Yaliyojiri kesi inayomkabili Mbowe na wenzake leo Februari 4, 2022. Kesi imeahirishwa. Shahidi wa 13 kuendelea kutoa ushahidi Februari 7, 2022

Hivi kwa mfano simu ikiwa ya laini mbili inakuwa na IMEI moja au mbili?
 
Shahidi: Leo anaongea taratibu Kuliko Mashahidi wote ambao waliwahi Kufika Katika kesi hii, Kila Muda Jaji na Mawakili wa Serikali Wanamkemea na Kuomba aongeze Sauti
 
Juzi

Kibatala; hiyo simu ina line?

Urio; Hakuna

Kibatala; ulimpa swila simu na line hau bila line?

Urio; nilimpa na line.

Kibatala; hiyo line ipo wapi?

Urio; sijui

Leo

Ws: baada ya kukutana na urio nini kiliendelea baada ya kutoa maelezo?

Swila: nilimuomba simu kwa ajili ya upelelezi.

Ws: baada ya kukukabidhi simu nini kiliendelea?

Swila: aliniomba nimpe line ya Vodacom kwa sababu nilijua Kama anawasiliana na mbowe kwa telegram taarifa zitabaki kwenye simu.

Hawa watu hawakujipanga kufremu hii kesi ya michongo.

Sent from my Lenovo TB-7305X using JamiiForums mobile app
 
Kesi ya michongo shaidi bila kumpiga tution ya nguvu (maswali na majibu) sijui huko mahakani kungekuwaje. Swila anaonekana ana kichwa kigumu sana yahani mpelelezi mzima anachukuwa msasa wa siku mbili. Huku unatililika vizuri kwa sababu amelala na mtihani. Ngoja sasa akutane na mtiani usiokuwa na chabo tumuone atakavyo weweseka
 
NDO KWA NINI RE-EXAMINATION YA LT URIO ILISITISHWA GHAFLA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…