API Gravity
JF-Expert Member
- Mar 15, 2016
- 658
- 765
Nimeshangaa wajumbe wa mkutano mkuu wa CUF toka Zanzibar ni wengi kuliko wa Tanzania bara.
kwa hiyo unataka kusemaje? Maana ninyi watu wa ccm hamkosi Propaganda ndiyo siasa mlizobakinazo.Nimeshangaa wajumbe wa mkutano mkuu wa CUF toka Zanzibar ni wengi kuliko wa Tanzania bara.
Hawamtaki Wanauchumi UchwaraNimeshangaa wajumbe wa mkutano mkuu wa CUF toka Zanzibar ni wengi kuliko wa Tanzania bara.
Uchumi wa chama umeyumba......kwa nini usirushwe na TV? Mbona ule wa ccm ulikuwa LIVE?
kila la kheri mje tujiunge na UKUTAKila la kheri
Vibaraka wa lowassa na mbowe wote hao.Majina 3 yatakayopigiwa kura kujaza nafasi ya Uenyekiti, iliyoachwa wazi na Mwanauchumi Uchwara Lipumba ni
1. Twaha Taslima
2.Riziki Shahari Mngwali
3.Juma Nkumbi.
CUF Tanzania kwa mabadiliko haya mtasonga mbele.
wewe kibaraka wa Mwanauchumi Uchwara sio!!?Vibaraka wa lowassa na mbowe wote hao.
Hivi cuf bado kipo?
hivi LOWASA anajisikiaje kuja kuvuruga vyama vya upinzani , leo jemedari wa mabadiliko slaa kaondoka kwa ajili ya huyu jamaa lipumba naye hivyo hivyo kisa ni LOWASA