Mwache apishwe nimependa judge alivyokuwa anawahoji mawakili Wa serikali,wenye macho na uelewa mnajua amejivua Lawama,Chadema mkichukua nchi huyu anafaa kuwa kiongozi Wa mahakama.
Msimlaumu mfumo ungemmaliza mpaka sasa hivi wale Wa kijani na kiongozi wao wao wapo wanakunywa divai.
CDM September ni mbaya kuliko wakati wote msiogope mnara wa babeli unaenda kuanguka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.