Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,024
- 221,637
Ww chama chako si umeshajengaKamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Sawa, ni kwa nini uteseke wewe?Kamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Hiyo ni mpaka wafanye editing ya picha na video, hawafanyi live streaming kuna wakati wanazomewa na wananchi. Waambie wafanye live streaming uone wanavyoumbuka.Tatizo lako ni kwamba huwa haulet update Yan hapo ni mpaka usiku ndio tunapata update so inakuwa haina maana
Hiyo ni mpaka wafanye editing ya picha na video, hawafanyi live streaming kuna wakati wanazomewa na wananchi. Waambie wafanye live streaming uone wanavyoumbuka.
Huoni Mataga wenzio walivyo pagawa, pamoja na kuhodhi vyombo vyote vya Habari,na mabango nchi zima,lakini imebidi waje kuomba kura za kwenye Twitter,Kamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Ruzuku ya ccm unajua inakoenda?Wanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi
Hizo ndoto zinakwenda kukoma tarehe 28 Oct kisha tunaanza kujenga strong middle Economy mpaka Magufuli akamalize tunaweza kuwa among the 5 countries with strong economy.Kanda ya Ziwa huku tumetafakari kwa kina Nzagamba Ipole LISSU tarehe 28 Kura za GHARIKA....
Mwenye chama DJ Mbowe baada ya uchaguzi anamuundia zengwe Mbelgiji maana anaweza kumpora chama mchana kweupee.Wanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi