Mlevi na mbakaji huyo nani ampe urais?
kwani unajua tofauti ya kumpaka mtu matope na kumtangaza sifa yake, yule aliyekuwa akimtaja mamvi hadharani alikuwa anasema ukweli , ingekuwa uongo hapo angewajibishwa kwa kumpaka matope, hivyo kampaka siagi yakeMoja ya kanuni itakayowakata maini wagombea wengi ni kanuni ya (20) inayosema nanukuu "ni mwiko kwa mgombea yeyote kumchafua au kumpaka matope mgombea mwingine/mwenza" mwisho wa kunukuu rudisha sasa akili yako katika wagombea kipindi cha kusaka wadhamini
Woo.. Hiyo imemchota Makongolo, hapo kaenda na maji. kama kabaki basi alichosema sio matope ni kweli, japo chaweza kuwa kweli but machoni kwa refa kikawa matope kwa vigezo na masharti ya ccm. Tungo tata hiyoMoja ya kanuni itakayowakata maini wagombea wengi ni kanuni ya (20) inayosema nanukuu "ni mwiko kwa mgombea yeyote kumchafua au kumpaka matope mgombea mwingine/mwenza" mwisho wa kunukuu rudisha sasa akili yako katika wagombea kipindi cha kusaka wadhamini