Mzee Mchopu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,031
- 268
VIJANA WA LIPUMBA WANAGOMA KUTHIBITISHA AJENDA
Masiahara hayo!Hivi cuf bado kipo?
Link inafunguka ndugu.Waongo hawa link yenyewe haifunguki
Mkuu mbona mi nacheki now ilikuwa offline sasa hivi imerudi LiveWaongo hawa link yenyewe haifunguki
Waongo hawa link yenyewe haifunguki
Buku 7 tuliza mzuka!! Anguko liko kule Lumumba!! Nini kitafuata baada kuhakikiwa mali za chama? Achana na CuFNahisi anguko la CUF