Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Watu mnapenda picha kama nini
db84fd2e2a0de8867ea4459ea775edc2.jpg
!!
Kama ana ubavu ahamishie mabasi yake act! Tutamsikia kaungana na kina Mramba kabla ya hiyo Oktoba 25.
 
habari wanajanvi, mda huu dodoma hali si ya kawaida kama ilivyozoeleka , wapambe watia nia mbali mbali wameonekana kusononeka sana na wengine kutoweka kabisa karibia na eneo la tukio la mchakato mzima wa kumpata mtia nia, wameanza kuwapunguza wengi hasa ambao hawana vigezo kamili na mlolongo wa ukataji ulikuwa hivi
1. ametolewa ambaye elimu yake si sawa na anayetakiwa, yule mtia nia wa kigoma mr mahale,
2.wakatolewa wenye kashfa nzito sana na ni vigumu kuwasafisha hapa tuna, edward lowassa..richmond, . sospeter muhongo ,, tegeta escrow, sumaye.. uuzwaji wa nyumba zza serikali na uuzaji wa mashirika ya umma ovyo, membe kaponea chupuchupu kukatwa ana makundi ya kukigawa chama, wasira ana kashfa ya rushwa mwaka 1995,
3.uzoefu na umri, japo wote wametimiza umri lakini bado hawajawa na uzoefu wa kutosha, hapa ni kigwangala, na mwigulu nchemba.

waliotangulia kuingizwa kwenye list ni
1.asha rose migiro gender factor , uwajibikaji wake na usafi wake
2.augustino ramadhan zanzibar factor na kutokuwa na makundi na uwajibikaji wake,
3.makongoro nyerere, uwajibikaji na kuchukia rushwa kukemea hadharani wala rushwa na hali ya juu ya uthubutu kwenye maslahi ya wengi hana woga, pia nyerere factor usafi na kumuenzi mwalimu nyerere,
4.pombe magufuri, uwajibikaji wake na hasa kutekeleza sheria bila kupindishwa, na muwajibikaji wa hali ya juu
5. mizengo pinda , ni kiongozi mkuu wa serikali imekuwa vigumu serikali yenyewe kushindwa kutompitisha mtekelezaji mkuu wa ilan ya chama hicho bungeni na pia akikatwa itaonekana serikali nzima ilikuwa haifai, pia ni mtu msafi mwenye busara
6. samwel sitta, kwakuwa anasimamia sana matakwa ya chama na ameweza kutoyumbishwa wakati wa katiba mpya, amepitisha mapendekezo asilimia kubwa yaliyokuwa yanapendelewa na chama chake,mbali ya hapo ana uthubutu na ni mwajibikaji,
7.mark mwandosya
8.bernad membe


hapo ndo itatoka tano bora ,tatu mpaka moja bora,

AAGHH, NIMEUDHUNIKA, NILIMTAKA EDO KWANI UYU NI UTELEZI WA KUTUSAIDIA UKAWA KWENDA IKULU, SI MBAYA LAKINI, NAJUA ATAWAJOIN ACT NA KUAMISHA KURA NYINGI ZA CCm
 
db84fd2e2a0de8867ea4459ea775edc2.jpg



Mtu mzima na akili zako unaambiwa tafuta wadhamini 450 mikoa 15 unakwenda kuandaa mabus matatu ya kusumbua watu siku ukipewa nchi utafanya mambo ya ajabu.
Alifanya vizuri sana. Kawarahisishia kazi kina Nape.
 
Kama EL hayuko kwenye list njia ya M4C iko tambarare.
Mwalimu aliwaambia SIKILIZENI WANANCHI WANACHOKITAKA.
Wananchi wameonesha wazi kwamba wanampenda E Ngoyaye L
 
Swali ni je Anakatwa au Akatwii?

Updates; muda huu kikao cha kamati kui(cc) kimesha anza ambapo kinatazamia kupata majina 5 ya wagombea..
1436526475463.jpg
1436526509030.jpg
 
sisi tuchotaka ule mtandao wa majambazi iwe mwisho wao na wakatafute nchi yao maana wametutishia sana hata baadhi ya watu hawana amani,
 
Hata usipo tuletea hayo yanayo endelea Dodoma kwetu siyo Shida sana Kwa sababu macho na masikio yako UKAWA
 
fukuzeni majambazi sisi watanzania wenye mapenzi mema na taifa hili tuko nyuma yenu wala msiongope majambazi na mitandao yao,
 
wacha kujifanya mkali wa taarifa umeketi hom kwako unajidai kuweka updet ni vigumu hii porojo uliwekaje?
 
habari wanajanvi, mda huu dodoma hali si ya kawaida kama ilivyozoeleka , wapambe watia nia mbali mbali wameonekana kusononeka sana na wengine kutoweka kabisa karibia na eneo la tukio la mchakato mzima wa kumpata mtia nia, wameanza kuwapunguza wengi hasa ambao hawana vigezo kamili na mlolongo wa ukataji ulikuwa hivi
1. ametolewa ambaye elimu yake si sawa na anayetakiwa, yule mtia nia wa kigoma mr mahale,
2.wakatolewa wenye kashfa nzito sana na ni vigumu kuwasafisha hapa tuna, edward lowassa..richmond, . sospeter muhongo ,, tegeta escrow, sumaye.. uuzwaji wa nyumba zza serikali na uuzaji wa mashirika ya umma ovyo, membe kaponea chupuchupu kukatwa ana makundi ya kukigawa chama, wasira ana kashfa ya rushwa mwaka 1995,
3.uzoefu na umri, japo wote wametimiza umri lakini bado hawajawa na uzoefu wa kutosha, hapa ni kigwangala, na mwigulu nchemba.

waliotangulia kuingizwa kwenye list ni
1.asha rose migiro gender factor , uwajibikaji wake na usafi wake
2.augustino ramadhan zanzibar factor na kutokuwa na makundi na uwajibikaji wake,
3.makongoro nyerere, uwajibikaji na kuchukia rushwa kukemea hadharani wala rushwa na hali ya juu ya uthubutu kwenye maslahi ya wengi hana woga, pia nyerere factor usafi na kumuenzi mwalimu nyerere,
4.pombe magufuri, uwajibikaji wake na hasa kutekeleza sheria bila kupindishwa, na muwajibikaji wa hali ya juu
5. mizengo pinda , ni kiongozi mkuu wa serikali imekuwa vigumu serikali yenyewe kushindwa kutompitisha mtekelezaji mkuu wa ilan ya chama hicho bungeni na pia akikatwa itaonekana serikali nzima ilikuwa haifai, pia ni mtu msafi mwenye busara
6. samwel sitta, kwakuwa anasimamia sana matakwa ya chama na ameweza kutoyumbishwa wakati wa katiba mpya, amepitisha mapendekezo asilimia kubwa yaliyokuwa yanapendelewa na chama chake,mbali ya hapo ana uthubutu na ni mwajibikaji,
7.mark mwandosya
8.bernad membe


hapo ndo itatoka tano bora ,tatu mpaka moja bora,
Mbona wengi hawapo mwakyembe, january makamba
 
Kama EL hayuko kwenye list njia ya M4C iko tambarare.
Mwalimu aliwaambia SIKILIZENI WANANCHI WANACHOKITAKA.
Wananchi wameonesha wazi kwamba wanampenda E Ngoyaye L

Unampenda wewe na familia yako pamoja na ndugu zako wa ukoo wako
 
Back
Top Bottom