MarchArmy
Senior Member
- Aug 19, 2016
- 160
- 104
Taarifa kwa Umma.
Chama cha wananchi CUF kinawatangazia wanachama wake wote wapenzi, mashabiki na wananchi kwa ujumla kuwa wanaweza kufuatilia live mkutano mkuu wa chama hicho unaoendelea muda huu popote pale walipo.
Mkutano huu unafanyika jijini Dar es Salaam huku lengo kuu likiwa ni kufanya uchaguzi wa viongozi ili kujaza nafasi ya Mwenyekiti Taifa, Makamu Mwenyekiti Taifa na Wajumbe wa Baraza Kuu la Uongozi kufuatia kuwa wazi kwa nafasi hizo kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 25 Oktoba, mwaka jana.
Ili kuweza kuangalia bonyeza link hii hapa_CUF TAIFA Live Stream:
Chama cha wananchi CUF kinawatangazia wanachama wake wote wapenzi, mashabiki na wananchi kwa ujumla kuwa wanaweza kufuatilia live mkutano mkuu wa chama hicho unaoendelea muda huu popote pale walipo.
Mkutano huu unafanyika jijini Dar es Salaam huku lengo kuu likiwa ni kufanya uchaguzi wa viongozi ili kujaza nafasi ya Mwenyekiti Taifa, Makamu Mwenyekiti Taifa na Wajumbe wa Baraza Kuu la Uongozi kufuatia kuwa wazi kwa nafasi hizo kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 25 Oktoba, mwaka jana.
Ili kuweza kuangalia bonyeza link hii hapa_CUF TAIFA Live Stream: