daniel kalasha
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 548
- 72
utaufyata sasa ivi kijanaWana JF,
Fununu toka magazetini ni kuwa kikao cha ghafla kilichoitishwa na mwenyekiti wa CCM mh. Jakaya M. Kikwete kimejadili kuhusu uwezekano wa kuvunja serikali ya umoja wa serikali ya Zanzibar kwani Maalim seif kaisaliti SUK na jambo jengine ni kuhusu kuangalia uwezekano wa kuvunja bunge maalum la katiba kwani uwezekano wa UKAWA kurudi ni mgumu na hivyo katiba haitaweza patikana.
Mwenye mpya zaidi atujuze wakati tunajadili hiki kilichopo .
