Yaliyojiri Mahakama Kuu: Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya Serikali dhidi ya Lissu, Shauri la msingi kuendelea kusikilizwa...

Ndugai anapenda sana ugomvi, kagombana na wagombea ubunge wenzake, CAG, vice wa bunge la afrika, lissu etc.
 
Mwache apishwe nimependa judge alivyokuwa anawahoji mawakili Wa serikali,wenye macho na uelewa mnajua amejivua Lawama,Chadema mkichukua nchi huyu anafaa kuwa kiongozi Wa mahakama.
Msimlaumu mfumo ungemmaliza mpaka sasa hivi wale Wa kijani na kiongozi wao wao wapo wanakunywa divai.
CDM September ni mbaya kuliko wakati wote msiogope mnara wa babeli unaenda kuanguka.
 
Back
Top Bottom