Yaani hawa ndiyo wale viumbe walio tusumbua sana enzi hizo kwa kuteka watu na kuwapoteza wengine kupitia hiki kitengo chao X!! Shenzi kabisa hawa.Kitngo X hiki ndo nakisikia leo,wameitana faragha nadhani kwa aajili ya kutokuhoji sana kitengo X,
Maana kibatala haachi kitu.
Hapo nimekuelewa vema. Kumbe suala la Mashahidi sio Siri ni lazima wajulikaneOrodha ya mashahidi lazima ijulikane wakati wa committal proceedings. Hawawezi kuleta Shahidi ambaye hayuko kwenye orodha bila kibali cha Mahakama.
Aiseee umeona Kama Mimi Mimi sioni jipya hapo yaan ushubwada repetitions of the same questions from different witnessorsNgoma inapita mle mle kwa akina kingai.
Huyu alewatrain alifanya kosa kuwatrein kipengele kimoja
Yaani hawa ndiyo wale viumbe walio tusumbua sana enzi hizo kwa kuteka watu na kuwapoteza wengine kupitia hiki kitengo chao X!! Shenzi kabisa hawa.
Sina taarifa kama huyu wa Leo kaanza kukorogaSasa huyu atafukia nini mbona Mambo mengi ameanza kuyakoroga?
Itakuwa J3!Kibatala akianza mnishitue
Hivi kwa mfano simu ikiwa ya laini mbili inakuwa na IMEI moja au mbili?Shahidi: Ni Simu aina ya Techno Yenye Rangi Nyeusi, ambayo Nimeitambua Kupitia Exhibit Lebel Ambayo Inaonyesha Namba ya Jalada la CD/IR /2097 /2020 Pia imeandikwa aina ya simu, Na inaonyesha Simu hiyo imepatikana kwa Mtuhumiwa ambaye ni Mohammed Abdilah Ling'wenya
Wakili wa Serikali: VIpi Kuhusu IMEI namba Shahidi: IMEI namba imeandikwa IMEFUTIKA
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Naona ametambua P 35
Wakili wa Serikali: Twende Kwenye Simu za Tarehe 09 August 2020
Shahidi: Simu nilizo pokea Tarehe 09 August 2020 ni Mbili ambazo ni Za Khalfani Bwire Simu aina ya Bundy, Nimeitambua Kupitia Lebel namba ambayo Inaonyesha Namba ya Jalada ambayo ni CD/IR /2097 /2020
Na Simu hii inaonyesha ni aina ya Bundy IMEI namba 359440075933775 Na Simu hii ilipatikama Maungoni Mwa Khalfani Bwire
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji ametambua Exhibit P 30
Wakili wa Serikali: Simu Nyingine kwa hiyo Tarehe 09
Shahidi: Simu Nyingine ni simu aina ya Tecno Yenye IMEI namba 355019115930845 Simu hii nayo ilipatikana Maungoni Mwa Khalfani Bwire Inaonyesha Namba ya Kesi ambayo ni CD/IR /2097 /2020
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji ametambua Exhibit P 32
Wakili wa Serikali: Twende Simu uliyokabidhiwa Tarehe 11 August 2020
Shahidi: Naitambua Simu aina ya Techno Yenye IMEI namba 358721101132040
Wakili wa Serikali: Imetoka Kwa nani
Shahidi: Imetoka Kwa Denis Leo Urio ambaye ni Mmiliki ambayo Inaonyesha Namba ya Kesi CD /IR /2097 /2020
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji ametambua Exhibit P 34
Wakili wa Serikali: Nani ambaye ameandaa PF 145 kwenye simu hii
Shahidi: Simu hii nimeandaa Mimi na Nimeandika kwa Mkono Wangu
Wakili wa Serikali: Twende simu za Tarehe 12 August 2020
Shahidi: Simu hiyo ni Techno Yenye IMEI Namba 358073079115221
Wakili wa Serikali: Ulipokea Simu hiyo Kutoka Kwa nani
Shahidi: Kutoka Kwa Luteni Deni Leo Urio, Inaonyesha Namba ya Jalada CD /IR/ 2097/2020
Huwezi kuficha mashahidi au kielelezo. Kabla kesi haijaanza kusikilizwa upande wa washtakiwa wanapewa orodha ya mashahidi, vielelezo na nakala ya maelezo pamoja na hati ya mashtaka.Hapo nimekuelewa vema. Kumbe suala la Mashahidi sio Siri ni lazima wajulikane
NadhaniItakuwa J3!
GoodHuwezi kuficha mashahidi au kielelezo. Kabla kesi haijaanza kusikilizwa upande wa washtakiwa wanapewa orodha ya mashahidi, vielelezo na nakala ya maelezo pamoja na hati ya mashtaka.
Yeye kakaririshwa kimoja kimoja lakini simu ikiwa na line moja inakuwa na IMEI moja, ya mbili IMEI mbili ya Tatu IMEI tatu nk.Hivi kwa mfano simu ikiwa ya laini mbili inakuwa na IMEI moja au mbili?
Shahidi: Leo anaongea taratibu Kuliko Mashahidi wote ambao waliwahi Kufika Katika kesi hii, Kila Muda Jaji na Mawakili wa Serikali Wanamkemea na Kuomba aongeze Sauti
Ile sio idara mkuu. Sirro akikusikia utaungwanishwa kwenye kesi.Idara ya police ni ya kipuuzi sana
NDO KWA NINI RE-EXAMINATION YA LT URIO ILISITISHWA GHAFLA.Juzi
Kibatala; hiyo simu ina line?
Urio; Hakuna
Kibatala; ulimpa swila simu na line hau bila line?
Urio; nilimpa na line.
Kibatala; hiyo line ipo wapi?
Urio; sijui
Leo
Ws: baada ya kukutana na urio nini kiliendelea baada ya kutoa maelezo?
Swila: nilimuomba simu kwa ajili ya upelelezi.
Ws: baada ya kukukabidhi simu nini kiliendelea?
Swila: aliniomba nimpe line ya Vodacom kwa sababu nilijua Kama anawasiliana na mbowe kwa telegram taarifa zitabaki kwenye simu.
Hawa watu hawakujipanga kufremu hii kesi ya michongo.
Sent from my Lenovo TB-7305X using JamiiForums mobile app
Hapana.... IMEI NUMBER ya simu no moja tu.... kila simu ina imei namba moja.Yeye kakaririshwa kimoja kimoja lakini simu ikiwa na line moja inakuwa na IMEI moja, ya mbili IMEI mbili ya Tatu IMEI tatu nk.