Michael Mtitu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 691
- 509
Na akatwe tu maana tumechoka kwa kweli.
Watu wako Chunya wana sema wako Dom
Habari Zilizonifikia Hivi Punde Kutoka Mkutanoni Dodoma Ni Kwamba Tayari Yale Majina 5 Yameshapatikana Na Sasa Mazingira Yanatengenezwa Ili Kuyataja Rasmi Na Kwa Mlio Dodoma Hapo Chungulieni Nje Mnaona Ugeni Gani Mkubwa Wa Ghafla Wana Ulinzi Na Usalama Hapo? Mnajua Ni Kwanini ULINZI Huo UMEIMARISHWA Ghafla Mchana Huu? Muda Wowote Kuanzia Sasa Hayo Majina Yatatajwa Na Mchana Huu Baada Ya Mapumziko Kidogo Wajumbe Wanarudi Upesi Ukumbini Kufanya Mchujo Na Kuwabakisha Watia Nia 3 Tu Ambao Kesho Ndiyo Watashindanishwa Ukumbini Na Hatimaye Kupatikana Mmoja. Ninaloweza Kusema Na Ambalo Ni Fumbo Kwenu Sisi Wazalendo Tunamshukuru Sana Na Mno Mzee Philip Mangula, Wazee Wa CCM Na Wenye Heshima Kubwa Na Mdahalo Ule Wa Juzi Wa Taasisi Ya Mwalimu Nyerere Kwani KILICHOPITISHWA Kimetokana Na Matamshi, Matakwa Na Wosia Wao Na NASEMA KUWA CHAMA SASA KIMERUDI KATIKA MISINGI YA BABA WA TAIFA Na Watanzania Wenzangu Haswa WAZALENDO Na Wenye UCHUNGU Na Nchi Hii POPOTE MLIPO TAFADHALINI Anzeni Kufurahi Kwani Mwenyezi Mungu AMESIKIA KILIO CHETU. Nimefurahi, Nimefurahi, Nimefurahi Na Akhsante Mungu. Sasa NITALALA USINGIZI.
Kama Upo Makini PASOME Vizuri Na Kwa Umakini Mkubwa Hapo Nilipoweka Rangi Nyekundu Kisha Utaelewa Namaanisha Nini. KAZI IMEKWISHA Hakuna Cha KASKAZINI Wala KUSINI Na Maslahi Na Ustawi Wa Chama Ndiyo Umezingatiwa Ili Kuua Makundi Ambayo Yangeidhoofisha Chama.
Mchana Mwema Nyote ILA Msikae Mbali Na Radio Zenu Kwani Muda Wowote Patakuwa Na Breaking News Ya UTANGAZWAJI Wa Majina Hayo Ya 5 Bora Mimi Sasa Kwa Furaha Iliyoje Nakwenda Zangu KUFURAHI. Nchi IMERUDI Rasmi Kwa WAZALENDO.
Hiyo furaha yako ni kuwa Lowassa amekatwa jina,huyo mako wanayetaka kumpa nchi eti kisa jina la baba yake wamekwisha,hana uwezo wa kuongoza,ikulu itakuwa inanuka viroba vya pombe tu,membe ndo boya namba moja kabisa,nasema wazi kuwa Lowassa ndo anafaa kuwa rais kwa tiketi ya ccm,na tiketi ya upinzani ni Dr slaa.
Majina matano yatatolewa na Kamati Kuu itakayokaa kuanzia saa nane mchana leo!Habari Zilizonifikia Hivi Punde Kutoka Mkutanoni Dodoma Ni Kwamba Tayari Yale Majina 5 Yameshapatikana Na Sasa Mazingira Yanatengenezwa Ili Kuyataja Rasmi Na Kwa Mlio Dodoma Hapo Chungulieni Nje Mnaona Ugeni Gani Mkubwa Wa Ghafla Wana Ulinzi Na Usalama Hapo? Mnajua Ni Kwanini ULINZI Huo UMEIMARISHWA Ghafla Mchana Huu? Muda Wowote Kuanzia Sasa Hayo Majina Yatatajwa Na Mchana Huu Baada Ya Mapumziko Kidogo Wajumbe Wanarudi Upesi Ukumbini Kufanya Mchujo Na Kuwabakisha Watia Nia 3 Tu Ambao Kesho Ndiyo Watashindanishwa Ukumbini Na Hatimaye Kupatikana Mmoja. Ninaloweza Kusema Na Ambalo Ni Fumbo Kwenu Sisi Wazalendo Tunamshukuru Sana Na Mno Mzee Philip Mangula, Wazee Wa CCM Na Wenye Heshima Kubwa Na Mdahalo Ule Wa Juzi Wa Taasisi Ya Mwalimu Nyerere Kwani KILICHOPITISHWA Kimetokana Na Matamshi, Matakwa Na Wosia Wao Na NASEMA KUWA CHAMA SASA KIMERUDI KATIKA MISINGI YA BABA WA TAIFA Na Watanzania Wenzangu Haswa WAZALENDO Na Wenye UCHUNGU Na Nchi Hii POPOTE MLIPO TAFADHALINI Anzeni Kufurahi Kwani Mwenyezi Mungu AMESIKIA KILIO CHETU. Nimefurahi, Nimefurahi, Nimefurahi Na Akhsante Mungu. Sasa NITALALA USINGIZI.
Kama Upo Makini PASOME Vizuri Na Kwa Umakini Mkubwa Hapo Nilipoweka Rangi Nyekundu Kisha Utaelewa Namaanisha Nini. KAZI IMEKWISHA Hakuna Cha KASKAZINI Wala KUSINI Na Maslahi Na Ustawi Wa Chama Ndiyo Umezingatiwa Ili Kuua Makundi Ambayo Yangeidhoofisha Chama.
Mchana Mwema Nyote ILA Msikae Mbali Na Radio Zenu Kwani Muda Wowote Patakuwa Na Breaking News Ya UTANGAZWAJI Wa Majina Hayo Ya 5 Bora Mimi Sasa Kwa Furaha Iliyoje Nakwenda Zangu KUFURAHI. Nchi IMERUDI Rasmi Kwa WAZALENDO.
Watu mnapenda picha kama niniitapendeza zaidi kama ukitupatia na picha mkuu
Kama kweli wamekata jina la Muhongo kwa sakata la tegeta escrow
wakakata jina la Frederick Sumaye kwa sakata la uuzaji nyumba za serikali na mashirika ya umma
wakapukutisha Wasira kwa kashfa ya rushwa 1995 na labda kwa sababu ya kuvaa suti vibaya eeeh
hapa kwa Lowasa wametenda haki, sio kwa sababu ya skendo tu bali makundi yake
Kwa wajuzi wa mambo kinachochelewesha mambo mpaka sasa ni jina la LOWASSA..walifikili ni rahisi tu hata kulikata wakaja kugundua ni hatari zaidi kulikata kwenye hatua hii ya tano bora..