Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Walikate tu mana tutakuwa wehu kumpitisha lwasa kwenye kamati kuu ya chama inayo endelea dodoma
 
Habari Zilizonifikia Hivi Punde Kutoka Mkutanoni Dodoma Ni Kwamba Tayari Yale Majina 5 Yameshapatikana Na Sasa Mazingira Yanatengenezwa Ili Kuyataja Rasmi Na Kwa Mlio Dodoma Hapo Chungulieni Nje Mnaona Ugeni Gani Mkubwa Wa Ghafla Wana Ulinzi Na Usalama Hapo? Mnajua Ni Kwanini ULINZI Huo UMEIMARISHWA Ghafla Mchana Huu? Muda Wowote Kuanzia Sasa Hayo Majina Yatatajwa Na Mchana Huu Baada Ya Mapumziko Kidogo Wajumbe Wanarudi Upesi Ukumbini Kufanya Mchujo Na Kuwabakisha Watia Nia 3 Tu Ambao Kesho Ndiyo Watashindanishwa Ukumbini Na Hatimaye Kupatikana Mmoja. Ninaloweza Kusema Na Ambalo Ni Fumbo Kwenu Sisi Wazalendo Tunamshukuru Sana Na Mno Mzee Philip Mangula, Wazee Wa CCM Na Wenye Heshima Kubwa Na Mdahalo Ule Wa Juzi Wa Taasisi Ya Mwalimu Nyerere Kwani KILICHOPITISHWA Kimetokana Na Matamshi, Matakwa Na Wosia Wao Na NASEMA KUWA CHAMA SASA KIMERUDI KATIKA MISINGI YA BABA WA TAIFA Na Watanzania Wenzangu Haswa WAZALENDO Na Wenye UCHUNGU Na Nchi Hii POPOTE MLIPO TAFADHALINI Anzeni Kufurahi Kwani Mwenyezi Mungu AMESIKIA KILIO CHETU. Nimefurahi, Nimefurahi, Nimefurahi Na Akhsante Mungu. Sasa NITALALA USINGIZI.

Kama Upo Makini PASOME Vizuri Na Kwa Umakini Mkubwa Hapo Nilipoweka Rangi Nyekundu Kisha Utaelewa Namaanisha Nini. KAZI IMEKWISHA Hakuna Cha KASKAZINI Wala KUSINI Na Maslahi Na Ustawi Wa Chama Ndiyo Umezingatiwa Ili Kuua Makundi Ambayo Yangeidhoofisha Chama.

Mchana Mwema Nyote ILA Msikae Mbali Na Radio Zenu Kwani Muda Wowote Patakuwa Na Breaking News Ya UTANGAZWAJI Wa Majina Hayo Ya 5 Bora Mimi Sasa Kwa Furaha Iliyoje Nakwenda Zangu KUFURAHI. Nchi IMERUDI Rasmi Kwa WAZALENDO.

yeyoooooooooooooooooooo, Mi nachungulia tu kwa mzee wa nyeupe :behindsofa:
 
Hiyo furaha yako ni kuwa Lowassa amekatwa jina,huyo mako wanayetaka kumpa nchi eti kisa jina la baba yake wamekwisha,hana uwezo wa kuongoza,ikulu itakuwa inanuka viroba vya pombe tu,membe ndo boya namba moja kabisa,nasema wazi kuwa Lowassa ndo anafaa kuwa rais kwa tiketi ya ccm,na tiketi ya upinzani ni Dr slaa.

Punguza jazba na kuwa mpole 2 :mullet::mullet:
 
Lowassaaaaaaa inajulikana ndo rais wa awam ya tano Kwa njia yoyote Ile na kupitia Chama chochote kile
 
Nakubaliana na wewe inaweza kuandikwa historia kupitia kwa Lowasa,tusubiri tuone mana hakuna ajuaye ya kesho.
 
Kwa wajuzi wa mambo kinachochelewesha mambo mpaka sasa ni jina la LOWASSA..walifikili ni rahisi tu hata kulikata wakaja kugundua ni hatari zaidi kulikata kwenye hatua hii ya tano bora..
 
Habari Zilizonifikia Hivi Punde Kutoka Mkutanoni Dodoma Ni Kwamba Tayari Yale Majina 5 Yameshapatikana Na Sasa Mazingira Yanatengenezwa Ili Kuyataja Rasmi Na Kwa Mlio Dodoma Hapo Chungulieni Nje Mnaona Ugeni Gani Mkubwa Wa Ghafla Wana Ulinzi Na Usalama Hapo? Mnajua Ni Kwanini ULINZI Huo UMEIMARISHWA Ghafla Mchana Huu? Muda Wowote Kuanzia Sasa Hayo Majina Yatatajwa Na Mchana Huu Baada Ya Mapumziko Kidogo Wajumbe Wanarudi Upesi Ukumbini Kufanya Mchujo Na Kuwabakisha Watia Nia 3 Tu Ambao Kesho Ndiyo Watashindanishwa Ukumbini Na Hatimaye Kupatikana Mmoja. Ninaloweza Kusema Na Ambalo Ni Fumbo Kwenu Sisi Wazalendo Tunamshukuru Sana Na Mno Mzee Philip Mangula, Wazee Wa CCM Na Wenye Heshima Kubwa Na Mdahalo Ule Wa Juzi Wa Taasisi Ya Mwalimu Nyerere Kwani KILICHOPITISHWA Kimetokana Na Matamshi, Matakwa Na Wosia Wao Na NASEMA KUWA CHAMA SASA KIMERUDI KATIKA MISINGI YA BABA WA TAIFA Na Watanzania Wenzangu Haswa WAZALENDO Na Wenye UCHUNGU Na Nchi Hii POPOTE MLIPO TAFADHALINI Anzeni Kufurahi Kwani Mwenyezi Mungu AMESIKIA KILIO CHETU. Nimefurahi, Nimefurahi, Nimefurahi Na Akhsante Mungu. Sasa NITALALA USINGIZI.

Kama Upo Makini PASOME Vizuri Na Kwa Umakini Mkubwa Hapo Nilipoweka Rangi Nyekundu Kisha Utaelewa Namaanisha Nini. KAZI IMEKWISHA Hakuna Cha KASKAZINI Wala KUSINI Na Maslahi Na Ustawi Wa Chama Ndiyo Umezingatiwa Ili Kuua Makundi Ambayo Yangeidhoofisha Chama.

Mchana Mwema Nyote ILA Msikae Mbali Na Radio Zenu Kwani Muda Wowote Patakuwa Na Breaking News Ya UTANGAZWAJI Wa Majina Hayo Ya 5 Bora Mimi Sasa Kwa Furaha Iliyoje Nakwenda Zangu KUFURAHI. Nchi IMERUDI Rasmi Kwa WAZALENDO.
Majina matano yatatolewa na Kamati Kuu itakayokaa kuanzia saa nane mchana leo!
 
itapendeza zaidi kama ukitupatia na picha mkuu
Watu mnapenda picha kama nini
db84fd2e2a0de8867ea4459ea775edc2.jpg
!!
 
4.Update
Wakuu Kuweka Updates sio lahisi kama mnavyodhani sababu ulinzi ni mkali na hakuna aliyeruhusiwa kuingia na simu. Kumbuka hii ni kamati ya maadili, hivyo kuweni mavumilivu. Kikao kinaendelea



Sielewi ulinzi no Kali wapi, yaani hapo sokoni ulipo Leo ulinzi Kali, duuuh wapambe nuksi
 
Kwa habari zi sizo rasmi lakini za uhakika hawa ndiyo tano bora ,
1 Asha Rose
2 January Makamba
3 Muigulu Nchemba
4 Magufuli
5 Lowasa

Hii ndiyo CCM..... ! !
 
Hakuna fisadi wala mwana makundi ataingia ikulu ila mtu safi mwenye kumuogopa Mungu.
 
Kwa wajuzi wa mambo kinachochelewesha mambo mpaka sasa ni jina la LOWASSA..walifikili ni rahisi tu hata kulikata wakaja kugundua ni hatari zaidi kulikata kwenye hatua hii ya tano bora..

lowasa akipitishwa 5 bora mambo yatakuwa yameisha.
 
Back
Top Bottom