Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Watanzania kwa nini bado mnang'ang'ania hilo lichama chakavu CCM? Mmerogwa na nani_??????????
 
1.Bernard Membe 2. Magufuli Pombe 3. January Makamba4. Asharose Migiro 5. Nimesahau jina lake huyu mama
 
Unaweza kuwa chizi wewe unapinga mpaka ulichokiandika .ccm bye bye bye.

VOTE FOR UKAWA
Tujadiliane kwa lugha nzuri kuniita mimi chizi usijione hizo lugha unazijua peke yako na mimi nikirudisha kwa lugha hiyo tutachafua jukwaa.
 
kwa lipi alilotufanyia sisi masikini wa vijijini?
magufuli kila kona ya nchi hii unakutana nae,sijui utatwambia nini kajipange upya

Hivi ile kesi ya uvuvi wa samaki na baadae kuisababishia serilkali hasara ya mamilioni ya fedha kwa ubishi wake, unafikiri tumesahau?
 
Wanaoafiki lowasa akatwe waseme ndio
_ndiooooooooooooo
Katibuuuu......
Sasa ni zamu ya kukatwa magufuli..
 
they gone pay for what they did and price will be higher tunawasubili site rise&fall of ccm empire mabondia wote waliobaki ni uzito wa nyoya tuliokuwa tunawaogopa wamekatwa ukawa tutamaliza mpambano mapema wakati wengine wanakata tickets huku pambano limekwisha . unyoya v/s heavyweight
 
Sasa ngoja tuone nani mwingine anayekatwa leo.

Je mpinzani namba moja wa EL atapita?!!

mpinzani anapita...mipango aliyoisuka ya namna ya kummaliza el ni kabambe mno ...jina la fisadi lilikatwa mapema mno na watu wa maadili tena baada ya watu wa usalama kuwasilisha riport yao.. yote hii ni mipango ya mpinzani no 1 wa el...na vile vile system iko nyuma yake....
 
ccm na magori ya mkono ni tangu Enzi na Enzi.....bara na visiwani wamekuwa wakipitishana na kupokonya ushindi mikononi mwa wapinzani kwa kutumia kanuni ya goli la mkono.
BAHATI MBAYA WATZ WAMEKUBALI KUCHEZEWA NA ccm
 
Ngereja anaongea na waandishi, kakubali kushindwa, nadhani atamuunga mkono mshindi. clouds tv
 
Back
Top Bottom