni ujinga kupoteza muda na gharama kwa mbunge mtoro!
Kumbuka hakufukuzwa bunge, alichofanya ni kutofuata utaratibu wa bunge kwa mujibu wa kanunu zao!
[/QQU] Kilichofanyika ni uhuni na uhalifu dhidi ya watu wa jimbo lake waliomchagua! Haiwezekani tupange foleni kumchagua Mwakilishi kwa maelfu ya makumi ili mlevi mmoja amfutie uwakilishi! Ni Uhaini!
 
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa uamuzi endapo maombi yaliyowasilishwa na aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu yanasifa ya kusikilizwa na Mahakama hiyo na kama aliyefungua kwa niaba yake anayo mamlaka ya kufanya hivyo.

Uamuzi unatarajia kutolewa leo mbele ya Jaji Sirilius Matupa,baada ya kusikiliza sababu nane za kupinga maombi hayo ambayo wanadai hayajakizi vigezo vitano kati ya sita.


Kujua mapingamizi yaliyoibuliwa na Serikali, soma

Kujua kesi ilipoanzia, soma


***UPDATE***
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali mapingamizi ya Upande wa Jamhuri

Tundu Lissu ameshinda pingamizi la Serikali dhidi ya maombi yake ya kibali cha kufungua kesi kupinga kukoma kwa ubunge wake, Mahakama Kuu imekubali kusikiliza maombi yake

Weraweraaaaaaa

Mawakili 16 wamelishwa vumbi hatari sana!

Aibu sana aisee!

Nipo na opposition mpaka nitakapokufa!

Sasa,twende kesi ya msingi!

Namuonea huruma sana Spika na yule AG!
 
Kawaongopee wapuuz wenzio huko. Hakuna anayebisha kupigwa risasi, lkn kufanya exaggeration ya kwamba alipigwa risasi 16 mwilini ni UPUMBAVU.
Hizi 16 ni Lissu kasema au madaktari waliomshughulikia?
Kwa hiyo kwa akili yako madaktari same exaggerate habari hiyo? Kwa manufaa ya nani? Jee Dodoma hospital, hospitali ya serikali hii na siku ile Katibu mkuu Afya alikuwepo nao ni waongo hakuna risasi Bali alipigwa na mawe?
MTU wa ajabu sana wewe!
 
Back
Top Bottom