Kuivunja Sirikali ya umoja wa kitaifa (SUK) ya Znz hiyo ni ndoto ya mchana kwa vyama vya siasa. Ikumbukwe kuwa SUK imewekwa pale kutokana na kura za wananchi wa Znz na sio wanasiasa. Na hata ombi lao likipelekwa barazani haliwezi kamwe kupata 2/3 ya kura ya maamuzi.
kama watakuwa wamejadili hilo basi imekula kwao. Msingi mkubwa tu ni KUHISHIMU MAONI YA WANANCHI KATIKA KATIBA MPYA YALIYOWASILISHWA NA JAJI WARIOBA.Ili kuinusuru nchi na khasara ya kukosa katiba mpya wakti wametumia pesa nyingi sana na kuikubali rasimu hiyo ya warioba na kuiboresha sio kuandika upya.